Mjini mipango: Wasanii wengi waliounda kundi la East coast wanaishi vizuri hadi sasa, kongole kwao kwa mikakati ya kimaendeleo

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,095
Kumekuwa na makundi mengi kama Tmk wanaume, wakali kwanza, solid ground, gangwe mob, watu pori, n.k. lakini wasanii wengi waa hayo mkundi wameyumba kiuchumi hasa baada ya kuacha muziki.

Hii ni tofauti na kundi la east cost team, members wake wengi wanadunda mpaka sasa

GK - Lecturer katika chuo mojawapo cha biashara

1713290201301.png



Mwana FA - Mbunge + naibu waziri

1713290296129.png


AY - Businessman

1713290342281.png


BONUS

Lady Jay Dee - Business + kula pensheni, kuna tetesi 2025 kugombea jimbo

Hakuwa moja kwa moja mwana east coast ila tunaweza kusema alikuwa mwana east coast kivuli, alikuwa na ukaribu zaidi na kushirikiana kufanya kazi kibao na wasanii wa east coast

1713290395985.png
 
Kumekuwa na makundi mengi kama Tmk wanaume, wakali kwanza, solid ground, gangwe mob, watu pori, n.k. lakini wengi wao waliyumba kiuchumi baada ya kuacha muziki.

Hii ni tofauti na kundi la east cost team, members wake wengi wanadunda mpaka sasa

GK - Lecturer katika chuo mojawapo cha biashara

View attachment 2965661


Mwana FA - Mbunge + naibu waziri

View attachment 2965668

AY - Businessman

View attachment 2965670

Lady Jay Dee - Business + kula pensheni, kuna tetesi 2025 kugombea jimbo

View attachment 2965673
Mbona o-ten yupo tu morogoro hana mbele wala nyuma

Kwa ufupi tu dawa zimemuharibu na sasa kawa chiz
 
Jay dee hajawah kua ect. Pauline zongo choka mbaya

Oficially sio ila Indirectly JIde ni mwana East Coast sana tu, Alikuwa karibu zaidi na kafanya kazi nyingi na wana east coast

East Coast Team - Ama Zangu ama Zao

Lady Jaydee Feat Mwana FA - Wanaume Kama Mabinti
MWANA FA FT LADY JAYDEE ALIKUFA KWA NGOMA
Mwanafalsafa Ft Lady Jaydee - Hawajui
MwanaFA Feat Lady Jaydee - Msiache kuongea

AY Feat LADY JAY DEE- Machoni Kama Watu
Mawazo Lady Jay Dee
AY - Asante Feat Dela
 
Indirectly JIde ni mwana East Coast, Alikuwa karibu zaidi na kafanya kazi nyingi na wana east coast

East Coast Team - Ama Zangu ama Zao

AY Feat LADY JAY DEE- Machoni Kama Watu
Mawazo Lady Jay Dee ft. A.Y
AY - Asante Feat Dela (Official Music Video)


Lady Jaydee Feat Mwana FA - Wanaume Kama Mabinti
MWANA FA FT LADY JAYDEE ALIKUFA KWA NGOMA
Mwanafalsafa Ft Lady Jaydee - Hawajui
MwanaFA Feat Lady Jaydee - Msiache kuongea (Official Video)
Labda kwakua hukuujua utaratibubwa wa ect ndio maana ukaongea hizo.
Ngoma ni moja tuu ya lady jay dee na ect nayo ni amazangu amazao basi.

Hizo zingine ni project binafsi za wasanii hao akina fa, hazikua kaz za ect
 
Kumekuwa na makundi mengi kama Tmk wanaume, wakali kwanza, solid ground, gangwe mob, watu pori, n.k. lakini wasanii wengi waa hayo mkundi wameyumba kiuchumi hasa baada ya kuacha muziki.

Hii ni tofauti na kundi la east cost team, members wake wengi wanadunda mpaka sasa

GK - Lecturer katika chuo mojawapo cha biashara

View attachment 2965661


Mwana FA - Mbunge + naibu waziri

View attachment 2965668

AY - Businessman

View attachment 2965670

BONUS

Lady Jay Dee - Business + kula pensheni, kuna tetesi 2025 kugombea jimbo

Hakuwa moja kwa moja mwana east coast ila tunaweza kusema alikuwa mwana east coast kivuli, alikuwa na ukaribu zaidi na kushirikiana kufanya kazi kibao na wasanii wa east coast

View attachment 2965673
Vipi pauline zongo mkuu?
 
Kumekuwa na makundi mengi kama Tmk wanaume, wakali kwanza, solid ground, gangwe mob, watu pori, n.k. lakini wasanii wengi waa hayo mkundi wameyumba kiuchumi hasa baada ya kuacha muziki.

Hii ni tofauti na kundi la east cost team, members wake wengi wanadunda mpaka sasa

GK - Lecturer katika chuo mojawapo cha biashara

View attachment 2965661


Mwana FA - Mbunge + naibu waziri

View attachment 2965668

AY - Businessman

View attachment 2965670

BONUS

Lady Jay Dee - Business + kula pensheni, kuna tetesi 2025 kugombea jimbo

Hakuwa moja kwa moja mwana east coast ila tunaweza kusema alikuwa mwana east coast kivuli, alikuwa na ukaribu zaidi na kushirikiana kufanya kazi kibao na wasanii wa east coast

View attachment 2965673
GK amekua lini lecturer?

Unaelewa maana ya lecturer wewe?
 
GK,AY na Mwana FA hao wote mambo safi watoto wa Upanga wazee wao walikuwa na connection kwenye system so kutoboa hao kwao siyo ngumu.

Tofauti na hao TMK wengi utakuta ni watoto wa wavuvi,wafanyakazi wa wahindi na washinda masokoni.
GK ndio mtoto wa kishua wa Upanga

Ay alianza maisha Dsm kigeto geto akitokea Mbeya

Mwana Fa kwao Muheza ila itakua alikuwa na ndugu wa kufikia Dsm, alijisomesha mwenyewe chuo pale IFM licha ya kufanya vizuri kwenye muziki, alipata kazi bank ila akaiacha
 
Back
Top Bottom