Insidious
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 610
- 837
Kumekuwa na ongezeko ya idadi kubwa ya malori yanayopaki ama kuegeshwa katika mitaa ya tabata mfano; mtaa wa shule ya st.mary’s na NSSF huku malori hayo ikileta maafa yafuatayo;
1. Kuharibu barabara
2. Kuziba njia kwa kupaki vibaya au kuharibika pamoja na kuziba njia zilizokuwepo hapo awali
3. Uchafuzi wa mazingira kwa njia ya kelele na uchafu (oil)
4. Kuvamia maeneo yaliyotengwa kama maeneo ya wazi
Hivyo; tunaomba mamlaka husika iweze kushughulikia jambo hili.
1. Kuharibu barabara
2. Kuziba njia kwa kupaki vibaya au kuharibika pamoja na kuziba njia zilizokuwepo hapo awali
3. Uchafuzi wa mazingira kwa njia ya kelele na uchafu (oil)
4. Kuvamia maeneo yaliyotengwa kama maeneo ya wazi
Hivyo; tunaomba mamlaka husika iweze kushughulikia jambo hili.