Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

Mimi ni mwanaume nimeoa, ndoa ina miaka mitano sasa. Mke wangu amebadilika sana, amekua ni mtu wa kila siku usiku yeye analalamika tu amechoka, na akiingia kitandani ni skeunde 10 tu amelala. Kuna kipindi nikawa nalazimishia, ikawa kama nambaka, anatanua tu miguu nafanya yangu, hadi namaliza.

Hii tabia inanikera sana, ila yeye haoni kama ni kero. Hii hali imeanza kwa muda wa miaka mitatu sasa, kabla ya ndoa wakati wa uchumba hakua na tabia hii, labda kwa vile alikua anakuja tu sleep overs za weekend chache chache.

Imekua ni shida kubwa sana kwenye ndoa yetu, tunagombana mara nyingi sababu ya hili, ila yeye anajiona hana makosa, analalamika tu kuwa napenda sana ngono, nataka ngono kila siku kama chakula. Yaani saa zingine usiku huwa namuangalia akiwa amelala kitandani, natamani nimchape mangumi, au hata nimfunike na mto afie mbali huko!!

Kuna kipindi niliamua kama kumpa adhabu nione kama anajielewa, sikumgusa karibu mwezi mzima, naingia zangu tu kitandani nalala bila kumgusa wala kumsumbua.

Cha ajabu, hata hakushtuka na kuona hiyo ni hali ya hatari, mwezi mzima tulilala bila kufanya chochote na bila hata yeye kushtuka wala kusema chochote. Mimi sio mtu wa kuchepuka kabisa kiasili, ni mtu wa kukaa na mwanamke mmoja.

Sasa kwa hatua iliyofikia, ninachopanga kichwani kwangu atakuja kushtuka wakati ameshachelewa sana, namtafutia dawa yake, atakuja kujuta. Wanawake acheni huu ujinga, mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe.
Weka picha ake tupate pa kuanzia😄😊
 
Ni ujinga kufanya hivyo na wengi hudhani hilo ni suluhisho

1. Utaingia kwenye matumizi mabaya ya muda na afya yako. Badala ya kulala mapema ili kujenga afya na kuwa na uwezo mzuri kufanya kazi kesho wewe upo mitaani mpaka saa sita usiku kama popo Kisa mwanamke mmoja mpumbavu, matokeo yake asubuhi unachelewa kuamka na kazi zako zitakuwa hazina ubora

2. Usiishi nyumba 1 na mtu ambaye hamuelewani kwa muda mrefu. Utakuwa unalimbikiza hasira na kuna siku unaweza kuamua kuua tu mwisho utaishia gerezani, kama mtu hamuelewani mwambie aende kwao haraka

3. Utamjengea kiburi akidhani unamuogopa na umekufa kwake
Ndoa ya Kikristu hii, hamna kuongeza mke wala hamna talaka. Mimi naona suluhisho la haraka ndo hilo mchepuko tu.
Ukiachana na suala la kuninyima unyumba, hana shida nyingine ni hapo tu yaani ndo tatizo lake kubwa.
 
Nyinyi mnaoishi kwa misingi ya dini ndiyo huwa mnaishi maisha ya shida sana kuliko hata wapagani

Mimi linapokuja suala la kuoa dini haina uhusiano wowote, ni lazima nioe hata kama dini hairuhusu nitahamia dini nyingine au naacha kabisa mambo ya dini
Nimekusoma mkuu. Loud and clear.
 
Ndoa ya Kikristu hii, hamna kuongeza mke wala hamna talaka. Au unashauri nifanyeje? Mimi naona suluhisho la haraka ndo hilo mchepuko tu.
Ukiachana na suala la kuninyima unyumba, hana shida nyingine ni hapo tu yaani ndo tatizo lake kubwa.
Hata mimi ni mkristo lakini linapokuja suala la kuoa ukristo hauna nafasi, naoa tu na hakuna padre au mchungaji wa kuniuliza, nikiona shida zaidi nabadili kuwa muislam na nikiona hata kuwa Muslim haisaidii naacha kabisa mambo ya dini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom