Msaada Rice cooker ipi nzuri yenye uwezo wa kupika mchele kilo moja na nusu?

Mkuu mambo yasiwe mengi,

Kama una uchumi mkubwa nunua hayo wanayoshauri,

Ila mm langu nililinunua Ailyons 2020, kwa 50k tu pale tukaanza kutumia UDOM mwaka mzima, humo tumepikia kila kitu unachojua, nyama, njegere, dagaa, hapo unachemsha na kuunga + kuchemsha maji, after that nikaenda nalo geto kila siku napikia wali au maharage au kuchemshia nyama,

Sema mtaani huku siungii nyama,

Kuhusu umeme lina 700W, wali kg 1 na robo inatumia nusu saa so kama 0.35 unit,
Hiyo sasa sio rice cooker ni pressure cooker. Maana rice cooker ipo limited kwa kupikia wali tu.
 
Mtu aliyeendesha PASSO siku zote akiambiwa Harrier ni bora huwa hakubali.
Kijana huo mfano wako siyo general rule, kuna watu wameendesha Land Rover ila wanakuambia Land Cruiser ndio nzuri, na kuna watu hawajawahi kuendesha hata hizo Passo wala Harrier ila wanajua magari
 
Mkuu mambo yasiwe mengi,

Kama una uchumi mkubwa nunua hayo wanayoshauri,

Ila mm langu nililinunua Ailyons 2020, kwa 50k tu pale tukaanza kutumia UDOM mwaka mzima, humo tumepikia kila kitu unachojua, nyama, njegere, dagaa, hapo unachemsha na kuunga 😂😂😂 + kuchemsha maji, after that nikaenda nalo geto kila siku napikia wali au maharage au kuchemshia nyama,

Sema mtaani huku siungii nyama,

Kuhusu umeme lina 700W, wali kg 1 na robo inatumia nusu saa so kama 0.35 unit,
Ni electric pressure cooker ambayo ni tofauti na wanayoisema
 
Wadau kwema? Aisee hii wiki ya pili sasa kila nikijaribu kupika wali nachemka. Mara siku nyingine napatia mara siku nyingine kinatoka kiini.

Leo kimetoka kiini nimekumbuka nilipokuwa chuo pale udsm niliwahi kuwa natumia rice cooker kwenye umeme wa bure wa mabibo hostel.

Nahitaji rice cooker yenye uwezo wa kupika wali kilo moja na nusu.

Brand ipi ni nzuri na bei yake?

Vipi kuhusu bajeti ya umeme. Rice cooker inakula sana umeme ? Nijiandae kwa bajeti ya umeme kiasi gani kwa mwezi maana almost kwa wiki nitakuwa napika wali kwa rice cooker.

Kingine vipi rice cooker inatoa wali ambao unakuwa umekwiva vizuri ? Au na yenyewe kuilia timing kama unapikia kwenye gesi au mkaa? With much thanks in advance
Bila kusahau Sundar nina miaka 4 sasa naitumia na haina kwereeee
 
Asante sana kaka nitanunua zote rice cooker na pressure cooker
Sasa mkuu ukipata pressure cooker hiyo Rice cooker ya nini tena?
Pressure cooker inapika wali na vitu vingine karibia vyote vizuri kabisa
Mimi natumia PMC pressure cooker ni superb kabisa
 
Kama ni mutu ya familia chukua ya kilo 8 ,kilo 6 itakubana matumizi( from personal exp) bei ya kilo 6 inarange 120-130, kilo nane 150-160, ukienda kichwa wanakuanzia mia mbili. Mimi natumia brand ya Desine.
Asante sana kaka..by kilo sita or 8 what do u mean? Kwamba inakuwa na uwezo wa kupika kilo sita?
Vipi kuhusu umeme? Wa elfu 20 kwa mwezi unatosha?

Kuhusu mapishi inahitajika utaalamu wowote wa mpishi ili kiwe kinatoka chakula vizuri au ukitumiq kupikia inatoa chakula vizuri as long as umetumia pressure cooker?
 
Back
Top Bottom