DOKEZO Mgogoro wa Ardhi, Rushwa yawapofusha Viongozi Wilaya ya Kilombero

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

bababikko

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
2,693
4,352
Licha ya yote hayo leo tena Kambenga aendelea kunyang'anya mbegu za wakulima hadi ikatokea vurugu kubwa kijijini Katika hali isiyo ya kawaida viongozi wa wilaya ya Kilombero wamepofushwa macho na familia ya Kambenga katika mgogoro wa ardhi Namawala.

Licha ya mkuu wa mkoa aliyepita Martin Shigela kumaliza mgogoro huo. Familia ya Kambenga inaendelea kutumia polisi wa kituo cha Ifakara kukamata wakulima na matrekta yao na kuwafungulia mashtaka na kuyapuuza maamuzi ya mkuu wa mkoa aliyehamishwa.

Familia ya Kambenga ikiongozwa na Hasanali Kambenga haina umiliki wa eneo hilo wana ofa ya eka mia moja iliyopatikana isivyo kihalali kwenye eneo la Narubungo lakini wanadai kua wanamiliki eka 1000 hata hivyo ameendelea kuwasumbua wana kijiji cha Videnge ndio hapo tunaona upotoshaji.

Kuna habari za chinichini kuwa analindwa na Ridhiwani Kikwete kesi mbili za mahakama ya wilaya kesi namba 29/2018 na kesi namba 200/2018 hakimu akiwa L.o.KHAMIS ziliamuliwa kimchongo licha ya ushahidi wa wazi uliotolewa mahakamani dhidi ya Kambenga.
 
Katika hali isiyo ya kawaida viongozi wa wilaya ya kilombero wamepofushwa macho na familia ya Kambenga katika mgogoro wa ardhi Namawala.licha ya mkuu wa mkoa aliyepita Martin shigela kumaliza mgogoro huo
Familia ya kambenga inaendelea kutumia polisi wa kituo cha Ifakara kukamata wakulima na matrekta yao na kuwafungulia mashtaka na kuyapuuza maamuzi ya mkuu wa mkoa aliyehamishwa. familia ya Kambenga ikiongozwa na Hasanali kambengahaina umiliki wa eneo hilo wana ofa ya eka mia moja iliyopatikana isivyo kihalali kwenye eneo la narubungo lakini wanadai kua wanamiliki eka 1000. hata hivyo ameendelea kuwasumbua wana kijiji cha videnge ndio hapo tunaona upotoshaji.kuna habari za chinichini kuwa analindwa na Ridhiwani kikwete. kesi mbili za mahakama ya wilaya kesi namba 29/2018 na kesi namba 200/2018 hakimu akiwa L.o.KHAMIS ziliamuliwa kimchongo licha ya ushahidi wa wazi uliotolewa mahakamani dhidi ya kambenga
 
katika muendelezo wa mgogoro huo kesi mbili za jinai namba 29/2018 na 200/2018 kambenga alidai kupewa shamba hilo na CCM na kufuatilia ushahidi uliotolewa mahakamani hakimu wa wakati huo L.O KHAMIS alitoa hukumu ya mchongo kumpendelea ndugu Kambenga, nitakuletea mtiririko wote wa hukumu hiyo hapa
na ndio chanzo cha familia hiyo kukamata wananchi ovyo kuwaweka ndani na kuwanyanyasa huku wakuu wa idara mbalimbali wakilimiwa mashamba ya mpunga bure kama rushwa.
 
katika muendelezo wa mgogoro huo kesi mbili za jinai namba 29/2018 na 200/2018 kambenga alidai kupewa shamba hilo na CCM na kufuatilia ushahidi uliotolewa mahakamani hakimu wa wakati huo L.O KHAMIS alitoa hukumu ya mchongo kumpendelea ndugu Kambenga, nitakuletea mtiririko wote wa hukumu hiyo hapa
na ndio chanzo cha familia hiyo kukamata wananchi ovyo kuwaweka ndani na kuwanyanyasa huku wakuu wa idara mbalimbali wakilimiwa mashamba ya mpunga bure kama rushwa.
Kila la kheri
 
Back
Top Bottom