Salaam, Mimi ni mnufaika wa mkopo wa masomo kwa asilimia 50%. Nimekuta kwenye mfumo wameniandikia deni la 575,690,250.00.
Nimeshituka kwani nasoma miaka mi3 masomo ya ya ualimu na kwasasa nipo mwaka wa2.
Falsafa ya elimu bure alikufa awamu ya kwanza ya utawala,kipindi hicho unasomea ualimu na unalienable kichele,120 tsh na ukienda jkt nako unalipwa 100tshs,sasa ule wako ujonge siku ya pay day...itakua imekula kwako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.