Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 733
- 294
Tatizo la ccm ni kokololo wanaokota Kila kilcho mbele Yao ukute huyu SI mtanzania alikimbia genocide huko Rwanda anakuja kulianzisha Tena nchini kwetu.Wao wanawapangia polisi nini cha kufanya? Hawajui mipaka yao? Kumlinda rais si kazi yao, kuna vyombo vya usalama nchini.
Kumlinda kisiasa wanaweza pambana kwa hoja lakin si kufikia mahali ku commit sucha act otherwise na wao wakianza kupotezwa wasililie mahali. Tunatengeneza bomu mbeleni