Kibra49 Senior Member Jul 19, 2017 177 47 Apr 13, 2024 #1 Habari wadau naomba kufahamishwa kampuni zinazotoa mikopo ya bajaji hapa Dar es Salaam.
dingihimself JF-Expert Member Jan 9, 2016 9,420 19,448 Apr 14, 2024 #2 Nenda mwenge. Kuna kampuni inaitwa Watu shukia kituo mpakani ulizia hapo