mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,694
- 107,795
Umenikumbusha ya mtikilaDr Slaa ameingia choocha kike nakumbuka Mtikila alimuita Rostam fisadi basi Rostam akaitisha press akaonesha petty cash voucher Mtikila alichukuwa millioni 10 kwa Rostam.
Sikubaliani na matendo ya Rostam lakini kwa hili la Dr Slaa namuunga mkono, wanafki na wasaliti ni lazima wasemwe, hiki kizee Dr Slaa ana tabia ya kujiona ni mtakatifu na clean man wakati hana lolote.
Alivyokuwa Katibu mkuu Chadema aliidhinisha malipo alipwe hawara yake Josephine pesa kibao eti za kutengeneza software, yani kazi ya software ya Chama tenda anampa demu wake.
, alikuwa anamsiliba RA hapo hapo
Anakwenda kumbom mizinga
Ndomana siku nasema wabongo wanajiita wazawa watafute nguvu ya pesa na wao waweze kushikilia rasilimali za nchi,bila hivyo kila siku tutakuwa tunalialia
Ova