GK si ilisemekana mibangi imemkolea almanusura kuwehuka hapa majuzi kati tu?
Leo hii keshakuwa Lecturer ghafla hivi?
Jamaa muongo kadanganya.
GK sio lecture ni bangi mtu tu
GK si ilisemekana mibangi imemkolea almanusura kuwehuka hapa majuzi kati tu?
Leo hii keshakuwa Lecturer ghafla hivi?
Ungetuambia na wengine kama O-Ten, Snare, Pauline Zongo na wengine nao wana nini?
Ova
Ungetuambia na wengine kama O-Ten, Snare, Pauline Zongo na wengine nao wana nini?
Ova
Wawil8 nao wengi?Elewa neno WENGI (sio wote)
Duh. Mjini umekuja lini mkuu?MwanaFA hakuwahi kuwa ECT
mama yake ndio alikua mwalimu cbe wajuaji walivyosikia mwalimu Kaihula bas wakaona wamweke DMX wa upangaGK amekua lini lecturer?
Unaelewa maana ya lecturer wewe?
CBE au Tambaza?mama yake ndio alikua mwalimu cbe wajuaji walivyosikia mwalimu Kaihula bas wakaona wamweke DMX wa upanga
GK anafanya nini? Kazi ya mama yake unasema yakeElewa neno WENGI (sio wote)
Tambaza ni sec sio chuo, mama yake kastaafia cbeCBE au Tambaza?
Kama hujui kitu kaa pembeni.MwanaFA hakuwahi kuwa ECT
O ten alikuwa analala temeke anashinda upanga ... Yule ni TMKMbona o-ten yupo tu morogoro hana mbele wala nyuma
Kwa ufupi tu dawa zimemuharibu na sasa kawa chiz
CBE aligombea na udiwani wa upanga kupitia chadema 2015CBE au Tambaza?
Bila kumsahau snare.Jay dee hajawah kua ect. Pauline zongo choka mbaya
Sijui yuko wap huyu jamaaBila kumsahau snare.