Mjini mipango: Wasanii wengi waliounda kundi la East coast wanaishi vizuri hadi sasa, kongole kwao kwa mikakati ya kimaendeleo

GK,AY na Mwana FA hao wote mambo safi watoto wa Upanga wazee wao walikuwa na connection kwenye system so kutoboa hao kwao siyo ngumu.

Tofauti na hao TMK wengi utakuta ni watoto wa wavuvi,wafanyakazi wa wahindi na washinda masokoni.
We boya nani kakwambia AY na FA ni watoto wa kishua wakati hiyo upanga yenyewe walikuwa wanabebwa na GK kwa kila kitu hao wote ni mkoa tena kama FA ndio katoka kwenye umaskini sana
 
We boya nani kakwambia AY na FA ni watoto wa kishua wakati hiyo upanga yenyewe walikuwa wanabebwa na GK kwa kila kitu hao wote ni mkoa tena kama FA ndio katoka kwenye umaskini sana
Sawa wewe unajua zaidi lakini nakosa mantiki kwamba ni nini hasa kimekufanya uniite boya?

Humu siyo kila mtu anajua kila kitu kuna unayoyajua wewe kuna anayoyajua mwengine busara yape heshima mawazo ya wenzako.
 
Mtu yeyote mwenye gpa ya 3.5 degree anaweza kuwa mkufunzi na kibongobongo kila mkufunzi tumezoea kumuita lecturer lakini technically kuna madaraja ya Tutorial Assistant, Assistant Lecturer, Lecturer, Senior Lecturer, Associate Professor mpaka Professor.
Kwahiyo ukiwa na gpa ya 3.5 wewe ni lecturer?

Unaelewa maana ya lecturer wewe?
 
Kumekuwa na makundi mengi kama Tmk wanaume, wakali kwanza, solid ground, gangwe mob, watu pori, n.k. lakini wasanii wengi waa hayo mkundi wameyumba kiuchumi hasa baada ya kuacha muziki.

Hii ni tofauti na kundi la east cost team, members wake wengi wanadunda mpaka sasa

GK - Lecturer katika chuo mojawapo cha biashara

View attachment 2965661


Mwana FA - Mbunge + naibu waziri

View attachment 2965668

AY - Businessman

View attachment 2965670

BONUS

Lady Jay Dee - Business + kula pensheni, kuna tetesi 2025 kugombea jimbo

Hakuwa moja kwa moja mwana east coast ila tunaweza kusema alikuwa mwana east coast kivuli, alikuwa na ukaribu zaidi na kushirikiana kufanya kazi kibao na wasanii wa east coast

View attachment 2965673
Hao uliowataja, ni wangapi ukicompare na kundi zima?
 
Unajua maana ya neno wengi? It means ni zaidi ya nusu.

Haya, orodhesha members wote wa ECT alafu tupimanishe waliotoboa dhidi ya wanaosota, tuone wapi ni wengi.
Amekosea kutumia neno wengi, hapo ni FA na kidogo AY
Labda na Soudy Brown sababu ni mtangazaji na shilawadu yake ilienda sana
But the rest akina o ten, Pauline zongo, snare, butf g, Shariff, lady slay, immam Abbas bado wanajitafuta
 
Back
Top Bottom