new forest
Member
- Mar 28, 2024
- 9
- 21
Habari zenu Wana JamiiForums?.
Mimi nimekuwa kwenye mahusiano na dada mmoja Kwa miezi kumi sasa. Dada huyo ni mama WA MTOTO mmoja WA miaka mitano, jamaa aliyezaa naye walisha achana siku nyingi, na Kwa SASA ana familia yake, ila wanalea tu mtoto.
Sasa Kwa BAHATI MBAYA au NZURI huyo dada ana ujauzito wangu WA miezi mitatu na wiki CHACHE ZILIZOPITA niliwasilisha taarifa Kwa wazazi wangu na kusudio langu la kutaka kumuoa. Lakini wazazi wamemkataa katakata na hofu yao ni kwamba mabinti ambao ni single mother mahusiano yao na wazazi wenzao huwa hayaishi, hivyo walishauri niachane naye na nijiandae kulea mtoto atakayezaliwa kama mwanaume wake WA kwanza anavofanya.
Mimi nampenda huyo binti ila wazazi wamemkataa, hapo ndo naumiza kichwa. Na pia wazazi wamesema vinginevyo nikubali kuishi na kulea mtoto wake aliyezaa na mwanaume mwingine Ili kupunguza mawasiliano kati yake na huyo mzazi mwenzie.
Lakini Mimi suala la kulea mtoto WA mwanaume mwenzangu naona itakuwa fedhea sana kwangu. Naombeni ushauri wenu, niwasikilize wazazi au Nile ngumu nimuoe hivyo hivyo.
Mimi nimekuwa kwenye mahusiano na dada mmoja Kwa miezi kumi sasa. Dada huyo ni mama WA MTOTO mmoja WA miaka mitano, jamaa aliyezaa naye walisha achana siku nyingi, na Kwa SASA ana familia yake, ila wanalea tu mtoto.
Sasa Kwa BAHATI MBAYA au NZURI huyo dada ana ujauzito wangu WA miezi mitatu na wiki CHACHE ZILIZOPITA niliwasilisha taarifa Kwa wazazi wangu na kusudio langu la kutaka kumuoa. Lakini wazazi wamemkataa katakata na hofu yao ni kwamba mabinti ambao ni single mother mahusiano yao na wazazi wenzao huwa hayaishi, hivyo walishauri niachane naye na nijiandae kulea mtoto atakayezaliwa kama mwanaume wake WA kwanza anavofanya.
Mimi nampenda huyo binti ila wazazi wamemkataa, hapo ndo naumiza kichwa. Na pia wazazi wamesema vinginevyo nikubali kuishi na kulea mtoto wake aliyezaa na mwanaume mwingine Ili kupunguza mawasiliano kati yake na huyo mzazi mwenzie.
Lakini Mimi suala la kulea mtoto WA mwanaume mwenzangu naona itakuwa fedhea sana kwangu. Naombeni ushauri wenu, niwasikilize wazazi au Nile ngumu nimuoe hivyo hivyo.