Pagani zonda
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 474
- 310
nimewai enda hapo n pachafu na papo local sana.Ila nyama za kutosha
nimewai enda hapo n pachafu na papo local sana.Ila nyama za kutosha
Kabisa anajikuta kusema pachafu na analia na bei ya tilapia huyu mtaliiUlikula nyama? Na kama ulikula je uliugua? Na kama hukuugua kwanini upaite pachafu? Pale ni machinjio ya kitimoto, kila aina ya kitimoto pale utaipata, kwa wale wezangu wasio na nguvu pale kuna supu ya makende ya pig ukipiga bakuri 2 au 3 shem maji ataita mma.
haya mambo acha tuSeriously? 😳
Iweje Dar wawe low priced kuliko wanapovuliwa?
ni gharama ila sijui kama ni sawa na darSasa Mwanza kuna maajabu gani? Samaki wa maji baridi (Victoria) wanauzwa Mwanza ghali zaidi ya Dar es salaam? Haya nayo ni maajabu.
kazi kweli kweliAnataka tujue yupo Mwanza mkuu😃😃
Nimetamani hii kitu.Sato au Sangara aliyechovywa mchuzi
nenda hadi kona ya bwiru, kata kwenda kushoto pale kwenye mataa,nenda moja kwa moja vuka kidaraja cha mto, kuna bar kubwa sana pale upande wa kushoto, ila upande wa kulia barabara iyoiyo ya vumbi wanachoma kitimoto safi sana, na ndizi. Onyo: sijakuelekeza hapo ukanywe pombe.Niko Mwanza kitaliii….
wapi napata kitimoto nzuri ya kuchoma
nimeshakula apo aiseeenenda hadi kona ya bwiru, kata kwenda kushoto pale kwenye mataa,nenda moja kwa moja vuka kidaraja cha mto, kuna bar kubwa sana pale upande wa kushoto, ila upande wa kulia barabara iyoiyo ya vumbi wanachoma kitimoto safi sana, na ndizi. Onyo: sijakuelekeza hapo ukanywe pombe.
nimeshafanya hiyo kazi ya kujaribu jaribu ila Andys pub wamevunja recodrnenda hadi kona ya bwiru, kata kwenda kushoto pale kwenye mataa,nenda moja kwa moja vuka kidaraja cha mto, kuna bar kubwa sana pale upande wa kushoto, ila upande wa kulia barabara iyoiyo ya vumbi wanachoma kitimoto safi sana, na ndizi. Onyo: sijakuelekeza hapo ukanywe pombe.