Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 27,670
- 72,114
Vizuri
We boya nani kakwambia AY na FA ni watoto wa kishua wakati hiyo upanga yenyewe walikuwa wanabebwa na GK kwa kila kitu hao wote ni mkoa tena kama FA ndio katoka kwenye umaskini sanaGK,AY na Mwana FA hao wote mambo safi watoto wa Upanga wazee wao walikuwa na connection kwenye system so kutoboa hao kwao siyo ngumu.
Tofauti na hao TMK wengi utakuta ni watoto wa wavuvi,wafanyakazi wa wahindi na washinda masokoni.
Sawa wewe unajua zaidi lakini nakosa mantiki kwamba ni nini hasa kimekufanya uniite boya?We boya nani kakwambia AY na FA ni watoto wa kishua wakati hiyo upanga yenyewe walikuwa wanabebwa na GK kwa kila kitu hao wote ni mkoa tena kama FA ndio katoka kwenye umaskini sana
Brother acha tu asili ya familia inaweza kutabiri majaliwa yako😭GK,AY na Mwana FA hao wote mambo safi watoto wa Upanga wazee wao walikuwa na connection kwenye system so kutoboa hao kwao siyo ngumu.
Tofauti na hao TMK wengi utakuta ni watoto wa wavuvi,wafanyakazi wa wahindi na washinda masokoni.
Amekuwaje GK siku hizi? Mama yake aliwahi pia kuwa mbunge viti maalum Chadema 2010 - 2015.Hata GK ukimuona utamuhurumia sana
Jamaa kaandika Crazy Gk ni lecture CBE huku amedanganya. Mama yake mzazi na Crazy GK ndie lecture CBE..
Kwahiyo ukiwa na gpa ya 3.5 wewe ni lecturer?Mtu yeyote mwenye gpa ya 3.5 degree anaweza kuwa mkufunzi na kibongobongo kila mkufunzi tumezoea kumuita lecturer lakini technically kuna madaraja ya Tutorial Assistant, Assistant Lecturer, Lecturer, Senior Lecturer, Associate Professor mpaka Professor.
Nilisubiri mumjibu nyie,maana mimi nina hasira sana,naweza kumzaba makofi.Duh. Mjini umekuja lini mkuu?
Hao uliowataja, ni wangapi ukicompare na kundi zima?Kumekuwa na makundi mengi kama Tmk wanaume, wakali kwanza, solid ground, gangwe mob, watu pori, n.k. lakini wasanii wengi waa hayo mkundi wameyumba kiuchumi hasa baada ya kuacha muziki.
Hii ni tofauti na kundi la east cost team, members wake wengi wanadunda mpaka sasa
GK - Lecturer katika chuo mojawapo cha biashara
View attachment 2965661
Mwana FA - Mbunge + naibu waziri
View attachment 2965668
AY - Businessman
View attachment 2965670
BONUS
Lady Jay Dee - Business + kula pensheni, kuna tetesi 2025 kugombea jimbo
Hakuwa moja kwa moja mwana east coast ila tunaweza kusema alikuwa mwana east coast kivuli, alikuwa na ukaribu zaidi na kushirikiana kufanya kazi kibao na wasanii wa east coast
View attachment 2965673
Kumbe jamaa amekuwa mrahibu. Stress nini?GK wala sio lecturer, ameshakua mraibu wa drugs. But hopefully atarudi kuwa sawa
Unajua maana ya neno wengi? It means ni zaidi ya nusu.Elewa neno WENGI (sio wote)
Huenda ni stress sijui hasa nn huwaingiza watu huko. He is not okay kabisaKumbe jamaa amekuwa mrahibu. Stress nini?
Alipiga kitabu Tudarco kama sikosei.
Amekosea kutumia neno wengi, hapo ni FA na kidogo AYUnajua maana ya neno wengi? It means ni zaidi ya nusu.
Haya, orodhesha members wote wa ECT alafu tupimanishe waliotoboa dhidi ya wanaosota, tuone wapi ni wengi.
Kweli kabisa GK ana transformation alifanya kwenye game.Huenda ni stress sijui hasa nn huwaingiza watu huko. He is not okay kabisa
Game bado inamhitaji kuna mengi mazuri alifanya
Atakuja kukaa sawa, huwa ni mapito tuKweli kabisa GK ana transformation alifanya kwenye game.
Mfano, Daz Baba aliingia kwenye madawa nadhani ni stress baada ya baba yake kufariki