Mbingu haipo, watu husema mbinguni kuna maisha mazuri lakini huomba waishi maisha marefu duniani

Ww una amini katika lipi chief?
Na amini kwamba Dunia imekuwepo na itakuwepo milele.

Hakuna kitu kama mbinguni.

Ukisha kufa ndio basi.

Fikiria watu waliokufa Billion years ago, Lakini dunia bado ipo na watu huendelea kazaliwa kila siku.
 
Sawa chief tuende taratibu.
hyo dunia ambayo imekuwepo ..imekuwepo kutokea wapi?
Hamna chanzo wala asili ya kuwepo kwake?
Na amini kwamba Dunia imekuwepo na itakuwepo milele.

Hakuna kitu kama mbinguni.

Ukisha kufa ndio basi.

Fikiria watu waliokufa Billion years ago, Lakini dunia bado ipo na watu huendelea kazaliwa kila siku.
 
Mbingu haipo mazeee ......ishi vizuri na watu,furaha maisha yako vizuri kuwa kioo kwenye jamii na hivi ndivyo nature ya dunia ilivyo
Hyo mbingu unayosema haipo..ndio hyo ambayo tunaamiini tutaenda kwa kufanya hayo ambayo umetuasa
 
Sawa chief tuende taratibu.
hyo dunia ambayo imekuwepo ..imekuwepo kutokea wapi?
Hamna chanzo wala asili ya kuwepo kwake?
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kufahamu chanzo cha Dunia.

Nadharia mbalimbali zimetolewa tu, kudhani na kuonesha namna dunia ilivyo anza.

Lakini hakuna ushahidi na uthibitisho kamili wa Asili na chanzo cha Dunia.
 
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kufahamu chanzo cha Dunia.

Nadharia mbalimbali zimetolewa tu, kudhani na kuonesha namna dunia ilivyo anza.

Lakini hakuna ushahidi na uthibitisho kamili wa Asili na chanzo cha Dunia.
Unaweza ukaniambia kipi kilipelekea pakawa na binadamu, wanyama ,ndege.

Kipi kilipekea watu wakatofautiana rangi , lugha na hata jinsia.

Kama vitu kibao ambavyo tunategemea ili kuishi kama ardhi ili kupanda mazao ,kuna mvua ,usiku na mchana ,hali ya hewa kama joto ma baridi na vingine kibao ,..Je unaweza kuniambiq hivyo vyote vimetokana na nn au mechanisma gani?

Kama baridi hata waliondelee watlibuni AC inaleta baridi ila hii baridi ya asili inatokana na nn?
 
Unaweza ukaniambia kipi kilipelekea pakawa na binadamu, wanyama ,ndege.

Kipi kilipekea watu wakatofautiana rangi , lugha na hata jinsia.

Kama vitu kibao ambavyo tunategemea ili kuishi kama ardhi ili kupanda mazao ,kuna mvua ,usiku na mchana ,hali ya hewa kama joto ma baridi na vingine kibao ,..Je unaweza kuniambiq hivyo vyote vimetokana na nn au mechanisma gani?

Kama baridi hata waliondelee watlibuni AC inaleta baridi ila hii baridi ya asili inatokana na nn?
Hatuwezi kujua, Tusicho kijua.

Nadharia mbalimbali za kisayansi na kidini zote zimejaribu kuonesha vyanzo vya wanyama, ndege na binadamu.

Hakuna uthibitisho wa uhakika na ushahidi kamili unao onyesha chanzo halisi cha ulimwengu.

Maana kumbuka si ulimwengu tu, pia na Universe, ime elezewa kwa nadharia nyingi sana.
 
Hatuwezi kujua, Tusicho kijua.

Nadharia mbalimbali za kisayansi na kidini zote zimejaribu kuonesha vyanzo vya wanyama, ndege na binadamu.

Hakuna uthibitisho wa uhakika na ushahidi kamili unao onyesha chanzo halisi cha ulimwengu.

Maana kumbuka si ulimwengu tu, pia na Universe, ime elezewa kwa nadharia nyingi sana.
Basi mbingu ipo kwa nasharia na weny kuamini uwepo wake ..Ni wewe tu kama hukubali ni sawa ila ipo kwa wenye imani.!!
 
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kufahamu chanzo cha Dunia.

Nadharia mbalimbali zimetolewa tu, kudhani na kuonesha namna dunia ilivyo anza.

Lakini hakuna ushahidi na uthibitisho kamili wa Asili na chanzo cha Dunia.
KWAHYO HAKUNA UNACHOAMINI KATIKA CHANZO CHA UWEPO WA DUNIA MAANA HAMNA USHAHIDI KUTOKA KWA HAO WANADAMU AMBAO UNAWAAMINI WAKIKULETEA USHAHIDI.
 
KWAHYO HAKUNA UNACHOAMINI KATIKA CHANZO CHA UWEPO WA DUNIA MAANA HAMNA USHAHIDI KUTOKA KWA HAO WANADAMU AMBAO UNAWAAMINI WAKIKULETEA USHAHIDI.
Naamini dunia imekuwepo na itakuwepo milele.

Dunia Haina chanzo.

Vyanzo vilivyopo ni nadharia tu.
 
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kufahamu chanzo cha Dunia.

Nadharia mbalimbali zimetolewa tu, kudhani na kuonesha namna dunia ilivyo anza.

Lakini hakuna ushahidi na uthibitisho kamili wa Asili na chanzo cha Dunia.
Hapa ndio huwa nashangaa,

Swali, Wanasayansi wakikamilisha tafiti zao wakaja kukuthibitishia Mungu au Mbingu ipo utaamini ?
 
Hapa ndio huwa nashangaa,

Swali, Wanasayansi wakikamilisha tafiti zao wakaja kukuthibitishia Mungu au Mbingu ipo utaamini ?
Kitu kikisha thibitishwa na kuonekana kipo, kutakuwa hakuna haja ya imani, maana kitakuwepo.

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Wanasayansi mpaka sasa, Hawana uthibitisho wa kuonyesha uwepo wa Mungu na mbingu,

Kwa vile ni vitu ambavyo havipo katika uhalisia bali ni mawazo ya kufikirika tu.

Imaginations just an illusion.
 
Ukitaka kujua wanadamu ni wanafiki mtu akifa utaskia "Mungu amempenda zaidi" lakini akianza kuomba utaskia "Mungu tunakushukuru kwa kutujalia Uhai, wapo ambao hawajaiona siku ya leo lakini ni kwa upendo wako mkuu na Neema sisi ni wazima"
 
Back
Top Bottom