Mke wangu karudi kwenye dini yake

Onana na kiongozi wako wa msikiti, umpe hicho kisa akikwambia ndoa ipo kisheria basi ruhuaa kuendelea nae(utamuacha tu kwa maamuzi yako) ila watoto wape elimu nzuri ya dini uhakikishe wameijua na usiwalazimishe upande wa kuwepo, kikubwa wape elimu.
Ima sheikh akisema ndoa hamna hapo, basi huna budi kuachia goma.

Je ulivyombadili dini ulimpa elimu ya dini, ulikuwa kiongozi mzuri kwake, ama ndio ile muislam jina, ukiwa muislam lazima uoneshe athari za uislam wako, marafiki, majirani n.k wote wapate athari kwamba huyu kweli ni muislam

Pole kwa yote mkuu.
Kwenye dini zote vijana wa kiume tuko nyuma sana.
Ni wachache sana wanaozingatia ibada.

Afadhari waislam mwezi huu wacRamadhani utawakuta vijana wameshika dini zao baada ya hapo wanapotea, wala huwezi mtambua kwa dini yake.
 
Hamna ndoa kaka ishavunjika hata aende akaulize Makkah 😄
Hiki kisa Kuna mmama alinisimulia Dec nae alirudi kwenye ukristo na wamezaa na mumewe watoto 4 sababu alisema hamfundishi dini mwanaume haend msikiti kabisa nae haend hata atembee kichwa wazi mume Hana mpango tu Yan muislam jina tu dad wa watu karudi anasali na hawana ndoa wanafanya mpango wafunge ya serikali au waachane tu
Nami najua hivyo hakuna ndoa, ila akienda kwa sheikh kuna vitu anaweza kupata pata, JUNGU KUU halikosi ukoko.

Ukinbadilisha mtu dini wewe ndio una dhima ya kumuongoza vema kwenye masuala ya dini.
 
Kwenye dini zote vijana wa kiume tuko nyuma sana.
Ni wachache sana wanaozingatia ibada.

Afadhari waislam mwezi huu wacRamadhani utawakuta vijana wameshika dini zao baada ya hapo wanapotea, wala huwezi mtambua kwa dini yake.
Vita ya mtu na nafsi yake ndio mapigano makubwa zaidi, ndio jihad kubwa na ngumu zaidi.
Binadamu wengi tunashindwa kuziendeaha nafsi zetu il nafsi zetu zinatuendesha sisi, ndio maana tunapotea kwenye njia(dini) .
 
Vita ya mtu na nafsi yake ndio mapigano makubwa zaidi, ndio jihad kubwa na ngumu zaidi.
Binadamu wengi tunashindwa kuziendeaha nafsi zetu il nafsi zetu zinatuendesha sisi, ndio maana tunapotea kwenye njia(dini) .
Kabisa mkuu, ni janga hili.

Vijana wakiwa wadogo mpaka miaka 15 hivi (kwa wa kiume) huwa ni watu wa dini na wafuata maadili baada ya hapo daah ni hawashikiki kabisa.

Wa kike ndo mapema kabisa wanakacha mambo ya dini.

Dini zinabaki kwa ajili ya sikukuu tu
 
Habari wakuu,

Naombeni mnishauri.

Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni.
Ukifuata dini kama kweli wewe mtu wa dini, hapo hakuna ndoa.
Kama mtaachana nipe namba zake nimsaidie.
 
Habari wakuu,

Naombeni mnishauri.

Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni.
Mfuate achana na dini ya kijanjajanja.
 
Si ulimbadilisha dini alafu hukutaka kumfundisha dini kwanzia hapo alipo ritad ndoa tayari imeshavunjika hakuna ndoa kati ya muislam na asiekua muislam mruhusu arudi kwao.
 
Shida mwenzio anakufata kwenye Dini yako wakati huo wewe huna habari na Dini yako. Kuna watu wamebadilishwa Dini na waume zao na hata baada ya kuachika walibakia na Imani zao zile zile
 
Jamaa alikaza, hata sisi tulimshangaa sana maana ndoa imeshakuwa na umri mkubwa sana. Mpaka tukahisi mchepuko ulimroga. Mwisho akamlima taraka, Leo hii wapo mahakama ya rufaa wanagawana mali
Hasara kubwa zaidi!

Hata huyu akijitingisha kidogo tu watafika huko azidi kuumia,mara nyingi watu hupuuzia kipengele cha dini wakati wa kuoa lakini ni cha kuzingatia sana.
 
Habari wakuu,

Naombeni mnishauri.

Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni.
Religion is the opium of the people.
 
Watu mnapenda shida.... sasa kama anaendelea kutimiza majukumu yake ya kila siku kama kawaida wewe unapungukiwa nini?
Pambana na wanao, ya kwake muachie unless aanze mishe za kushinda kanisani bila kuwa na kiasi
 
Habari wakuu,

Naombeni mnishauri.

Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni.
mwenzako kwa upande wake alikuvumilia akakaa kwenye dini yako miaka yote hiyo. ni zamu yako sasa wewe nawe ubadili dini uwe mkristo. nakushauri uwe mkristo, mkeo amechoka kujidanganya nafsi yake kuabudu dini isiyo na maadili ya Mungu wa kweli.
 
Kwa miaka yangu mingi nimeishi, sijawahi kuona mwanamke aliyebadili dini toka ukristo kwenda uislam asijute, huwa wanafika kipindi wanajuta na kujilaumu. wanawake wa Kikristo kuweni makini, hakuna ambaye hajawahi kuharibikiwa alipobadili dini kuwa muislam, utajuta tu, ni suala la muda tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom