Mke wangu hampendi mama yangu mzazi

Life is all about all, seriousness, ujinga, ukweli, uongo n.k
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Nakubali nakubali
Half man half America
Half robot
Half Artificial intelligence
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Habar wakuu, mimi ni baba wa watoto wa 3, niko 35 mke 31, hapo awali miaka 4 nyuma wazazi walikua wakinambia tabia za mke ambazo ni za maneno na umbeya yaani anazungumza mambo yanayohusu wazazi wangu ndugu zake na mashost zake anazungumza maneno mabaya.

Sasa watu huhadithiana yanafika nikimuuliza anakataa. Inabidi nazungumza na namuelimisha namna maisha yalivyo.

Sasa bana kumbe tabia haikukoma, kumbe amekua akichat na ndugu zake hasa dada yake, chats za kusema wazazi wangu.

Mke wangu alishawahi kosea sms ikaja kwangu kama mara mbili sikusema chochote.

Majuzi asubuhi asubuhi nimekaa zangu kabla sijatoka home alikua anachat tu na sms zinaingia naskia anavochati

Kumbe anachat na dada yake bahati nzuri akakosea kusend sms moja ikaja kwangu akimhadithia dada yake jinsi mambo mabaya kuhusu mama yangu yaani hampendi.

Nawaza naona kama nimke ambae hanifai, alishawahi kuwekwa kikao kwa mambo haya lakini naona kama habadiliki uswahili roho mbaya vimemjaa.

Sasa mke alivyomnafiki ukimkuta na mzazi wangu wakike anavyoact kama kweli vile anamkubali.

Wakuu ushauri wenu.
mvumilie tu
hivyo ndivyo walivyoumbwa hao viumbe
 
Una uhakika anakosea kutuma kweli au anafanya kusudi?.

Siku ingine akikutumia endeleza mchatisho, usikubali kuwa mnyonge Bro chat.
 
Cha kukushauri, ongea na mkeo vzr. Hapo ndio penye majibu sahihi.

Ila wahenga walisema tabia ya mtu ni kama ngozi tu, haibadiliki. Ila labda wako anaweza kubadilika.
Kuna ishu za plastiki surgery kwa sasa
Hiyo ngozi itabadilika tuu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cha kukushauri, ongea na mkeo vzr. Hapo ndio penye majibu sahihi.

Ila wahenga walisema tabia ya mtu ni kama ngozi tu, haibadiliki. Ila labda wako anaweza kubadilika.
Mkuu nilishagaongea nae inakuaje anahizo tabia..ila naona nikama mtu ambae hata mim hanipendi maana yake ameshindwa kubadilika
 
Huyo hizo sms unazosema hajakosea na inawezekanaje akosee mara 3. Anatuma kwa kurudia rudia kwa sababu hau act chochote. Huyo anataka amsha amsha kama vipi mtishie kumletea mke mdogo.

Anajaribu kukuchangamsha anaona wewe humchangamshi.
Sio mara tatu yasiku moja yaan ktk miezi tofaut na miaka tofaut
 
Wanakutana wapi mkeo na wazazi wako? Je unaishi kwa wazazi au wazazi wanaishi kwako? Tuanzie hapo ili ushauriwe.
Anakua nikama ameenda kusalimia kwetu analala uko siku mbili au tatu Sasa ktk hizo siku so yanayoendelea hapo ndo anakua anamuhabarisha dada yake anamuhabarisha kwa ubaya na chuki ndo sms anajikuta kaisend kwangu
 
Habar wakuu, mimi ni baba wa watoto wa 3, niko 35 mke 31, hapo awali miaka 4 nyuma wazazi walikua wakinambia tabia za mke ambazo ni za maneno na umbeya yaani anazungumza mambo yanayohusu wazazi wangu ndugu zake na mashost zake anazungumza maneno mabaya.

Sasa watu huhadithiana yanafika nikimuuliza anakataa. Inabidi nazungumza na namuelimisha namna maisha yalivyo.

Sasa bana kumbe tabia haikukoma, kumbe amekua akichat na ndugu zake hasa dada yake, chats za kusema wazazi wangu.

Mke wangu alishawahi kosea sms ikaja kwangu kama mara mbili sikusema chochote.

Majuzi asubuhi asubuhi nimekaa zangu kabla sijatoka home alikua anachat tu na sms zinaingia naskia anavochati

Kumbe anachat na dada yake bahati nzuri akakosea kusend sms moja ikaja kwangu akimhadithia dada yake jinsi mambo mabaya kuhusu mama yangu yaani hampendi.

Nawaza naona kama nimke ambae hanifai, alishawahi kuwekwa kikao kwa mambo haya lakini naona kama habadiliki uswahili roho mbaya vimemjaa.

Sasa mke alivyomnafiki ukimkuta na mzazi wangu wakike anavyoact kama kweli vile anamkubali.

Wakuu ushauri wenu.
Huyo ndio alivo hawez badilika
 
Habar wakuu, mimi ni baba wa watoto wa 3, niko 35 mke 31, hapo awali miaka 4 nyuma wazazi walikua wakinambia tabia za mke ambazo ni za maneno na umbeya yaani anazungumza mambo yanayohusu wazazi wangu ndugu zake na mashost zake anazungumza maneno mabaya.

Sasa watu huhadithiana yanafika nikimuuliza anakataa. Inabidi nazungumza na namuelimisha namna maisha yalivyo.

Sasa bana kumbe tabia haikukoma, kumbe amekua akichat na ndugu zake hasa dada yake, chats za kusema wazazi wangu.

Mke wangu alishawahi kosea sms ikaja kwangu kama mara mbili sikusema chochote.

Majuzi asubuhi asubuhi nimekaa zangu kabla sijatoka home alikua anachat tu na sms zinaingia naskia anavochati

Kumbe anachat na dada yake bahati nzuri akakosea kusend sms moja ikaja kwangu akimhadithia dada yake jinsi mambo mabaya kuhusu mama yangu yaani hampendi.

Nawaza naona kama nimke ambae hanifai, alishawahi kuwekwa kikao kwa mambo haya lakini naona kama habadiliki uswahili roho mbaya vimemjaa.

Sasa mke alivyomnafiki ukimkuta na mzazi wangu wakike anavyoact kama kweli vile anamkubali.

Wakuu ushauri wenu.
Kata mawasiliano yao baina ya mama yako na mke wako ikitokea sherehe asiende wala kusalimia aanasana wasalimiane kwa simu siku mojamoja.
Kama waru hawaendani yanini kuwaweka karibu mtawazidishia uhasama.
 
Ww jamaaa ngoja nikuweke ignore list maana ushatuona wana jf ni watoto wenzako. Kila siku unaleta mada za aina moja. Kwahiyo ni wewe tu ndio mabaya yanakukutaga hapa duniani?
🀣🀣🀣🀣
 
Anakua nikama ameenda kusalimia kwetu analala uko siku mbili au tatu Sasa ktk hizo siku so yanayoendelea hapo ndo anakua anamuhabarisha dada yake anamuhabarisha kwa ubaya na chuki ndo sms anajikuta kaisend kwangu
Kata mawasiliako ya mke wako na kwenu basii ndio solution.
 
Back
Top Bottom