Mke wangu hampendi mama yangu mzazi

Mama yako ni binadamu pia huenda ana mapungufu yake ambayo mkeo ameyaona na ametaka kuyajadili na wewe ila sababu ya namna utapokea vibaya ameona akae kimya ila amekwenda kuongelea nje.
Mambo ya Mama yangu ukayaseme Nje? Huo ni Utovu wa nidhamu na hauna msamaha mwepesi kama ambavyo unayaka tukuelewe

Ukiolewa jitahidi sana Kuwa part ya familia, aibu za familia tuzilinde kwa pamoja.
Tujifunze kwa Warabu na Wahindi
 
Kuna wanawake walishajitahidi kuwa wema ukweni lakin bado mambo yakaback fire. Sasa huwa nahisi ni fikra za kimaskini tu. Kuna msemo unasema strong people dont revenge rather do ignore. Naamin mkeo akianza kujishughulisha na ya kwenu meaning wewe, watoto na yeye mwenyewe basi hizi kasumba zitaisha.
Nyingi zinatokea kwenye umaskini ila nyingine ni kwa Matajiri....Kylin hakuwa kupendwa Ukweni mpaka kesho.

Palw hakuna umaskini
 
Habar wakuu, mimi ni baba wa watoto wa 3, niko 35 mke 31, hapo awali miaka 4 nyuma wazazi walikua wakinambia tabia za mke ambazo ni za maneno na umbeya yaani anazungumza mambo yanayohusu wazazi wangu ndugu zake na mashost zake anazungumza maneno mabaya.

Sasa watu huhadithiana yanafika nikimuuliza anakataa. Inabidi nazungumza na namuelimisha namna maisha yalivyo.

Sasa bana kumbe tabia haikukoma, kumbe amekua akichat na ndugu zake hasa dada yake, chats za kusema wazazi wangu.

Mke wangu alishawahi kosea sms ikaja kwangu kama mara mbili sikusema chochote.

Majuzi asubuhi asubuhi nimekaa zangu kabla sijatoka home alikua anachat tu na sms zinaingia naskia anavochati

Kumbe anachat na dada yake bahati nzuri akakosea kusend sms moja ikaja kwangu akimhadithia dada yake jinsi mambo mabaya kuhusu mama yangu yaani hampendi.

Nawaza naona kama nimke ambae hanifai, alishawahi kuwekwa kikao kwa mambo haya lakini naona kama habadiliki uswahili roho mbaya vimemjaa.

Sasa mke alivyomnafiki ukimkuta na mzazi wangu wakike anavyoact kama kweli vile anamkubali.

Wakuu ushauri wenu.
98%+ ya wake zetu hawawapendi wazazi wetu. Vumilia tu au mpe talaka.
 
Habar wakuu, mimi ni baba wa watoto wa 3, niko 35 mke 31, hapo awali miaka 4 nyuma wazazi walikua wakinambia tabia za mke ambazo ni za maneno na umbeya yaani anazungumza mambo yanayohusu wazazi wangu ndugu zake na mashost zake anazungumza maneno mabaya.

Sasa watu huhadithiana yanafika nikimuuliza anakataa. Inabidi nazungumza na namuelimisha namna maisha yalivyo.

Sasa bana kumbe tabia haikukoma, kumbe amekua akichat na ndugu zake hasa dada yake, chats za kusema wazazi wangu.

Mke wangu alishawahi kosea sms ikaja kwangu kama mara mbili sikusema chochote.

Majuzi asubuhi asubuhi nimekaa zangu kabla sijatoka home alikua anachat tu na sms zinaingia naskia anavochati

Kumbe anachat na dada yake bahati nzuri akakosea kusend sms moja ikaja kwangu akimhadithia dada yake jinsi mambo mabaya kuhusu mama yangu yaani hampendi.

Nawaza naona kama nimke ambae hanifai, alishawahi kuwekwa kikao kwa mambo haya lakini naona kama habadiliki uswahili roho mbaya vimemjaa.

Sasa mke alivyomnafiki ukimkuta na mzazi wangu wakike anavyoact kama kweli vile anamkubali.

Wakuu ushauri wenu.
Kabla sjaendelea nakuuliza swali.

Umezaliwa mkoa gani na umekulia mkoa gani?
wasaKj8I_400x400.jpg
 
Changamoto hizo huwa zinajitokeza kama mama mzazi anaishi hapo.Baadhi ya wanawake hawapendi kabisa kukaa na wakwe.
Kama Mama anaishi huko nyumbani kijijini au kwingine isikupe shida.
Wengine wa kuogopa ni Mawifi zake,kama wewe huna msimamo dada zako wanavuruga ndoa.
 
Habar wakuu, mimi ni baba wa watoto wa 3, niko 35 mke 31, hapo awali miaka 4 nyuma wazazi walikua wakinambia tabia za mke ambazo ni za maneno na umbeya yaani anazungumza mambo yanayohusu wazazi wangu ndugu zake na mashost zake anazungumza maneno mabaya.

Sasa watu huhadithiana yanafika nikimuuliza anakataa. Inabidi nazungumza na namuelimisha namna maisha yalivyo.

Sasa bana kumbe tabia haikukoma, kumbe amekua akichat na ndugu zake hasa dada yake, chats za kusema wazazi wangu.

Mke wangu alishawahi kosea sms ikaja kwangu kama mara mbili sikusema chochote.

Majuzi asubuhi asubuhi nimekaa zangu kabla sijatoka home alikua anachat tu na sms zinaingia naskia anavochati

Kumbe anachat na dada yake bahati nzuri akakosea kusend sms moja ikaja kwangu akimhadithia dada yake jinsi mambo mabaya kuhusu mama yangu yaani hampendi.

Nawaza naona kama nimke ambae hanifai, alishawahi kuwekwa kikao kwa mambo haya lakini naona kama habadiliki uswahili roho mbaya vimemjaa.

Sasa mke alivyomnafiki ukimkuta na mzazi wangu wakike anavyoact kama kweli vile anamkubali.

Wakuu ushauri wenu.
Mkuu kwanini umeo mke mwenye umri mkubwa? Vijana inabidi tujifunze kwa wazazi wetu tuoe ma binti wadogo yani wewe mke wako ana miaka 31 na wewe una miaka 35 ? Kwa umri wako ulitakiwa uwe na mke mwenye muaka 25 au 24
 
Maisha ni kuvumiliana, kama hawez kumvumilia mama yangu siwezi kuishi Naye Bora nikute anazini nje kuliko kumchukia mama yangu.
 
Mkuu kwanini umeo mke mwenye umri mkubwa? Vijana inabidi tujifunze kwa wazazi wetu tuoe ma binti wadogo yani wewe mke wako ana miaka 31 na wewe una miaka 35 ? Kwa umri wako ulitakiwa uwe na mke mwenye muaka 25 au 24
Kwa nini miaka 25 na si huyo wa miaka 31?
 
Back
Top Bottom