Naendelea kutoa Somo, vijana msitolee macho pesa za wake zenu

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,690
21,267
Tumekuwa tukiwafundisha kila siku, japo mmekuwa wagumu kuelewa lakini hatutachoka kuwaelimisha. Tunaamini mtaelewa kidogo kidogo.

kama wewe umeo na una mke let say ana kazi au biashara au shughuli yoyote inayomwingizia kipato basi acha kutolea macho pesa za mkeo.

kama hutaki shida na migogoro usizitazame wala kuzitamani hazikuhusu.

ukiona umefulia au una shida na hela pambana kivingine. Kama unataka vita basi jaribu kunyemelea pesa za mkeo.

Jirani yangu amenisimulia leo jioni. Wiki iliyopita alikuwa anamalizia mjengo wake wa familia. Then pesa ikakata ghafla akabakiwa pungufu kama milioni tano hivi.
jamaa alikuwa anajua Mke wake ana milioni 10 plus kwenye account.

basi akampigia simu Mpenzi wake Mkewe akitaka ajikwamue ili amalizie kabisa nyumba tayari kwa kuhamia au hata kupangisha.

MKe wake akamwambia hiyo nyumba si yake ni ya familia so Jamaa apambane kivyake.

mshikahi kaja ananisimulia anataka kulia machozi baada ya kugundua Pesa za Mke wake anafanyia ujenzi nyumbani kwao.

nimejaribu kumwelewesha aache ushamba pesa za mke sio za familia.

nimemfundisha kwa Lugha ngumu awe mwanaume wa shoka.

nitaendelea kuwaelimisha wanaume wenzagu hasa wale mnaong'ang'ania kuoa wenye kazi mkidhani watawasaidia majukum. You get disaappointed in future.

umuoe kwa sababu unampenda ila si vinginevyo.
Weekend Njema
 
Asili ya Ke ni mpokeaji sawa na sehemu zake za siri zilivyo, ndiyomaana Muumba alihalalisha Ke azae kwa uchungu (Mzazi/Mlezi wa Watoto) na Me ale kwa jasho (Mzazi/mhudumia familia kifedha) tofauti na hapo Ke akiwa strong financially, by status, education, famous kuliko Me lazima awe mbinafsi maana jasiri haachi asili.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Asili ya Ke ni mpokeaji sawa na sehemu zake za siri zilivyo, ndiyomaana Muumba alihalalisha Ke azae kwa uchungu (Mzazi/Mlezi wa Watoto) na Me ale kwa jasho (Mzazi/mhudumia familia kifedha) tofauti na hapo Ke akiwa strong financially, by status, education, famous kuliko Me lazima awe mbinafsi maana jasiri haachi asili.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Humanly is a job
 
Mimi nikikwama katika biashara napambana mwenyewe kwenda kukopa hata kwa watu wengine ila wife asijue kabisa kama nnapitia ktk upungufu kwenye biashara.

Hii yote nafanya ili kulinda hadhi ya uanaume.
We ndio Mwanaume sasa
 
Mwanaume komaa usitake vya mkeo. Utadhalilika bure.
Sasa kama ulioa mkafunga ndoa mkawa mume na mke na mkaapa mtapendana katika shida na raha

Kama kwenye shida mkeo hana msaada wowote kwako na si kwako tu ila kwa mradi wa familia yenu utakaomnufaisha na yeye mwenyewe na ana uwezo wa kusaidia ila anakataa makusudi

Sasa hapo kusudi la ndoa ni nini?

Faida ya kuwa na mke ni ipi?

Si bora usingefunga ndoa tu

Learn or perish
 
Tumekuwa tukiwafundisha kila siku, japo mmekuwa wagumu kuelewa lakini hatutachoka kuwaelimisha. Tunaamini mtaelewa kidogo kidogo.

kama wewe umeo na una mke let say ana kazi au biashara au shughuli yoyote inayomwingizia kipato basi acha kutolea macho pesa za mkeo.

kama hutaki shida na migogoro usizitazame wala kuzitamani hazikuhusu.

ukiona umefulia au una shida na hela pambana kivingine. Kama unataka vita basi jaribu kunyemelea pesa za mkeo.

Jirani yangu amenisimulia leo jioni. Wiki iliyopita alikuwa anamalizia mjengo wake wa familia. Then pesa ikakata ghafla akabakiwa pungufu kama milioni tano hivi.
jamaa alikuwa anajua Mke wake ana milioni 10 plus kwenye account.

basi akampigia simu Mpenzi wake Mkewe akitaka ajikwamue ili amalizie kabisa nyumba tayari kwa kuhamia au hata kupangisha.

MKe wake akamwambia hiyo nyumba si yake ni ya familia so Jamaa apambane kivyake.

mshikahi kaja ananisimulia anataka kulia machozi baada ya kugundua Pesa za Mke wake anafanyia ujenzi nyumbani kwao.

nimejaribu kumwelewesha aache ushamba pesa za mke sio za familia.

nimemfundisha kwa Lugha ngumu awe mwanaume wa shoka.

nitaendelea kuwaelimisha wanaume wenzagu hasa wale mnaong'ang'ania kuoa wenye kazi mkidhani watawasaidia majukum. You get disaappointed in future.

umuoe kwa sababu unampenda ila si vinginevyo.
Weekend Njema
Kama meunganishwa na upendo pesa zenu wote ni Za familia ila kama mliunganishwa kwa tamaa ya matako na pesa basi chake chake chako chake
 
Sasa kama ulioa mkafunga ndoa mkawa mume na mke na mkaapa mtapendana katika shida na raha

Kama kwenye shida mkeo hana msaada wowote kwako na si kwako tu ila kwa mradi wa familia yenu utakaomnufaisha na yeye mwenyewe na ana uwezo wa kusaidia ila anakataa makusudi

Sasa hapo kusudi la ndoa ni nini?

Faida ya kuwa na mke ni ipi?

Si bora usingefunga ndoa tu

Learn or perish
Ila kweli una pointi
 
Tumekuwa tukiwafundisha kila siku, japo mmekuwa wagumu kuelewa lakini hatutachoka kuwaelimisha. Tunaamini mtaelewa kidogo kidogo.

kama wewe umeo na una mke let say ana kazi au biashara au shughuli yoyote inayomwingizia kipato basi acha kutolea macho pesa za mkeo.

kama hutaki shida na migogoro usizitazame wala kuzitamani hazikuhusu.

ukiona umefulia au una shida na hela pambana kivingine. Kama unataka vita basi jaribu kunyemelea pesa za mkeo.

Jirani yangu amenisimulia leo jioni. Wiki iliyopita alikuwa anamalizia mjengo wake wa familia. Then pesa ikakata ghafla akabakiwa pungufu kama milioni tano hivi.
jamaa alikuwa anajua Mke wake ana milioni 10 plus kwenye account.

basi akampigia simu Mpenzi wake Mkewe akitaka ajikwamue ili amalizie kabisa nyumba tayari kwa kuhamia au hata kupangisha.

MKe wake akamwambia hiyo nyumba si yake ni ya familia so Jamaa apambane kivyake.

mshikahi kaja ananisimulia anataka kulia machozi baada ya kugundua Pesa za Mke wake anafanyia ujenzi nyumbani kwao.

nimejaribu kumwelewesha aache ushamba pesa za mke sio za familia.

nimemfundisha kwa Lugha ngumu awe mwanaume wa shoka.

nitaendelea kuwaelimisha wanaume wenzagu hasa wale mnaong'ang'ania kuoa wenye kazi mkidhani watawasaidia majukum. You get disaappointed in future.

umuoe kwa sababu unampenda ila si vinginevyo.
Weekend Njema
Title tu ni utumbo
 
Back
Top Bottom