Msaada HESLB

Laswell

Member
Feb 23, 2024
15
5
Salaam, Mimi ni mnufaika wa mkopo wa masomo kwa asilimia 50%. Nimekuta kwenye mfumo wameniandikia deni la 575,690,250.00.
Nimeshituka kwani nasoma miaka mi3 masomo ya ya ualimu na kwasasa nipo mwaka wa2.

NB: Mimi ni mwajiriwa
 
Falsafa ya elimu bure alikufa awamu ya kwanza ya utawala,kipindi hicho unasomea ualimu na unalienable kichele,120 tsh na ukienda jkt nako unalipwa 100tshs,sasa ule wako ujonge siku ya pay day...itakua imekula kwako
 
Back
Top Bottom