- Thread starter
- #161
elewa basi unaambiwa kaacha harrier old modelMiaka ya ya 2019 alikuwa na VW amarok, mwaka jana pale Ferry Soko la samaki nilimkuta na Toyota Alphard
elewa basi unaambiwa kaacha harrier old modelMiaka ya ya 2019 alikuwa na VW amarok, mwaka jana pale Ferry Soko la samaki nilimkuta na Toyota Alphard
Macelebrities wa Kibongo ni miyeyusho tu, hawana issue hata kidogo, full maigizoCelebrities anaabudu pombe na Mademu. Siku likimkuta Jambo anaaibika hadharani kabla na baada ya Maziko, watoto wanabaki kugawana makochi na harrier old model.
NB: Tengeneza future ya wategemezi wako ukiwa na nguvu.
Wacheni utani jamani, hapa Bongo tuna wasanii uchwara tu.....hatuna celebrities.Celebrities anaabudu pombe na Mademu. Siku likimkuta Jambo anaaibika hadharani kabla na baada ya Maziko, watoto wanabaki kugawana makochi na harrier old model.
NB: Tengeneza future ya wategemezi wako ukiwa na nguvu.
Acha uvivu na akili tegemezi.Tafuta vya kwako kwanza.Urithi iwe kitu cha ziada.Watu sampuli yako huwa hamkawii kuua ndugu zenu kwa kugombea vya urithi.Heshima yako ije kwa kufanya kazi na kumiliki jasho lako.Matajiri wa kiafrika wanaakili kama zako matokeo yake wakifa marafiki zao ndo wanaofaidi mali zao Uku familia zao zikibaki hazina kitu baada ya mda flani
Celebrity bongo anaendesha NOAH, daah! akiumwa kidogo lazima mchangishwa, msiba watu wanaagia shule ya msingiWacheni utani jamani, hapa Bongo tuna wasanii uchwara tu.....hatuna celebrities.
Unavyoniita mvivu je nilishawahi kuja kukulilia shidaAcha uvivu na akili tegemezi.Tafuta vya kwako kwanza.Urithi iwe kitu cha ziada.Watu sampuli yako huwa hamkawii kuua ndugu zenu kwa kugombea vya urithi.Heshima yako ije kwa kufanya kazi na kumiliki jasho lako.
Sio kupasiana ni kurithishanaWanapasiana mali chini ya utaratibu maalum sio kiholela tu.
Ngozi ya taq.o ndo mtihanUnavyoniita mvivu je nilishawahi kuja kukulialia urithi
Mimi watoto wangu ntawaachiw urithi mzuri tu mimi kwetu ni familia ya kawaida kwa hiyo tumeschiwa urithi wa kawaida tu
Naomba nijibu hili swali
Mbona wahindi na warabu wanategemea urithi na hawauani
Ukiangalia utajiri wa wahindi na warabu wengi wao sio wote utajiri wao ni wa kurithi umeanzia mbaliNgozi ya taq.o ndo mtihan
Well said, kwa hiyo mwenye haki ya kudai urithi ni mjukuu,wala si mtotoHebu tumsikilize Prof. Suleiman
View attachment 2972678
'Na kutopewa siyo hiari,Urithi sio ombi
Hizo mali alizoacha marehemu nani atasimamiaWell said, kwa hiyo mwenye haki ya kudai urithi ni mjukuu,wala si mtoto
tukifuata hiyo mistari hapo juu.
Nimalizie kwa kusema,kama wewe ni mtoto wa Mr X,na babu yako ni Y
na Y kama anaishi nenda kamuombe urithi, endapo ameishakufa bila kukuachia urithi
basi una bahati mbaya pambana kutafuta vyako.
Utoto raha sana ukikua ukipambana ukawa na mtoto wako na familia huwezi ongea jambo kama hili'Na kutopewa siyo hiari,
mtu anawezakuwa na mali akaamua kuuza na hela akatumia
jaribu kumfungulia mashtaka,useme anauza mali sasa sisi tutarithi nini? usikie majibu ya hakimu.
Mama dangote mbona ataroga watu, woiiiiihMungu aepushilie mbali ila moto utawaka!
Wale waswahili!
Sijajua kama ulielewa nilichokueleza.Naanza upya.Tafuta mali zako kwanza.Hivyo vya urithi viwe vya ziada tu.Usiegemeze ubongo wako kusubiri urithi.Usipokuwepo huo urithi utafanyaje?Utaanza kulia?Na hata watoto na unaokaa nao kuongea nao usiwakaririshe kwamba ni lazima wagawiwe urithi.Unawapa ulemavu wa akili ya kutotafuta na kutojitegemea.Siyo lazima upate urithi.Unavyoniita mvivu je nilishawahi kuja kukulilia shida
Mimi watoto wangu ntawaachia urithi mzuri tu mimi kwetu ni familia ya kawaida kwa hiyo tumeachiwa urithi wa kawaida tu
Naomba nijibu hili swali
Mbona wahindi na warabu wanategemea urithi na hawauani
Hizo mali alizoacha marehemu nani atasimamia
Mfano baba yako ni tajiri akafariki ghafla bila kutoa urithi na msimamizi kwa hizo mali mtaziacha
Mbona watu mnaakili fupi sana
Acha kuuwaza urithi kihivyo.Utalala na katambuga!Utoto raha sana ukikua ukipambana ukawa na mtoto wako na familia huwezi ongea jambo kama hili
Bahatimbaya hatujuani,ila kwa ufupi ni kwamba wanaopambana humu kupata urithi wengi ni mariooUtoto raha sana ukikua ukipambana ukawa na mtoto wako na familia huwezi ongea jambo kama hili
Tafuta mali bro,kusubiri urithi kutakufanya maskini.Hizo mali alizoacha marehemu nani atasimamia
Mfano baba yako ni tajiri akafariki ghafla bila kutoa urithi na msimamizi kwa hizo mali mtaziacha
Mbona watu mnaakili fupi sana