Msaada: Inamaanisha nini kuona muda na dakika zinazofanana kila mara?

Cash Money Forever

JF-Expert Member
Mar 16, 2019
302
678
Habari wadau?

Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika zinafanana.

Mfano 02:02, 10:10, 20:20, 15:15 N.k, yaani naweza kujiuliza hivi saa hivi saa ngapi saa? Nikangalia saa nakuta 12:12 au 05:05 kutegemea na majira ya muda huo.

Au nasema ngoja nikaangalie mazoezi uwanjani naangalia saa 17:17, 18:18, ngoja niamke nijiandae kwenda ofisini nikicheki saa 06:06.

Naombeni msaada wa ufafanuzi kuangalia saa nakukuta masaa na dakika kufanana ina maana gani kiroho, kiakili, kimaisha?

Ahsante.
 
Umeuliza kitu ambacho hata mimi nilikuwa najiuliza..!!

But kwa upande wangu ni tofauti kidogo, me nikisema niangalie mda ni saa ngapi, mara nyingi sana upande wa dakika basi lazima nitakuta na nusu au dakika 40, mfano 3:30, 10:30, 5:40, 9:40 nk, but range upande wa dakika haijawahi kuvuka hizo dakika hapo,, kila nikihitaji kuangalia mda.

Wenye utaalamu na hili swala waje kutujuza aisee.
 
Habari wadau?

Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika zinafanana.

Mfano 02:02, 10:10, 20:20, 15:15 N.k, yaani naweza kujiuliza hivi saa hivi saa ngapi saa? Nikangalia saa nakuta 12:12 au 05:05 kutegemea na majira ya muda huo

Au nasema ngoja nikaangalie mazoezi uwanjani naangalia saa 17:17, 18:18, ngoja niamke nijiandae kwenda ofisini nikicheki saa 06:06.

Naombeni msaada wa ufafanuzi kuangalia saa nakukuta masaa na dakika kufanana ina maana gani kiroho, kiakili, kimaisha?

Ahsante
Masaa ni nini? Hebu nifafanulie nielewe unachomainisha, kwa kawaida muda wa siku hupimwa kwa SAA, DAKIKA NA SEKUNDE, sasa katika kiswahili huwa hatuna masaa na lisaa.
Nirudi kwenye mada, wewe ni mister perfect yaani ulialiwa muda huo na utafariki muda huo, kwa ushauri tu, jaribu kukwepa muda ambao saa na dakika zinafanana, utakufa.
 
Masaa ni nini? Hebu nifafanulie nielewe unachomainisha, kwa kawaida muda wa siku hupimwa kwa SAA, DAKIKA NA SEKUNDE, sasa katika kiswahili huwa hatuna masaa na lisaa.
Nirudi kwenye mada, wewe ni mister perfect yaani ulialiwa muda huo na utafariki muda huo, kwa ushauri tu, jaribu kukwepa muda ambao saa na dakika zinafanana, utakufa.
Sasa Mkuu nitakwepaje?
 
Habari wadau?

Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika zinafanana.

Mfano 02:02, 10:10, 20:20, 15:15 N.k, yaani naweza kujiuliza hivi saa hivi saa ngapi saa? Nikangalia saa nakuta 12:12 au 05:05 kutegemea na majira ya muda huo.

Au nasema ngoja nikaangalie mazoezi uwanjani naangalia saa 17:17, 18:18, ngoja niamke nijiandae kwenda ofisini nikicheki saa 06:06.

Naombeni msaada wa ufafanuzi kuangalia saa nakukuta masaa na dakika kufanana ina maana gani kiroho, kiakili, kimaisha?

Ahsante.
Inategemea unaingalia toka upande gani, kwa sisi Wazee wa nguvu za Universe tunatambua kwamba hii ni syncronicity, Universe inakuletea ujumbe na vitu vyako vinaelekea kua aligned.

Kwa wale wa saikolojia watakuambia kwamba hii ni priming na framing. Ubongo unakua umezoea patterns fulani na kukulazimisha ukifika huo muda uangalie majira.
 
Mimi Kuna namba huwa naziona mara nyingi zaidi, iwe upande wa saa, mabango, nbr za gari nk nk, naona zaidi nbr 5:55 ama 911, miaka inapita na hii inajitokeza sanaa, siogopi kwa sababu zipi tena, maisha yanaendelea na naziona sana mpaka leo
Mimi nikawa naangalia saa nikaona hivyo hapo hapo najikuta naingia kwenye mawazo sana kujiuliza why.
 
Habari wadau?

Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika zinafanana.

Mfano 02:02, 10:10, 20:20, 15:15 N.k, yaani naweza kujiuliza hivi saa hivi saa ngapi saa? Nikangalia saa nakuta 12:12 au 05:05 kutegemea na majira ya muda huo.

Au nasema ngoja nikaangalie mazoezi uwanjani naangalia saa 17:17, 18:18, ngoja niamke nijiandae kwenda ofisini nikicheki saa 06:06.

Naombeni msaada wa ufafanuzi kuangalia saa nakukuta masaa na dakika kufanana ina maana gani kiroho, kiakili, kimaisha?

Ahsante.
Maana yake punguza bangi
 
Hapo
Inategemea unaingalia toka upande gani, kwa sisi Wazee wa nguvu za Universe tunatambua kwamba hii ni syncronicity, Universe inakuletea ujumbe na vitu vyako vinaelekea kua aligned.

Kwa wale wa saikolojia watakuambia kwamba hii ni priming na framing. Ubongo unakua umezoea patterns fulani na kukulazimisha ukifika huo muda uangalie majira.
Nimekuelewa Mkuu haswa hapo kwenye ubungo kunilazimisha kuangalia muda. Na wakati nakua naangalia nakuwa relaxed baada ya kuangalia ndio nashtuka imekuwaje tena kufanana kumejirudia
 
Back
Top Bottom