dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,226
- 54,906
au siyoNina ID hii tu.
au siyoNina ID hii tu.
Hiyo tunaita breaking the ice, kuvunja barafuaah wenye ngwakwa mshindo mbona tayari wako PM, mmoja wao Lloyd Munroe
Yeah.au siyo
Na mvunja barafu mwenyewe nipo hapa.Hiyo tunaita breaking the ice, kuvunja barafu
simba mwenda pole weweYeah.
Safi sana ila kuwa makini asikudownloadNa mvunja barafu mwenyewe nipo hapa.
Siwindi nipo Kama Afsa Ngiri ni nduki muda wote.simba mwenda pole wewe
Simba mwenda pole iko gonjwa , mtaka cha uvunguni mwiji chungulia danisimba mwenda pole wewe
nitext inboboHabar, kwa sasa napitia wakati mgumu kidogo nahitaji mtu wa kuchat nae wa kunifanya nirelax..mm ni mwanamke mwenye 32yrs.
siyo ndiye mla nyama ?Simba mwenda pole iko gonjwa , mtaka cha uvunguni mwiji chungulia dani
safi, nduki kuelekea PM siyo ?Siwindi nipo Kama Afsa Ngiri ni nduki muda wote.
Tafuta Uzi wa Selfika utawajua wanyatia Pm za watu.safi, nduki kuelekea PM siyo ?
hiyo avatar vipi mwanetu😂Siwindi nipo Kama Afsa Ngiri ni nduki muda wote.
nna album nzima ya ms eyes, album kadhaa za yule platinum memberTafuta Uzi wa Selfika utawajua wanyatia Pm za watu.
Simba mwenda pole iko gonjwa , mtaka cha uvunguni mwiji chungulia dani
Simba dume akizeeka anafuzwa kwenye boma, simba dume anakazi mbili tu kulinda boma na kuchimba mgodi, akishindwa kuchimba anafukuzwa hahaasiyo ndiye mla nyama ?
Yan Kuna watu kazi yao ni kutoa watu stress. Ukikaa sawa unarudi kwa aliekupa stressHabar, kwa sasa napitia wakati mgumu kidogo nahitaji mtu wa kuchat nae wa kunifanya nirelax..mm ni mwanamke mwenye 32yrs.
PM umejaribu lakini ?Simba dume akizeeka anafuzwa kwenye boma, simba dume anakazi mbili tu kulinda boma na kuchimba mgodi, akishindwa kuchimba anafukuzwa hahaa