Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,608
Muogope Mungu katika kila unalofanya. Unataka kumuua na kuutoa uhai wa mwanadamu mwenzako kisa nini? Je? Una ushahidi wa yanayosemwa? Mtu hauliwi pasi na haki. Na wewe utawindwa tu.
Na mimi ningekuwa kwenye system ningekuzuia kufanya jambo la ajabu lenye kutia aibu. Mpaka pale itakapothibiti hakuna budi jambo flani kufanyika.
Yani huyu jamaa Emanueli misalaba anaongea bila ushahidi wowote, kisa nini! Mtu mweupe au! Waafrika wangapi mafisadi lakini je! Alishawahi kufikiria hilo la kuuwa! Kuwa makini sana emanueli, kama kigezo ni RACE yake basi acha ubaguzi acha chuki