Msaada Rice cooker ipi nzuri yenye uwezo wa kupika mchele kilo moja na nusu?

Asante sana kaka..by kilo sita or 8 what do u mean? Kwamba inakuwa na uwezo wa kupika kilo sita?
Vipi kuhusu umeme? Wa elfu 20 kwa mwezi unatosha?

Kuhusu mapishi inahitajika utaalamu wowote wa mpishi ili kiwe kinatoka chakula vizuri au ukitumiq kupikia inatoa chakula vizuri as long as umetumia pressure cooker?
Msosi unatoka vizuri tu, mwanzo unaweza usiwe master sana ila kadri siku zitakabyoenda utazoea, vile vya kupiga huku umefunika mfuniko na ambavyo sio lazima,kama vya kukaanga
 
Msosi unatoka vizuri tu, mwanzo unaweza usiwe master sana ila kadri siku zitakabyoenda utazoea, vile vya kupiga huku umefunika mfuniko na ambavyo sio lazima,kama vya kukaanga
Asante sana mkuu. Ila wali unatoka vizuri kabisa hakuna cha kutoka na kiini au sijui kuwa haujaiva?
 
Asante sana mkuu. Ila wali unatoka vizuri kabisa hakuna cha kutoka na kiini au sijui kuwa haujaiva?
Vipimo vya kupima mchele na maji vipo,sufuria yake yenyewe ina vipimo vimeandikwa,ila kibongo bongo kwa kuwa mchele kihome hatupimi kwa mzani, vipomo vyake ni ngumu ku apply,tunachofanya ni ukiweka mchele wako weka maji pima na kidole cha kati mpaka maji yafikie mistari miwili ya kidole kutoka usawa wa mchele ulipoishia
 
Vipimo vya kupima mchele na maji vipo,sufuria yake yenyewe ina vimipo vimeandikwa,ila kibongo bongo bongo kwa kuwa mchelr kihome hatupimi kwa mzani, vipomo vyake ni ngumu ku apply,tunachofanya ni ukiweka mchele wako weka maji puma na kidole cha kati mpaja maji yafikie mistaru miwili yankidole kutoka usawa wa mchele ulipoishia
Asante sana mkuu maana kupika wali kwangu imekuwa changamoto kweli kila nikipika naharibu so kama.kwenye pressure cooker kuna vipimo vyote basi kwangu itakuwa rahisi . Nanunuaga mchele kilo moja na nusu na nusu so kipimo tayari ninacho..
 
Asante sana mkuu maana kupika wali kwangu imekuwa changamoto kweli kila nikipika naharibu so kama.kwenye pressure cooker kuna vipimo vyote basi kwangu itakuwa rahisi . Nanunuaga mchele kilo moja na nusu na nusu so kipimo tayari ninacho..
Kwenye gas na mkaa ulikuwa unakadiriaje maji?
 
Mkuu mambo yasiwe mengi,

Kama una uchumi mkubwa nunua hayo wanayoshauri,

Ila mm langu nililinunua Ailyons 2020, kwa 50k tu pale tukaanza kutumia UDOM mwaka mzima, humo tumepikia kila kitu unachojua, nyama, njegere, dagaa, hapo unachemsha na kuunga + kuchemsha maji, after that nikaenda nalo geto kila siku napikia wali au maharage au kuchemshia nyama,

Sema mtaani huku siungii nyama,

Kuhusu umeme lina 700W, wali kg 1 na robo inatumia nusu saa so kama 0.35 unit,

Maharage yanaiva kwa dkk ngapi?
 
Tafuta pressure cookermtumba bei inaanzia 300000 mkataba maisha haiharibiki achana na michina ya hapo kariakoo miaka 3 ubora inaanza kufungua au kufa kabisa
 
Kuhus Bei nowdays yameshuka sana nimeona pressure cooker sio mdamrefu Kenwood inauzwa elf 90
  • Usinunue Rice cooker.
  • Bali nunua Pressure cooker
Kwanini ununue pressure cooker?
  • Utaweza kupika wali kama kawaida
  • Utaweza kupigia Nyama
  • Utaweza kupikia Maharage
  • Kwa ujumla chochote kile waweza kupikia.
Utapika Kwa muda kidogo zadi hivyo kubana matumizi ya umeme.

Bei : Haizidi 120,000
Brand: Ailyons ( na ndugu zake), Wapi: Karikoo ziko kwa wingi
 
mfano hii hapa electric pressure cooker.ambayo inapika mpunga,mandondo,nyama n,k.
👇
images (1).jpeg

ina options ya kuset kulingana na chakula unachotaka kupika.
 
MATUMIZI YA RICE COOKER KWENYE UMEME WANDUGU YAPOJE ? UMEME WA 5000 UNAWEZA DUMU KWA SIKU 30 IKIWA RICE COOKER INATUMIKA MARA MBILI MCHANA NA USIKU ? RICE COOKER INA 1.8 L AND 700 WATTS
 
Back
Top Bottom