Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 6,582
- 13,790
Sasa muda wote unaruka nae dhamira yako ilikuwa ni ipi kwake?
Ulikuwa unalala nae kupunguza upwiru?
Ulikuwa unalala nae sababu umelogwa na haujui mwanamke wa kuanza nae maisha utampata wapi?
Ulikuwa unalala nae ili kutest utamu?
Shida huwa ni nini?
Kwann unaanza mahusiano na mtu ambaye ukiambiwa kesho mfunge ndoa awe mkeo wa maisha roho na akili vinakugomea.
Me nadhani ifike wakati sasa ukikuta mwanamke haeleweki na unaona kabisa hana sifa za kuwa mke then umkalie mbali. Kama unataka kupunguza hamu tafuta hawa wakujiuza ili kupunguza hii kasumba ya kuzalisha wanawake ambao hautaweza kuishi nae.
Mnatutesea hawa Malaika mnaowaleta kwa maamuzi ya kibinafsi sana halafu wanakuja kukuta baba na mama hawana akili ya maisha ya pamoja wapo wapo tu wanaanza teseka na kukosa upendo na attention ya baba na mama.
Mimi nawaonea huruma sana na kujiskia vibaya sana watoto hawa wasio na hatia mnawafanyia huu ukatili. Ipo siku mtalipia haya mateso mnayowapa hawa watoto.
Ulikuwa unalala nae kupunguza upwiru?
Ulikuwa unalala nae sababu umelogwa na haujui mwanamke wa kuanza nae maisha utampata wapi?
Ulikuwa unalala nae ili kutest utamu?
Shida huwa ni nini?
Kwann unaanza mahusiano na mtu ambaye ukiambiwa kesho mfunge ndoa awe mkeo wa maisha roho na akili vinakugomea.
Me nadhani ifike wakati sasa ukikuta mwanamke haeleweki na unaona kabisa hana sifa za kuwa mke then umkalie mbali. Kama unataka kupunguza hamu tafuta hawa wakujiuza ili kupunguza hii kasumba ya kuzalisha wanawake ambao hautaweza kuishi nae.
Mnatutesea hawa Malaika mnaowaleta kwa maamuzi ya kibinafsi sana halafu wanakuja kukuta baba na mama hawana akili ya maisha ya pamoja wapo wapo tu wanaanza teseka na kukosa upendo na attention ya baba na mama.
Mimi nawaonea huruma sana na kujiskia vibaya sana watoto hawa wasio na hatia mnawafanyia huu ukatili. Ipo siku mtalipia haya mateso mnayowapa hawa watoto.