Kuna mjadala nimeukuta mahali watu wanahoji kwanini Mfanyabiashara Maarufu Mohamed Dewji maarufu MO na Mfanyabashiara Maarufu Gharib Mohamed Maarufu GSM ambao ndiyo wadau wakubwa wa bandari kuingiza mizigo nchini kwamba mbona hawajasema chochote kuhusu mjadala wa DP Wold kuhusu Bandari.
Mimi nadhani Rostam Aziz ameshaongea kwa niaba ya wafanyabishara sidhani kama kuna ulazima Mo Dewji na GSM nao waitishe Press kuzungumzia bandari, sidhani. vinginevyo kama wataona inafaa labda kwa kuhojiwa na vyombo vya habari ili kupata mtazamo wao kuhusu uwekezaji huo.
Mohamed Dewji MO
Gharib Said Mohamed GSM
Rostam Aziz
Mimi nadhani Rostam Aziz ameshaongea kwa niaba ya wafanyabishara sidhani kama kuna ulazima Mo Dewji na GSM nao waitishe Press kuzungumzia bandari, sidhani. vinginevyo kama wataona inafaa labda kwa kuhojiwa na vyombo vya habari ili kupata mtazamo wao kuhusu uwekezaji huo.
Mohamed Dewji MO
Gharib Said Mohamed GSM
Rostam Aziz