Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Wao wanawapangia polisi nini cha kufanya? Hawajui mipaka yao? Kumlinda rais si kazi yao, kuna vyombo vya usalama nchini.
Kumlinda kisiasa wanaweza pambana kwa hoja lakin si kufikia mahali ku commit sucha act otherwise na wao wakianza kupotezwa wasililie mahali. Tunatengeneza bomu mbeleni
Tatizo la ccm ni kokololo wanaokota Kila kilcho mbele Yao ukute huyu SI mtanzania alikimbia genocide huko Rwanda anakuja kulianzisha Tena nchini kwetu.
 
SOURCE WASAFI TV

Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha.

Onyo hilo limetolewa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhan wakati wa ziara yake wilayani Ngara alipokutana na viongozi pamoja na wananchi katika mamlaka ya mji mdogo wa Rulenge Aprili 16, Mwaka huu.

Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.

Pia soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Halafu utashangaa dishi kama hili linapewa Mkoa kwa kufanya kazi nzuri yakutetea chama
 
SOURCE WASAFI TV

Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha.

Onyo hilo limetolewa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhan wakati wa ziara yake wilayani Ngara alipokutana na viongozi pamoja na wananchi katika mamlaka ya mji mdogo wa Rulenge Aprili 16, Mwaka huu.

Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.

Pia soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

UVCCM ni jeshi la akiba linawajibika kwa mwenyekiti wa chama.
 
Apunguze kujikomba Kwa viongozi wa kuu wa chama Aina hii ya viongozi ndiyo wanafanya wapinzani wanakipiga mawe chama . Ni kweli Uvccm na jumuiya zingine ziko na wajibu wa kukitetea chama katika hali zozote na viongozi wake lakini si Kwa kukuza Mambo huku wafanyavyo wazee wa fursa, uchochoro aliouchonga Raisi Samia wa Chawaz inekuwa ni shida kubwa kwa ustawi wa CCM na nchi Kwa ujumla imefika wakati hata mahali pa kulekebisha mambo nako wengine wanaleta upuuzi wa kutetea.
c.c Nchimbi:
Fagia virusi hivyo ili chama kuweze simama vizuri na kujilekebisha.
 
Wao wanawapangia polisi nini cha kufanya? Hawajui mipaka yao? Kumlinda rais si kazi yao, kuna vyombo vya usalama nchini.
Kumlinda kisiasa wanaweza pambana kwa hoja lakin si kufikia mahali ku commit sucha act otherwise na wao wakianza kupotezwa wasililie mahali. Tunatengeneza bomu mbeleni
 
Apunguze kujikomba Kwa viongozi wa kuu wa chama Aina hii ya viongozi ndiyo wanafanya wapinzani wanakipiga mawe chama . Ni kweli Uvccm na jumuiya zingine ziko na wajibu wa kukitetea chama katika hali zozote na viongozi wake lakini si Kwa kukuza Mambo huku wafanyavyo wazee wa fursa, uchochoro aliouchonga Raisi Samia wa Chawaz inekuwa ni shida kubwa kwa ustawi wa CCM na nchi Kwa ujumla imefika wakati hata mahali pa kulekebisha mambo nako wengine wanaleta upuuzi wa kutetea.
c.c Nchimbi:
Fagia virusi hivyo ili chama kuweze simama vizuri na kujilekebisha.
'Interehamwe'
 
Tatizo la ccm ni kololo wanaokota Kila kilcho mbele Yao ukute huyu SI mtanzania alikimbia genocide huko Rwanda anakuja kulianzisha Tena nchini kwetu.
Kauli ametoa mwanaCCM tena bila ya kutumwa na chama inakuwaje unakishambulia chama ilihali msemaji wake si huyo UVCCM....
 
UVCCM mjitafakari. Hizi siasa za kupotezana sio maono ya mwenyekiti Mama Samia. Mama hana siasa za kipumbavu kama hizi.

TUKIWAPOTEZA WANAOMTUKANA RAIS SAMIA POLISI MSIWATAFUTE

Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha.

Onyo hilo limetolewa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhan wakati wa ziara yake wilayani Ngara alipokutana na viongozi pamoja na wananchi katika mamlaka ya mji mdogo wa Rulenge Aprili 16, Mwaka huu.

Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.

@sirallawi
#WasafiDigital
Pambaneni wenyewe kwa wenyewe...!!!! Makonda kasema wengine ni mawaziri, nendeni kwake akawape list ya majina and then mkawapoteze mmoja baada ya mwingine..!!

Na kwa taarifa yenu, akipotea yeyote kuanzia sasa, wa kwanza kuhojiwa mtakuwa nyie.


#Mtatajanatumsiojulikana
 
Back
Top Bottom