Music industry haiwabebi wasanii Wachanga

Ipo wazi wapi US mziki ukipigwa kwenye radio,TV na sehemu za Starehe unalipwa ,kwenu huku mnafanya hivyo ma je system ipo transparent?Unafananisha industry ambayo ina njia nyingi za kuingiza hela na hii ya kwenu ya kuungaunga.
Mkuu tukisema tufuate hayo hata wasanii wa Nigeria wasingetoboa.. muziki hupaa kutokana na investments nzuri na zenye tija mbona mondi alianza vizuri mpk akapata recognition? Kina babu tale waliwekeza vya kutosha, kina zari walimbeba, lazima investment ifanyike. System haipo transparent ndio ila chanzo ndo hikihiki cha kukaziana kama wasanii wa ndani, kama wasanii wange ungana lazma wangesikilizwa, hakuna exposure because sisi wenyewe tuna majungu. Kufikia level za wenzetu inaweza isiwe leo wala kesho, ila kama tu record label zetu hazi wa favour wasanii unategemea tutafika? Hapa tutarudi kulekule tulipoishia.
 
Hamna label inayofanya hivyo duniani hamna sio Charity label zote zinaangalia faida.

Hamna mwekezaji atamuonea wivu mtu anaye ingimuingizia hela hayupo.Sema hivi vimaneno vya waswahili,msanii akishaanza kung'aa ndivyo vinawafanya wengi wanye mioyo ya kuanzisha label kuachana nayo.
Haya niambie why kina harmonize walilalamika? Na why wanwaponda wcb? Usibase kwenye ushindani angalia uhalisia
 
Mkuu tukisema tufuate hayo hata wasanii wa Nigeria wasingetoboa.. muziki hupaa kutokana na investments nzuri na zenye tija mbona mondi alianza vizuri mpk akapata recognition? Kina babu tale waliwekeza vya kutosha, kina zari walimbeba, lazima investment ifanyike. System haipo transparent ndio ila chanzo ndo hikihiki cha kukaziana kama wasanii wa ndani, kama wasanii wange ungana lazma wangesikilizwa, hakuna exposure because sisi wenyewe tuna majungu. Kufikia level za wenzetu inaweza isiwe leo wala kesho, ila kama tu record label zetu hazi wa favour wasanii unategemea tutafika? Hapa tutarudi kulekule tulipoishia.
Hivi ninaposema system hazipo Transparent unaelewa maana yake? Wewe unazani nani anaye takiwa kujenga system imara?

Mbona nilikuambia mfumo wa Naija na wakwetu tofauti nilikuelezea, naija msanii anakuwa ila mifumo ipo huku.Huku kwenu hamna husifananishe wala kulingaisha Industry ya Naija na Bongo ni mbingu na ardhi.

Mbina unzungumzia record label kuwafavor wasanii why uzungumzii wasanii kutii mikataba,wakibanwa kutokana na mikataba waliyo ingia unadai wanabaniwa ,yaani unalalamika kama mtoto wa mwisho utazani hao wenye label hela wanaokota.
 
Kuhusu “ ushindani” Mkuu nikuulize
Tuchukulie mfano wa biashara ya mtandao wa simu…
Unaona kuna ushindani..? Yaani unaamini tigo anashindana na voda, artel, halotel na ttcl ..? Au voda anashindana na hao wengine …?

Ukifikira the way soko lilivyokaa kuna ushindani kweli..? Nani ana vifurushi na huduma zake ni bora kuliko mwenzake…?

Bila shaka maoni yyte utakoyatoa ni base on preference zako
Perspective yako ungejalibu kutafta ambayo kidogo inge match na industry ya muziki. Sasa vifurushi na mitandao tunaweze ku relate vipi na muziki?
Don't try to fix a puzzle kama hujui hata puzzle ni ya umbo gani.
 
Haya niambie why kina harmonize walilalamika? Na why wanwaponda wcb? Usibase kwenye ushindani angalia uhalisia
Uhalisia upi?

Hivi kuna mtu utamzuia kulalamika, mbona yy alisha lalamikiwa na Angela,Chid na mwenzake?
 
Hivi ninaposema system hazipo Transparent unaelewa maana yake? Wewe unazani nani anaye takiwa kujenga system imara?

Mbona nilikuambia mfumo wa Naija na wakwetu tofauti nilikuelezea, naija msanii anakuwa ila mifumo ipo huku.Huku kwenu hamna husifananishe wala kulingaisha Industry ya Naija na Bongo ni mbingu na ardhi.

Mbina unzungumzia record label kuwafavor wasanii why uzungumzii wasanii kutii mikataba,wakibanwa kutokana na mikataba waliyo ingia unadai wanabaniwa ,yaani unalalamika kama mtoto wa mwisho utazani hao wenye label hela wanaokota.
Ww nimesha kujua upo team mondi, tutapoteza mda tu.
 
Ww nimesha kujua upo team mondi, tutapoteza mda tu.
Yale yale wewe nawe team Harmo ndio maana ukaongia kwenye mumbo wa kusema wamembania

Halafu unasema "GAME INAMTEGEMEA " inamaana Mondi akiacha bongo fleva inapotea. Yaani atumie hela zake kufanya Charity ya kumbeba kila msanii. Nimekuuliza ungekuwa ww ungefanya kama anavyofanya mondi,unarukaruka kama bisi kikaongoni.
 
Perspective yako ungejalibu kutafta ambayo kidogo inge match na industry ya muziki. Sasa vifurushi na mitandao tunaweze ku relate vipi na muziki?
Don't try to fix a puzzle kama hujui hata puzzle ni ya umbo gani.
Tunazubgumzia point yako “muziki ni ushindani”
Binafsi, hakuna ushindani kwenye mziki wasanii si timu za mpira
Na ndio maaana hata walipo anziaha mambo ya uteam yalibuma na baadae kuonekana ni ujinga tu!!

muziki ni collaboration na si competition akili yako ikijikita kwenye ku compete utapata hasara..
Wasanii wajikite kwenye ubunifu na kushirikiana na wasanii wengine
Kupata mashabiki zaidi..

mfano wa mitandao na vifurushi ni kukuonesha kuwa hio kwasasa siyo biashara ya ushindani tena ,
ukiangalia vifursuhi na huduma , gharama zake ni almost the same..!

Mwisho wa siku wote hukaa chini kujafili namna gani wawacharge subscriber wao
 
Yale yale wewe nawe team Harmo ndio maana ukaongia kwenye mumbo wa kusema wamembania

Halafu unasema "GAME INAMTEGEMEA " inamaana Mondi akiacha bongo fleva inapotea. Yaani atumie hela zake kufanya Charity ya kumbeba kila msanii. Nimekuuliza ungekuwa ww ungefanya kama anavyofanya mondi,unarukaruka kama bisi kikaongoni.
Wewe siwez endeleza conversation maana unajaribu kuficha ujinga wa huyo domo kaya! Mimi sio konde gang bali naangalia mziki wa tz in general sasa wewe na mentality yako ya kumsapoti huyo mpuuzi endelea nayo. Ila jua he's nothing but a loser. Hapendwi na wengi tu.
 
Wewe siwez endeleza conversation maana unajaribu kuficha ujinga wa huyo domo kaya! Mimi sio konde gang bali naangalia mziki wa tz in general sasa wewe na mentality yako ya kumsapoti huyo mpuuzi endelea nayo. Ila jua he's nothing but a loser. Hapendwi na wengi tu.
Nilijua utapotokea niliexpect hilo,unaangalia mziki vipi wakati ushasema walimbania,leo amekuwa mpuuzi wakati MWANZO UKISEMA INDUSTRY INAMTEGEMEA YY,sasa mtuu awe mpuuzi halafu INDUSTRY imtegemee.Huoni wewe ndiyo mpuuzi kwa hizi statements zako.

Yaani unaona jamaa atumie hela zake kwenye mziki utazani yy pekee ndiye msanii mwenye hela,hela zake halafu unampangia si uchizi huo.

Kwani wewe kutompenda kwako na hao wenzako kumempunguzia nini? Zaidi ya kuprove roho mbaya yako, kila mtu afanye kile anacho kiona kipo sawa na si ufanye kitu ili apendwe kwani wanao mpenda wanamtosha.
 
Tunazubgumzia point yako “muziki ni ushindani”
Binafsi, hakuna ushindani kwenye mziki wasanii si timu za mpira
Na ndio maaana hata walipo anziaha mambo ya uteam yalibuma na baadae kuonekana ni ujinga tu!!

muziki ni collaboration na si competition akili yako ikijikita kwenye ku compete utapata hasara..
Wasanii wajikite kwenye ubunifu na kushirikiana na wasanii wengine
Kupata mashabiki zaidi..

mfano wa mitandao na vifurushi ni kukuonesha kuwa hio kwasasa siyo biashara ya ushindani tena ,
ukiangalia vifursuhi na huduma , gharama zake ni almost the same..!

Mwisho wa siku wote hukaa chini kujafili namna gani wawacharge subscriber wao
OK nimekupata point yako, ungesema toka mwanzo. Nilimaanisha industry lazima ipate ushindani ili ilete chachu ya wengine kuwekeza. Wasanii hawawezi kucompete ila namna ya kuuza na ku distribute kazi zao lazma kuwe na ushindani. Ili ilete chachu na mauzo. You are right mkuu.
 
Nikiwa Kama retired mdau wa bongofleva,,kijana akiwa na mipango na kipaji na utandawazi huu, rahisi Sana kutoboa,Tena raisi Sana..
Nakutafuta mkuu kuna mdogo wangu namsamimia , nahitaji mauzoefu yako kidogoo mkuu, nataka kumtoa amerekodi ngoma mbili tatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom