Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 6,607
- 13,814
Hiyo sasa sio rice cooker ni pressure cooker. Maana rice cooker ipo limited kwa kupikia wali tu.Mkuu mambo yasiwe mengi,
Kama una uchumi mkubwa nunua hayo wanayoshauri,
Ila mm langu nililinunua Ailyons 2020, kwa 50k tu pale tukaanza kutumia UDOM mwaka mzima, humo tumepikia kila kitu unachojua, nyama, njegere, dagaa, hapo unachemsha na kuunga + kuchemsha maji, after that nikaenda nalo geto kila siku napikia wali au maharage au kuchemshia nyama,
Sema mtaani huku siungii nyama,
Kuhusu umeme lina 700W, wali kg 1 na robo inatumia nusu saa so kama 0.35 unit,