Misururu ya magari kwenye misafara ya ziara za viongozi wetu ni ushamba wa kizamani sana!

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
10,357
35,829
1707896890712.png

Kuna vitu ukiviona bado vinafanywa na viongozi wa kiafrika katika karne hii unabakia kucheka na kuwaza kuwa kumbe viongozi wa kiafrika bado wana akili za kitoto mnoo.

Moja ya vitu vya kipuuzi kabisa ni msururu wa msafara wa magari ya kifahari kwenye ziara za viongozi duni wa nchi za kiafrika (Tanzania ikiwa ni mfano mzuri). Mambo ambayo yalipaswa kufanywa karne iliyopita wakati watu wakiwa harusini, eti ndio trend fashion ya viongozi wa kiafrika wa sasa.

Mbwembe hizo na ufahari hazina faida yoyote, zinawaudhi mnoo raia wa kawaida wanaokuwa busy na maisha yao na wala hawana time na hizo takataka.

Misafara hiyo hufunga barabara kwa muda, huacha vumbi la hatari vijijini, hupelekea matukio ya ajali nk. Utasikia viongozi wakisema eti wako busy kwenda kusikiliza kero, kuzindua ujenzi wa vyoo vya shule vilivojengwa kwa pesa za misaada ya wazungu, kukagua mradi wa bomba la maji la kijiji, kukata utepe ili kuzindua kivuko cha miguu cha kijiji

Inatia kinyaa mnoo.
 
Kuna vitu ukiviona bado vinafanywa na viongozi wa kiafrika katika karne hii unabakia kucheka na kuwaza kuwa kumbe viongozi wa kiafrika bado wana akili za kitoto mnoo.

Moja ya vitu vya kipuuzi kabisa ni msururu wa msafara wa magari ya kifahari kwenye ziara za viongozi duni wa nchi za kiafrika (Tanzania ikiwa ni mfano mzuri). Mambo ambayo yalipaswa kufanywa karne iliyopita wakati watu wakiwa harusini, eti ndio trend fashion ya viongozi wa kiafrika wa sasa.

Mbwembe hizo na ufahari hazina faida yoyote, zinawaudhi mnoo raia wa kawaida wanaokuwa busy na maisha yao na wala hawana time na hizo takataka.

Misafara hiyo hufunga barabara kwa muda, huacha vumbi la hatari vijijini, hupelekea matukio ya ajali nk. Utasikia viongozi wakisema eti wako busy kwenda kusikiliza kero, kuzindua ujenzi wa vyoo vya shule vilivojengwa kwa pesa za misaada ya wazungu, kukagua mradi wa bomba la maji la kijiji, kukata utepe ili kuzindua kivuko cha miguu cha kijiji

Inatia kinyaa mnoo.
Ushamba kama ulioonyesha wewe kwenye harusi yako halafu ndoa ikavunjika baada ya wiki
 
Kuna vitu ukiviona bado vinafanywa na viongozi wa kiafrika katika karne hii unabakia kucheka na kuwaza kuwa kumbe viongozi wa kiafrika bado wana akili za kitoto mnoo.

Moja ya vitu vya kipuuzi kabisa ni msururu wa msafara wa magari ya kifahari kwenye ziara za viongozi duni wa nchi za kiafrika (Tanzania ikiwa ni mfano mzuri). Mambo ambayo yalipaswa kufanywa karne iliyopita wakati watu wakiwa harusini, eti ndio trend fashion ya viongozi wa kiafrika wa sasa.

Mbwembe hizo na ufahari hazina faida yoyote, zinawaudhi mnoo raia wa kawaida wanaokuwa busy na maisha yao na wala hawana time na hizo takataka.

Misafara hiyo hufunga barabara kwa muda, huacha vumbi la hatari vijijini, hupelekea matukio ya ajali nk. Utasikia viongozi wakisema eti wako busy kwenda kusikiliza kero, kuzindua ujenzi wa vyoo vya shule vilivojengwa kwa pesa za misaada ya wazungu, kukagua mradi wa bomba la maji la kijiji, kukata utepe ili kuzindua kivuko cha miguu cha kijiji

Inatia kinyaa mnoo.
Huu ni msafara wa POTUS
1707667662110.png
 
Kuna vitu ukiviona bado vinafanywa na viongozi wa kiafrika katika karne hii unabakia kucheka na kuwaza kuwa kumbe viongozi wa kiafrika bado wana akili za kitoto mnoo.

Moja ya vitu vya kipuuzi kabisa ni msururu wa msafara wa magari ya kifahari kwenye ziara za viongozi duni wa nchi za kiafrika (Tanzania ikiwa ni mfano mzuri). Mambo ambayo yalipaswa kufanywa karne iliyopita wakati watu wakiwa harusini, eti ndio trend fashion ya viongozi wa kiafrika wa sasa.

Mbwembe hizo na ufahari hazina faida yoyote, zinawaudhi mnoo raia wa kawaida wanaokuwa busy na maisha yao na wala hawana time na hizo takataka.

Misafara hiyo hufunga barabara kwa muda, huacha vumbi la hatari vijijini, hupelekea matukio ya ajali nk. Utasikia viongozi wakisema eti wako busy kwenda kusikiliza kero, kuzindua ujenzi wa vyoo vya shule vilivojengwa kwa pesa za misaada ya wazungu, kukagua mradi wa bomba la maji la kijiji, kukata utepe ili kuzindua kivuko cha miguu cha kijiji

Inatia kinyaa mnoo.
hiyo ni protocol ya kawaida sana sio Tanzania tu bali pia inafanyika Africa na Duniani kote....

Kiufupi hakuna mbadala ya protokali hiyo, na kwa hivyo itaendelea kutekelezwa kikamilifu kama ilivyo tena bila mabadiliko yoyote ispokua labda kubadili magarie na walinzi 🐒

Usalama wa viongozi wetu ni muhimu sana, lakini pia kazi na shughuli za wananchi ni muhimu zaidi.

Tuendelee kuwapenda, kuwaheshimu na kuwaenzi viongozi wote nchini 🐒

R.I.P Laigwanan comrade EL
 
Kuna vitu ukiviona bado vinafanywa na viongozi wa kiafrika katika karne hii unabakia kucheka na kuwaza kuwa kumbe viongozi wa kiafrika bado wana akili za kitoto mnoo.

Moja ya vitu vya kipuuzi kabisa ni msururu wa msafara wa magari ya kifahari kwenye ziara za viongozi duni wa nchi za kiafrika (Tanzania ikiwa ni mfano mzuri). Mambo ambayo yalipaswa kufanywa karne iliyopita wakati watu wakiwa harusini, eti ndio trend fashion ya viongozi wa kiafrika wa sasa.

Mbwembe hizo na ufahari hazina faida yoyote, zinawaudhi mnoo raia wa kawaida wanaokuwa busy na maisha yao na wala hawana time na hizo takataka.

Misafara hiyo hufunga barabara kwa muda, huacha vumbi la hatari vijijini, hupelekea matukio ya ajali nk. Utasikia viongozi wakisema eti wako busy kwenda kusikiliza kero, kuzindua ujenzi wa vyoo vya shule vilivojengwa kwa pesa za misaada ya wazungu, kukagua mradi wa bomba la maji la kijiji, kukata utepe ili kuzindua kivuko cha miguu cha kijiji

Inatia kinyaa mnoo.
KODI za hao WANYONGE wanaodai WANAWATETEA ZINATAFUMWA kwa hiyo MISAFARA na KULIPANA POSHO
 
Kuna vitu ukiviona bado vinafanywa na viongozi wa kiafrika katika karne hii unabakia kucheka na kuwaza kuwa kumbe viongozi wa kiafrika bado wana akili za kitoto mnoo.

Moja ya vitu vya kipuuzi kabisa ni msururu wa msafara wa magari ya kifahari kwenye ziara za viongozi duni wa nchi za kiafrika (Tanzania ikiwa ni mfano mzuri). Mambo ambayo yalipaswa kufanywa karne iliyopita wakati watu wakiwa harusini, eti ndio trend fashion ya viongozi wa kiafrika wa sasa.

Mbwembe hizo na ufahari hazina faida yoyote, zinawaudhi mnoo raia wa kawaida wanaokuwa busy na maisha yao na wala hawana time na hizo takataka.

Misafara hiyo hufunga barabara kwa muda, huacha vumbi la hatari vijijini, hupelekea matukio ya ajali nk. Utasikia viongozi wakisema eti wako busy kwenda kusikiliza kero, kuzindua ujenzi wa vyoo vya shule vilivojengwa kwa pesa za misaada ya wazungu, kukagua mradi wa bomba la maji la kijiji, kukata utepe ili kuzindua kivuko cha miguu cha kijiji

Inatia kinyaa mnoo.
Mbaya sana,unakuta waziri kaongozana na watu zaidi ya 30,kwenda kuweka jiwe la msingi ujenzi wa matundu ya vyoo,vilivyotolewa msaada na JAICA, ukuta umeandukwa kwa msaada wa watu wa Japan
 
hiyo ni protocol ya kawaida sana sio Tanzania tu bali pia inafanyika Africa na Duniani kote....

Kiufupi hakuna mbadala ya protokali hiyo, na kwa hivyo itaendelea kutekelezwa kikamilifu kama ilivyo tena bila mabadiliko yoyote ispokua labda kubadili magarie na walinzi

Usalama wa viongozi wetu ni muhimu sana, lakini pia kazi na shughuli za wananchi ni muhimu zaidi.

Tuendelee kuwapenda, kuwaheshimu na kuwaenzi viongozi wote nchini

R.I.P Laigwanan comrade EL

Huko Mapinga Umeme Umerudi?
 
Ufujaji wa mali za umma awamu hii nadhani utafikia kiwango cha juu kwenye vitabu vya historia.

Tukio la leo la magari kadhaa kugongana yakiwa kwenye msafara wa Makonda, limenifanya niendelee kushangaa hii kasi ya matumizi mabaya ya mali za umma bila hata kujali juhudi za walipakodi wanaokadiriwa kila mwaka kuchangia Serikali kupata mapato ya kikodi.

Juzi Samia ameondoka na ndege yenye ratiba ya kwenda China na sidhani kama tuna ndege nyingine inayoweza kufidia ratiba yetu ya route ya China kwa sasa zaidi ya kuwatafutia abiria nafasi kwenye mashirika mengine ya ndege, abiria wanaokwenda na kurudi kati ya Dar es salaam na Guangzhou. Hivi ndege ya Rais iliyonunuliwa kwa kulazimishwa kula majani ilienda wapi?

Kuna magari mapya ya Serikali yamegawiwa siku chache zilizopita, hivi kwenye ajali hii hakuna mapya yaliyoathirika? vipi matengenezo yake, pesa itatoka hazina pia au viongozi wa kijani watatumia mwanya huu kujiuzia kwa bei ya kutupwa au hata kujipatia gari bure tu ?..... 🫢 🤔 :oops: 😰😰😰😰
 
Nipo Arusha. Nikamuuliza mdada mmoja siku moja,nikamwambia,"Huyu nadhani ni rais anakwenda Katesh."
Akautazama ule msafara una magari kumi tu,akasema,"Hapana. Huyo atakuwa Waziri Mkuu"
 
hiyo ni protocol ya kawaida sana sio Tanzania tu bali pia inafanyika Africa na Duniani kote....

Kiufupi hakuna mbadala ya protokali hiyo, na kwa hivyo itaendelea kutekelezwa kikamilifu kama ilivyo tena bila mabadiliko yoyote ispokua labda kubadili magarie na walinzi 🐒

Usalama wa viongozi wetu ni muhimu sana, lakini pia kazi na shughuli za wananchi ni muhimu zaidi.

Tuendelee kuwapenda, kuwaheshimu na kuwaenzi viongozi wote nchini 🐒

R.I.P Laigwanan comrade EL
Dunia gani unayoongelea?? hao wanaochangia budget mbona hawafanyi hivo. Usilopoke mwenzio amesema viongozi wa kiafrika. Tuonyeshe msafara wa Kiongozi wa The Netherlands, Sweden Denmark Norway kama wanafanya huu ujinga.
 
Kuna vitu ukiviona bado vinafanywa na viongozi wa kiafrika katika karne hii unabakia kucheka na kuwaza kuwa kumbe viongozi wa kiafrika bado wana akili za kitoto mnoo.

Moja ya vitu vya kipuuzi kabisa ni msururu wa msafara wa magari ya kifahari kwenye ziara za viongozi duni wa nchi za kiafrika (Tanzania ikiwa ni mfano mzuri). Mambo ambayo yalipaswa kufanywa karne iliyopita wakati watu wakiwa harusini, eti ndio trend fashion ya viongozi wa kiafrika wa sasa.

Mbwembe hizo na ufahari hazina faida yoyote, zinawaudhi mnoo raia wa kawaida wanaokuwa busy na maisha yao na wala hawana time na hizo takataka.

Misafara hiyo hufunga barabara kwa muda, huacha vumbi la hatari vijijini, hupelekea matukio ya ajali nk. Utasikia viongozi wakisema eti wako busy kwenda kusikiliza kero, kuzindua ujenzi wa vyoo vya shule vilivojengwa kwa pesa za misaada ya wazungu, kukagua mradi wa bomba la maji la kijiji, kukata utepe ili kuzindua kivuko cha miguu cha kijiji

Inatia kinyaa mnoo.
Kabisa
 
Dunia gani unayoongelea?? hao wanaochangia budget mbona hawafanyi hivo. Usilopoke mwenzio amesema viongozi wa kiafrika. Tuonyeshe msafara wa Kiongozi wa The Netherlands, Sweden Denmark Norway kama wanafanya huu ujinga.
Mkuu acha ubishi wa kijinga
Huu ni msafara wa POTUS- Washington DC
1707716456729.png
 
Back
Top Bottom