Misafara mirefu ya wakubwa siyo rahisi kuiepuka serikalini na kanisani

Misafara ya mirefu ya Kiserikali inakuwa 80% imejazwa na Wanasiasa wachumia tumbo, 10% wataalam wa fani husika ili kujibu maswali na kufafanua hoja kama zitaibuliwa, 5% wapiga picha aka waandishi Habari 5% madereva (kila gari dereva mmoja).
Misafara mirefu ya Kanisani (Misikiti hukuitaja lakini)mara nyingi ni Viongozi wakubwa(Askofu n.k.), Wainjilishaji au Wawezeshaji, Wafadhili, Kwaya na wenyeji mahalia. Hapo huwa ni Uhamasishaji, Uzinduzi wa Mradi, kuamsha waliorudi nyuma(Wavivu kiroho) au kutoa huduma za kiroho. Hakuna Siasa.
 
Vichwa vilivyo beba Phd, vinastahili heshima (hasa pale wanapofanya mambo ya maana)
Sikubaliani nawe kabisa. Mbona wenye hizo Permanent Head Diseases ndio wanaoongoza kwa kufanya mambo hobela-hobela kwenye mawizara, Idara na Taasisi wanazokabidhiwa kuziongoza? Wewe huwaonagi? Rufiji kuna mafuriko ambayo kwa kiasi fulani wenye hizo naniliu wamechangia, Huduma stable ya nishati-Umeme hapa nchini bado ni kizungumkuti kila siku ni maelezo mareeeefu kimepanda kimeshuka ......
 
Sikubaliani nawe kabisa. Mbona wenye hizo Permanent Head Diseases ndio wanaoongoza kwa kufanya mambo hobela-hobela kwenye mawizara, Idara na Taasisi wanazokabidhiwa kuziongoza? Wewe huwaonagi? Rufiji kuna mafuriko ambayo kwa kiasi fulani wenye hizo naniliu wamechangia, Huduma stable ya nishati-Umeme hapa nchini bado ni kizungumkuti kila siku ni maelezo mareeeefu kimepanda kimeshuka ......
Ni vizuri ungezingatia mabano mkuu,,, mimi sijabase kwenye masuala ya siasa...
 
Ni vizuri ungezingatia mabano mkuu,,, mimi sijabase kwenye masuala ya siasa...
Oh yes, Mkuu; Kumbe umewatofautisha na umejikita kwa wale wanaofanya mambo ya maana tu. Samahani nime-overlook brackets. Pole kwa usumbufu uliojitokeza hapo.
 
Oh yes, Mkuu; Kumbe umewatofautisha na umejikita kwa wale wanaofanya mambo ya maana tu. Samahani nime-overlook brackets. Pole kwa usumbufu uliojitokeza hapo.
Naam mkuu , wale watu wanastahili heshima( wanatamani jamii iishi kwa Ukwasi) ila ndo hivyo walafi wa rushwa na madaraka wanawaona kama sumu kwao.
 
Naam mkuu , wale watu wanastahili heshima( wanatamani jamii iishi kwa Ukwasi) ila ndo hivyo walafi wa rushwa na madaraka wanawaona kama sumu kwao.
.....Na wanadiriki hata kupanga (plot) namna ya kuwapoteza. So sad.
 
Back
Top Bottom