joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,243
- 31,945
Si mtetei mimi mwenyewe kuna watu wachache wananitegema shughuli yake naiona. Au ww hauna wanao kutegemea ndio maana unajiongelea husiwaone wakina AY,FA na Ommy kukaa pembeni sio wajinga.Naona unamtetea sana mondi 🤣🤣, mkuu ndo maana watu wanamwandama there's a reason behind! Hivi umefatilia vizuri game ya Nigeria? Sawa wana wafuasi wengi nje, ila kuna mshikamano amongst them. Kumbuka wakina p square! Tulitegemea wawe kwenye game mpk leo wako wapi? Wana ego na kujiona kama mpuuzi huyu mondi, sasa wamepotea kwenye game. Burna boy unajua kafanya collabo ngap mpk kufikia hapo? Despite bado recognition na cooperation ya wanigeria wenzake? Mwamba kazunguka marekani kafanya kazi na wasanii wengi kipindi kile on the low inatoka kakaza mno na hakuchoka kushirikiana na wasanii wengine wa ndani. So jitihada zake zilimbeba.
hatukatai mondi kufanya makubwa ila, anadhorotesha muziki bongo kwa kuvimba na kufungia milango wenzake. Usiangalie yaliyopita ndo maana nili include industry kwa ujumla bongo nzima tume kaa kichawa na kujiona sana huku bado hatujafikia level za kufanya hivyo. Mondi anaweza kuwa legend kibongo, East and Central Afrika. Ila nakuhakikishia akiendelea hivi there's hata fanya makubwa kimataifa mpk career yake inaisha.
Halafu umzungumiza mshikamano ,bongo kuna mshikamano? Au mmesahau timu Kiba,team Konde,team Mondi na baadae media zikachagua upande wa kusapoti team ipi Mondi akapambana mwenyewe,hapo bado hujawa zungumzia Vinega na Clouds. Ulisha sikia Naija kuna team?Maana unazungumzia industry mbili tofauti,nature ya Industry yako na Naija ni tofauti.
Mondi kuvimba ni haki yake sababu walimtenga basi.Uliye okota nae kuni ndiye wakuota nae moto. Halafu Mondi mwenyewe ukimtizama sasa hivi mlengo wake kwenye mziki sio wa kufanya hayo makubwa na muona anajikita kwenye biashara,halafu biashara zina hela kuliko mziki anaweza kufungua hata kampuni ya vinjwaji brand ya WCB na akapiga hela bila kupanda jukwaani.Halafu makubwa si lazima afanye yy kwani mpaka alipo fikia ni pakubwa wengine watakuja kuendeleza,hata ww unaweza kufanya.