Staphylococcus Aureus
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,386
- 2,207
Niko Mwanza kitaliii….
wapi napata kitimoto nzuri ya kuchoma
wapi napata kitimoto nzuri ya kuchoma
There's no fixed time for breastfeeding. Maisha mema na utajiri wa nafsi ni kuwaza mema yakupendezayo bila kujali muda.Muda wa kumalizia daku huu.Usiku huu unawaza kitimoto?
Dah samahani mkuu si nilishasahau kama ni Ramadhan?There's no fixed time for breastfeeding. Maisha mema na utajiri wa nafsi ni kuwaza mema yakupenezayo bila kujali muda.Muda wa kumalizia daku huu.
kwa jane ni pub ni kitu gan sijawai sikiaNjoo buswelu kwa jane
Kumbe niwaze nn?? we unaependa usingizi lalaUsiku huu unawaza kitimoto?
tena niote kabisaKumbe niwaze nn?? we unaependa usingizi lala
Sema Ramadhan haendani na kitimotoThere's no fixed time for breastfeeding. Maisha mema na utajiri wa nafsi ni kuwaza mema yakupendezayo bila kujali muda.Muda wa kumalizia daku huu.
Niko Mwanza kitaliii….
wapi napata kitimoto nzuri ya kuchoma
Anataka tujue yupo Mwanza mkuu😃😃Kuna haja ya kuuliza Jamii kweli? Ukitoka tu ulipo Boda boda wamejaa
Anataka tujue yupo Mwanza mkuu😃😃
Seriously? 😳Sasa Mwanza kuna maajabu gani? Samaki wa maji baridi (Victoria) wanauzwa Mwanza ghali zaidi ya Dar es salaam? Haya nayo ni maajabu.