KERO Mwekezaji achimba mchanga karibu na makazi ya watu na kuharibu miundombinu ya barabara - Kitopeni Bagamoyo Pwani

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Antivirus

New Member
Jun 29, 2016
3
3
Katika kata ya Kiromo, Kijiji cha Kitopeni wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani eneo maarufu kama ranchi ya NAFCO eneo ambalo linenunuliwa na Mwekezaji ili kuchimba madini ya MCHANGA.

Eneo hili lipo karibu kabisa na MAKAZI ya watu hivyo ni hatarishi wakati wa mvua na kupelekea mafuriko hapo baadae.

Pia malori yanayobeba MCHANGA yameharibu kabisa barabara na haipitiki tena kwa wenye magari madogo na waenda kwa miguu.

Je, nini umuhimu wa Mwekezaji katika eneo?

1b.jpg
2b.jpg
3b.jpg
4b.jpg
 
Hapo kama uharibifu ni mkubwa ni kufunga tu hayo machimbo until further notice ili kufanyike tathmini ya kimazingira
 
Mtu anaharibu Mazingira anaitwa Mwekezaji hii nchi ina mambo ya hovyo sana..Ana rekodi watu anawagasi Viongozi Wastaafu anawazushia ni madalali mtu mshenzi kama huyo anaitwa Mwekezaji.
 
Nchi huwa inashabikia vitu vya hovyo sana bila kuzingatia madhara kwa wananchi wake! Ingefanyika tathimini ya athari za mazingira na mwekezaji akashauriwa kutafuta njia mbadala au kuimarisha njia iliyopo kabla ya kuanza mradi kusingekuwa na kelele hizi!
 
Mtu anaharibu Mazingira anaitwa Mwekezaji hii nchi ina mambo ya hovyo sana..Ana rekodi watu anawagasi Viongozi Wastaafu anawazushia ni madalali mtu mshenzi kama huyo anaitwa Mwekezaji.
Hii nchi sarakasi ni nyingi sana
 
Back
Top Bottom