Naendelea kutoa Somo, vijana msitolee macho pesa za wake zenu

Kila mtu atumie akili yake kuishi vizuri na mke wake TUSITISHANE bhana, ukiwa na akili ndogo utashindwa kummudu mkeo.
 
Tumekuwa tukiwafundisha kila siku, japo mmekuwa wagumu kuelewa lakini hatutachoka kuwaelimisha. Tunaamini mtaelewa kidogo kidogo.

kama wewe umeo na una mke let say ana kazi au biashara au shughuli yoyote inayomwingizia kipato basi acha kutolea macho pesa za mkeo.

kama hutaki shida na migogoro usizitazame wala kuzitamani hazikuhusu.

ukiona umefulia au una shida na hela pambana kivingine. Kama unataka vita basi jaribu kunyemelea pesa za mkeo.

Jirani yangu amenisimulia leo jioni. Wiki iliyopita alikuwa anamalizia mjengo wake wa familia. Then pesa ikakata ghafla akabakiwa pungufu kama milioni tano hivi.
jamaa alikuwa anajua Mke wake ana milioni 10 plus kwenye account.

basi akampigia simu Mpenzi wake Mkewe akitaka ajikwamue ili amalizie kabisa nyumba tayari kwa kuhamia au hata kupangisha.

MKe wake akamwambia hiyo nyumba si yake ni ya familia so Jamaa apambane kivyake.

mshikahi kaja ananisimulia anataka kulia machozi baada ya kugundua Pesa za Mke wake anafanyia ujenzi nyumbani kwao.

nimejaribu kumwelewesha aache ushamba pesa za mke sio za familia.

nimemfundisha kwa Lugha ngumu awe mwanaume wa shoka.

nitaendelea kuwaelimisha wanaume wenzagu hasa wale mnaong'ang'ania kuoa wenye kazi mkidhani watawasaidia majukum. You get disaappointed in future.

umuoe kwa sababu unampenda ila si vinginevyo.
Weekend Njema
Umeoa dogo ?
 
Tumekuwa tukiwafundisha kila siku, japo mmekuwa wagumu kuelewa lakini hatutachoka kuwaelimisha. Tunaamini mtaelewa kidogo kidogo.

kama wewe umeo na una mke let say ana kazi au biashara au shughuli yoyote inayomwingizia kipato basi acha kutolea macho pesa za mkeo.

kama hutaki shida na migogoro usizitazame wala kuzitamani hazikuhusu.

ukiona umefulia au una shida na hela pambana kivingine. Kama unataka vita basi jaribu kunyemelea pesa za mkeo.

Jirani yangu amenisimulia leo jioni. Wiki iliyopita alikuwa anamalizia mjengo wake wa familia. Then pesa ikakata ghafla akabakiwa pungufu kama milioni tano hivi.
jamaa alikuwa anajua Mke wake ana milioni 10 plus kwenye account.

basi akampigia simu Mpenzi wake Mkewe akitaka ajikwamue ili amalizie kabisa nyumba tayari kwa kuhamia au hata kupangisha.

MKe wake akamwambia hiyo nyumba si yake ni ya familia so Jamaa apambane kivyake.

mshikahi kaja ananisimulia anataka kulia machozi baada ya kugundua Pesa za Mke wake anafanyia ujenzi nyumbani kwao.

nimejaribu kumwelewesha aache ushamba pesa za mke sio za familia.

nimemfundisha kwa Lugha ngumu awe mwanaume wa shoka.

nitaendelea kuwaelimisha wanaume wenzagu hasa wale mnaong'ang'ania kuoa wenye kazi mkidhani watawasaidia majukum. You get disaappointed in future.

umuoe kwa sababu unampenda ila si vinginevyo.
Weekend Njema
Nanukuu

"""MKe wake akamwambia hiyo nyumba si yake ni ya familia so Jamaa apambane kivyake"""

sisi wengine familia zetu na Koo zetu zimesha pevuka/ zilishapevuka Mali Ni za mume na mke na hakuna nguchiro awaye YEYOTE yule atakae kuja kudai hata kijiko..

mke wa jamaa Ni mbinafsi na hafai kabisa Mimi na mke wangu ni wamoja ASANTE SANA mwenyezi Mungu kunipa huyu mmama 😊
 
Nanukuu

"""MKe wake akamwambia hiyo nyumba si yake ni ya familia so Jamaa apambane kivyake"""

sisi wengine familia zetu na Koo zetu zimesha pevuka/ zilishapevuka Mali Ni za mume na mke na hakuna nguchiro awaye YEYOTE yule atakae kuja kudai hata kijiko..

mke wa jamaa Ni mbinafsi na hafai kabisa Mimi na mke wangu ni wamoja ASANTE SANA mwenyezi Mungu kunipa huyu mmama 😊
Wewe sema tu unanyemelea pesa za Mkeo
 
Mke inabidi aelewe Ndoa ni taasisi. Haiwezekani kila mmoja akawa anafanya kivyakevyake hio sio Ndoa ni watu tu mmekutana mnaitana mke na mume.

Kama ni Ndoa kweli hakuna Cha mke peke yake Wala mume peke yake. Baada ya kukaa Muda mrefu mke Mjinga Ndio anakuja kujua hili. Unajenga kwenu kwa hiyo na mama wa huyo mke nae anajenga kwao?

Kwangu mimi kama unatumia Muda wa familia kutafuta fedha hiyo fedha ni ya familia na kama sio ya familia itakupasa ukae nyumbani ulee watoto.

Tumesacrifice watoto wakae na dada wa kazi ili wewe pia ukatafute kwaajili ya familia huwezi kuleta chochote kaa Lea watoto mume ataleta mahitaji yote.
 
Mke inabidi aelewe Ndoa ni taasisi. Haiwezekani kila mmoja akawa anafanya kivyakevyake hio sio Ndoa ni watu tu mmekutana mnaitana mke na mume.

Kama ni Ndoa kweli hakuna Cha mke peke yake Wala mume peke yake. Baada ya kukaa Muda mrefu mke Mjinga Ndio anakuja kujua hili. Unajenga kwenu kwa hiyo na mama wa huyo mke nae anajenga kwao?

Kwangu mimi kama unatumia Muda wa familia kutafuta fedha hiyo fedha ni ya familia na kama sio ya familia itakupasa ukae nyumbani ulee watoto.

Tumesacrifice watoto wakae na dada wa kazi ili wewe pia ukatafute kwaajili ya familia huwezi kuleta chochote kaa Lea watoto mume ataleta mahitaji yote.
It make sense somehow
 
Back
Top Bottom