Umekomaa na mtoto wa afande sele utasema ni yeye tu aliyekaa kwenye mstariYes , watu tumekuwa judgmental Sana .
Ila unajua mkuu , ukimuangalia mtoto wa afande sele yule binti lazima up ate goosebumps .
Ukipata MUDA mtazame tunda wa Afande sele then umuangalie na Huyo Malkia
Ukimlea Mtoto hakikisha anakuwa na tija na sio kumuharibu na kuwa vile alivyo
Afande sele na Tunda yale ndo malezi
Ujuzi ndio urithi?Asilimia kubwa ya makazi dar es salaam hasa kino,sinza,mabibo,tbt ,manzese nk ni duni sana,kwa kuhalisia nyumba nyingi ni za urithi, wengi wameshindwa kuendeleza na wanasubiri kuziuza, je ndio lilikua lengo la mtoa urithi? Matatizo ni mengi, sio kila mtu atakua tajiri awe na vya kugawa,,nchi hii maskini sana elimu kwanza haya yakuacha legacy kama ya kina mengi, aboud,mo,bakhressa nk ni ya wachache sana, elimu sio degree tu,rithisha hata ujuzi kwa wanao