Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,828
- 3,804
Msosi unatoka vizuri tu, mwanzo unaweza usiwe master sana ila kadri siku zitakabyoenda utazoea, vile vya kupiga huku umefunika mfuniko na ambavyo sio lazima,kama vya kukaangaAsante sana kaka..by kilo sita or 8 what do u mean? Kwamba inakuwa na uwezo wa kupika kilo sita?
Vipi kuhusu umeme? Wa elfu 20 kwa mwezi unatosha?
Kuhusu mapishi inahitajika utaalamu wowote wa mpishi ili kiwe kinatoka chakula vizuri au ukitumiq kupikia inatoa chakula vizuri as long as umetumia pressure cooker?