Mwanza ni sehemu gani wanachoma kitimoto Murua?

Attachments

  • IMG_4462.jpeg
    IMG_4462.jpeg
    1.4 MB · Views: 4
Ulikula nyama? Na kama ulikula je uliugua? Na kama hukuugua kwanini upaite pachafu? Pale ni machinjio ya kitimoto, kila aina ya kitimoto pale utaipata, kwa wale wezangu wasio na nguvu pale kuna supu ya makende ya pig ukipiga bakuri 2 au 3 shem maji ataita mma.
Kabisa anajikuta kusema pachafu na analia na bei ya tilapia huyu mtalii
 
Niko Mwanza kitaliii….
wapi napata kitimoto nzuri ya kuchoma
nenda hadi kona ya bwiru, kata kwenda kushoto pale kwenye mataa,nenda moja kwa moja vuka kidaraja cha mto, kuna bar kubwa sana pale upande wa kushoto, ila upande wa kulia barabara iyoiyo ya vumbi wanachoma kitimoto safi sana, na ndizi. Onyo: sijakuelekeza hapo ukanywe pombe.
 
nenda hadi kona ya bwiru, kata kwenda kushoto pale kwenye mataa,nenda moja kwa moja vuka kidaraja cha mto, kuna bar kubwa sana pale upande wa kushoto, ila upande wa kulia barabara iyoiyo ya vumbi wanachoma kitimoto safi sana, na ndizi. Onyo: sijakuelekeza hapo ukanywe pombe.
nimeshakula apo aiseee
 
nenda hadi kona ya bwiru, kata kwenda kushoto pale kwenye mataa,nenda moja kwa moja vuka kidaraja cha mto, kuna bar kubwa sana pale upande wa kushoto, ila upande wa kulia barabara iyoiyo ya vumbi wanachoma kitimoto safi sana, na ndizi. Onyo: sijakuelekeza hapo ukanywe pombe.
nimeshafanya hiyo kazi ya kujaribu jaribu ila Andys pub wamevunja recodr
 
Back
Top Bottom