Nikusaidie urith ni mali na sio elimuUrithi sio lazima iwe mali,
Malezi mema na elimu utakayo wapa wanao ni urithi kamili kabisa kama hukupata mali ya kuweza kuwaachia wanao,
Kuwaza urithi wa wazazi wako ni dalili ya uvivu,kukata tamaa au kutaka vyamteremko.
Urithi lazima ungeishi mwenyewe , nan kakutuma uzae?watoto nao watafute maisha yao wasisubiri urithi
Waafrika tuna shida sana mtu anamsomesha mtoto anaita urithi lile ni jukumu la kama mzaziTatizo lipo Kwa Wala kitimoto
Ndo maana waafrika matajiri wakifa marafiki wakaribu ndo wanafaidi mali za marehemu lakin watoto na familia wanabaki katika hali ngumu kwa sababu ya mentality za waafrika kwamba usimpe mtoto urithi eti apambane mwenyeweUrithi lazima ungeishi mwenyewe , nan kakutuma uzae?
Wategemezi na wao si wanatafuta vya kwao kama na wewe ulivyotafuta?Celebrities anaabudu pombe na Mademu. Siku likimkuta Jambo anaaibika hadharani kabla na baada ya Maziko, watoto wanabaki kugawana makochi na harrier old model.
NB: Tengeneza future ya wategemezi wako ukiwa na nguvu.
😂Kumbe inawezekana mtu kuabika hata baada ya kufa
Sio kutegemea mali ya marehemuWategemezi na wao si wanatafuta vya kwao kama na wewe ulivyotafuta?
hii tabia ya kubweteka na kutegemea mali za marehemu wafrica tuachane nayo
Huna akili ya uelewa,katafute wapumbavu wenzako usumbuane nao punguani wewe,Umehamisha tena magoli
We pambana alafu marafiki zako waje wafaidi jasho lako
Wewe tafuta mali zako,acha kumvizia mshua wako avute ili urithi mali,acha kushinda kijiweni ukibishana Simba na Yanga,katafute mali zako,Sio kutegemea mali ya marehemu
Wahindi mbona wanapasiana utajiri vizazi na vizazi waafrika tuna mindset za ajabu sana
kuzaa nimezaa na urithi hakuna, kwani mbona mimi nimezaliwa na sikuachiwa urithi na nipo mpaka leo?Urithi lazima ungeishi mwenyewe , nan kakutuma uzae?
"Wenye mali huwa hawaandikagi hivi "Baba zenu hawajarithishwa. Wamepambana. Pambaneni vjana, acheni kubet na uzinzi. Nasi kama wazazi hatuwarithishi kitu. Mtafute vyenu.
na ndio wewe muafrika ngozi nyeusi kwanza hutaki kujifunza cho chote unaona kama ni utumwa tu. Pili nikikuweka mfano kama dukani au kwenye biashara nyingine ndiyo unaishia kuifilisi.Na hizi akili kama zako zinawafanya matajiri wengi ngozi nyeusi wakifa na utajiri wao unapuputika wote na wanaoufaidi ni marafiki zako sababu ndo wanajua abc za mali na sio familia yako
Kuna faida gani unakufa wewe alafu marafiki zako na watu wako wengine ndo wanaofaidi matunda ya jasho lako huku familia ukiacha kwenye mateso
Wahindi na warabu wanarithishana nali unakuta utajiri ulianzia kwa babu unaenda mpaka kwa wajukuu lakin ni kawaida sana muafrika kufariki leo na utajiri wote ukamfuata yaani unapambana kwa ajili ya kuneemesha familia za rafiki yako
akili yako ndiyo ya kijinga ya kusubiri urithi badala ya kujitahidi kutafuta vya kwako. PoleHizi akili za kijinga ndio zinasababisha baadhi ya jamii hapa Afrika zizidi kubaki kwenye umasikini
Yani babu awaachie wajukuu urithi, thats the definition😁Hebu tumsikilize Prof. Suleiman
View attachment 2972678
uzi ufungweHebu tumsikilize Prof. Suleiman
View attachment 2972678
Umeongea kikubwa sana pale juu, watoto hawatakuelewa.Mimi namaanisha ili watoto wetu wasiishi kwa kutegemea mirathi za wazazi wao, tunatakiwa wazazi kuwaandalia maisha yao ya sasa na ya baadaye!
Mfano kwa kuwapatia elimu bora itakayowafanya kujitegemea, kwa kuwapa mitaji ya kufungulia biashara zao binafsi, kampuni, nk.