Mara nyingi salary slip zinazo tumika kwenye madai ya mafao hua ni zamiezi 3 nyuma kuanzia pale ulipo toka kazini.Mwanzoni mwa ajira sikuwa naelewa faida za salary sleep na hapa kazini huwa wanatoa salary sleep ya kila mwezi, siku tatu baada ya mshahara kutoka huezi pewa salary ikiwa hukuchukua ndani ya hizo siku tatu baada ya mshahara kutoka. Je ni taratibu gani naeza kufuata/kufanya kusudi niweze kupata salary sleep ya muda wote niliokuwa kazini?
Salary slipMwanzoni mwa ajira sikuwa naelewa faida za salary sleep na hapa kazini huwa wanatoa salary sleep ya kila mwezi, siku tatu baada ya mshahara kutoka huezi pewa salary ikiwa hukuchukua ndani ya hizo siku tatu baada ya mshahara kutoka. Je ni taratibu gani naeza kufuata/kufanya kusudi niweze kupata salary sleep ya muda wote niliokuwa kazini?
Weka hii vizuri tukusaidie mkuu, yaani ulianza na ajira na michango ikaingia PSPF, ama ulihama na mfuko kutoka PSPF to NSSF, ama ajira ilikwisha na kabla hauja fungua madai ukapata ajira sehem nyingune na ukawaje yani...🤷♂️Hadi pspf?
Maana ya mwanzo ilikua kwa hawa jamaa
WapoHadi pspf?
Maana ya mwanzo ilikua kwa hawa jamaa
Creating attention man.Salary slip