Watu wengi wanamuabudu Mungu wa uongo hapa duniani

badison

JF-Expert Member
May 29, 2015
1,450
2,702
Anything which claims to be God must be eaten- an old african proverb.

Mada hii sio kwa watu wa kukremisha vitabu. Mada hii sio kwa watu wasiotaka kujifunza nje ya kitabu cha imani yao. Vitabu vya dini ni kama script yani ukitoka nje ya script ni zambi

Kwanza kabisa kabla ya kuja waarabu na wamisionary afrika kulikuwa hakuna nadharia ya mungu bali kulikuwapo na utaratibu wa kushukuru na kukumbuka walio tangulia (ancestors) na kama kuna tatizo kulikuwa na namna ya kutatua matatizo hayo kwa kupitia mila.

Katika mada hii muhimu sana nitagusia vita iliyo piganwa kati ya jamii za angani (mbinguni) ambayo katika vita hiyo kiumbe kilichotajwa ni Lucifer tuu kwamba yeye ndiye aliye hasi pekeyake lakini huu ni uongo mtakatifu sana kwani kulikuwa na jamii nyingine nyingi zilizo asi uwepo wa mamlaka ya ANU au El Eloh (sio mungu)

We are interdimensions beings having a human experience- unknown. Binadamu asili yetu ni uungu. Sisi ni miungu ila tumefichwa hii siri.

**** kitu cha uongo sana juu ya historia ya lucifer kwamba yeye ndiye aliye hasi peke yake leo nina furaha kukujulisha kuwa kuna jamii zingine tofauti na lucifer ambazo zilishiriki kupigana vita hiyo ambazo jamii hizo naziita Star Races zilishirikiana na lucifer katika kupinga mamlaka ya ANU. Ambaye huyu ANU ndiyo mkuu wa viumbe wote ulimwenguni (ila sio Sio Mungu ni kama msimamizi tu)

Huko mbinguni kulikiwapo na aina mbalimbali za jamii zipatazo 180 kirahisi nitaita makabila au star races ambazo baadhi nitazitaja hapa ambazo ni Archangel,pleidians,Arcturians,Sirians, Andromedan, Orions, Avians, Tilopeah, Peekah ,Star Seeds, luciferians na Reptilian au predator. Unaweza ukawa umezaliwa hapa duniani kama binadamu lakini asili yako chimbuko lako huko ulipotoka wewe ni jamii ya uungu ila upo hapa kwa lengo maalumu. Asili ya watu wengi hapa duniani chimbuko lao ni hizi jamii za mbinguni.

Jamii zote hizi zilikuwa zikiishi huko mbinguni na mkuu wao alikuwa ni ANU ambaye yeye ndiyo Mizani ya mazuri na mabaya kama kanuni za ulimwengu zilivyo kwamba kila kitu vipo viwili viwili au Duality (hii kitu masons wanaikubali na kweka katika imani zao kama black and white).

Chokochoko za uasi huko mbingu za juu zilianza na wivu baada ya jamii ya lucifer kuona kama ANU ni muongo kwamba anadanganya watu kuna sheria za ulimwengu ambazo zinasimamiwa na law of compensation ( hapa msome ralph waldo emerson utaelewa zaidi) kumbuka lucifer na jamii yao kama draconians, reptilians na Archons wanajua kabisa hakuna mungu ila huyu ANU anatumia hizo sheria za ulimwengu ili yeye ndio awe mtawala wa milele hivyo wakataka kumpindua huyo ANU ambaye ndio mkuu wa ANUNAKI WA KIJANI.

Sasa lucifer sio kiumbe kimoja mjue ni mkusanyiko
wa jamii ya viumbe wengi kama sisi tulivyo wana damu Na wao ndio lucifer walivyo wapo wengi na wanamfalme wao ambaye anaitwa Kronos. Ambao huyu kronos ndio mungu wa hapa duniani watu ndio wanadanganywa kupitia dini wanajua wanaabudu mungu wa kweli kumbe wanamwabudi Muasi au rebel huyu Kronos jina lingine amaitwa Saturn kama huamini fatilia juu ya sayari ya Saturn au Zohal ina alama ya Black cube kama ile ya wale wanao izungukaga pale maka. Black cube zipo nyingi sio maka tuu google utaziona ulaya zimejaa kibao. Huyu kronos ndio Sun of God kwa msio jua. Ni mungu jua wanamwabudu on Sun Day.

Baada ya lucifer kuona wivu na kuingia tamaa anatafuta washirika wake wa kumsaport katika vita yake na ANU ndipo hapo hizo jamii za star races zikakubali kushirikiana nae kupindua utawala wa ANU. Vita ilivyo piganwa lucifer pamoja na washirika wake walishindwa vibaya.

Baada ya kushindwa vita wale washirika walioshawishiwa na lucifer waliomba msamaha na ili wasamehewe walipewa adhabu na moja ya adhabu hiyo ni waliletwa hapa duniani ili wajifunze upendo waachane na tamaa, wivu, ma
Kushawishika kufanya mabaya. Kwaiyo hizo jamii za watu wa angani walikubali adhabu na kukubali kuzaliwa hapa duniani ili wajifunze na wakifaulu somo lao watarudi mbingubza juu kuungana na familia zao na ndugu zao.

Baada ya washirika wa lucifer kuomba msamaha na kupewa nafasi ya pili second chance lucifer yeye alikataa kuomba msamaha na kutamgaza uadui mkubwa na wale washirika wake walio msaliti na kuweka kiapo kuwa hawatakaa warudi nyumbani kwao (mbingu za juu) na atawadanganya kwa mali, tamaa na wivu na mambo mengine mabaya ili kuwasahaulisha lengo lao. LENGO LA BINADAMU NI
KURUDI NYUMBANI MBUNGU ZA JUU KUUNGANA NA FAMILIA ZAO NA KUISHI MILELE HAPA DUNIANI TUPO GEREZANI NA LUCIFER NDIO MUNGU WA HII DUNIA NA WATU WAMAMWABUDU KUPITIA DINI.

Lengo la binadamu kuwa hapa duniani ni kukumbuka alipotoka na kurudi nyumbani. Hapa duniani sio makazi ya binadamu ni sehemu ya lucifer aliyotupwa kukaa hapa milele hivyo anatundanganya sisi binadamu tuwe tunakaa nae na tusahau nyumbani kwetu ambapo ni mbingu za juu huko.

Lengo la binadamu ni upendo na amani na kutoshawishi hakuna kitu kibaya kama kumshqwishi mtu afanye kitu fulani iwe kizuri au kibaya acha. Ushawishi ni kama kumtongoza mwanamke usichokijua ni kwamba mwanamke hatongozwi kuna jinsi ya kufanya Aura yako mwanamke ukimtaka anakuja automatic. Kutongoza mtu ni kuJishusha hadhi kwa kuongea uongo.

Baada ya luficer na jamii yake kutuonea wivu washirika wake waliosamehewa na kupewa nafasi ya kuwa binadamu wakapewa tena na zawadi ingine ambayo ni upendo. Jamii ya lucifer hata iweje hawana upendo ndani yao wao ni chuki na roho ya kufanya Uovu tuu hivyo basi huona hasira sana wanadamu wakipemdana kwani Love ni nguvu pekee ya kumshinda lucifer love namanisha love your self love ingine kumpenda mwanamke au mwanaume au mtoto wako love your self first hapi ndio utamshinda lucifer nikisema Love namanisha unconditional lobe unampenda mtu bila kutaka fidia yoyote kutoka kwao unao wapenda.

Ukijipenda mwemyewe ni hatua ya kwanza kwemda mbingu za juu kwani utajiwazia mazuri sana kama mafanikio na upendo. Kumbuka mtu ambaye amefanikiwa kujipenda mwenyewe bila kasoro yoyote anaishiaga kuwa Loner hata kaa apate mwanamke au mwanaume wa kumpenda atakuwa single maisha yake yote au akiwa na
Mahusiano anajua kabisa ni fake love.

Turudi kwemye mada baada ya watu kutokea hapa duniani na hao watu ni jamii au kabilaza mbingu za juu lucifer hapa amefungwa milele hawezi toka ni mfano wa joka lenye minyororo hawezi kwenda mbingu ni tena hivyo ama wivu jataki na wanadamu waende mbinguni ikabidi aje na mpango mkakati wa kuzuia potential ya binadamu.

Lucifer akajifanya yeye ni mungu na akaumba binadamu wawili adam na eva kama photocopy ya binadamu wa ukweli na ukiwatazama huwezi kuwatofautisha ( amini hiki ninacho kwambia kwasababu Cloning Technology ipo duniani kwa sasa mtu akipata DNA yako anaweza kukutoa photocopy na akatengemezwa mtu wa kufanana na wewe kila kitu kasoro tu hataweza kuwa na nafsi.)

Kwaiyo binadamu wa kwanza asiye kuwa na nafsi ni adamu na eva hawa ndio wakawa chanzo cha uharibifu wa watu wa kweli hapa duniani. Mada zangu nilisha zungumzia kuwa adamu na eva sio watu wa asili ni watu wa maabara walio tengenezwa kwa genetic modification hawa watu ndio wauwaji kama Kaini alimuua roboti abeli.

Duniani hapa kuna watu hawana nafsi ni maroboti wanaendeshwa na luciferian watu hawa anaweza kuwa baba yako mqma
Shamgazi mjomba mtoto wako au mke wake yani wapo kila mahali hawa soulless beings au NPC Characters.

Hawa watu wasio kuwa na nafsi hawana upendo wa kweli na kama ukiwa kwenye uhusiano nae ni usaliti, tamaa za ngono hela na kujionyesha.

Ni ipi tofauti ya kweli kati ya hawa viumbe jamii ya adamu wasio kiwa na nafsi na binadamu wa kweli wenye nafsi.? Tofauti yao ni moja watu wemye nafsi mungu aliyejuu zaidi yupo ndani yao yani hawategemei mwokozi au dini au mtume fulani kuwaokoa au hawategemei mtu fulani au mchungaji au shee kuwaombea.

Binadamu wasio na nafsi wanategemea uhakikisho na kufata mkumbo mfano hakuna mtu anayeweza kukukomboa au kuwa mwokozi wako isipokuwa wewe mwenyewe. Watu wenye nafsi hawana hofu ya kukataa dini na kuishi maisha yao na kuwafundisha watoto wao kuwa dini sio kwaajili ya watu wenye nafsi ni kwajili ya watu wasio na nafsi.

Mtu mwenye nafsi haitaji kuwa na dini kwani yeye ana miliki kitu kinaitwa subconscious mind hii ndio nguvu au power ya watu wenye nafsi. Hii subconscious mind ndio mungu aliyejuu zaidi inaniongoza kupitia ndoto zangu. Na ina nionya kama kuna hatari mbele yangu na niligundua ninayo baada ya kuwa na matatizo ya kiroho.

Mfano ulishawahi kujiuliza kwanini unakabwa usiku ukilala alafu ukisema katika jina la yesu ndio unazidi kukabwa au wewe ni mslamu pale unasoma sura ya ikhilasi au al falaq bado unazidi unakabwa jua wewe una nafsi.

Dalili moja wapo kuwa wewe una nafsi ni kukabwa usiku. Unapokabwa usiku ni kwamba lucifer kupitia vijakazi wake watu wasiokuwa na nafsi ambao wanaweza kutoka nje ya mwili au astro projection na kuja kukukaba. Usiogope unachotakiwa ni kuachana na mambo ya dini na kuanza kusikiliza sehemu ulipo Moyo wako utapata utulivu. (Heart Chakra)

Kama wewe unakabwa usiku jua una miliki nafsi yako na watu wanakuonea wivu kwani kitendo cha kumkaba mtu picha yake ni kuwa mtu huyo anachuki na wewe na anatamani akumalize ufe.

Nini cha kufanya? Chakufanya ni usiwe na hofu wala usiogope sana wewe sema asante mungu uliye juu zaidi nakushukuru mungu uliye juu zaidi. Huyu mungu aliye juu zaidi ndio jina la mungu wa ukweli ambalo jina hili amelitumia lucifer kukiri mamlaka ya the most high.

Kumbuka kuwa baba ako na mama yako wanaweza kuwa maadui zako kwani wanaweza kuwa hawana nafsi na wewe ukawa na nafsi hivyo ikapelekea wao kukuchukia sana na kutokukupa msaada wowote. Mfano baba yako akikushauri akupeleke kwa mganga ukikataa tayari unakuwa adui yake vile vule mama yako utafika umri atakudanganya akupeleke kwa mganga ukikataa unakuwa adui.

Mimi ni black sheep kwenye familia yangu nina miaka zaidi ya kumi sijawahi kuwa na mawasiliano na baba na mama yangu tumekata undugu kwa sababu imani yao na mimi ni tofauti nilikuja kugundua ni soulless beings hivyo na wewe usije ukadanganyika ukaingizwa kwenye system ya lucider na baba yako au mama yako kwani hao ni mawakala.

Blood relationship is just physical sio kwamba kama mtu ni baba ako au mzaz wako ndio anakuoenda wake up amka vita inayopiganwa ni kutafuta nafsi za watu wewe hapq duniani umekuja kuooteza muda tuu hao unaowaita ndugu zako ni watu usio wajua il mmekutanq tu hapq duniani.

Sisi binadamu wenye nafsi ni miungu we are Gods sema hatujui potential zetu ndio mana ukichunguza sana watu wema ndio wanakufa haraka alafu watu wabaya wanadumu unajua ni kwanini hizo ni kafara, mtu anayetakiwa sikuzote kuliwa nyama au kutolewa kafara ya namna yoyote ile lazima awe na nafsi muulize mganga yoyote yule unayemjua ndio mana kafara hutoi wewe unapangiwa.

Watu wengi hapa duniani wanamuabudu mungu wa uongo lucifer kupitia watu wasio kiwa na nafsi watu hao wamejqzana kwenye nyumba za ibada na kujifanya wanaombea watu dua nzuri kumbe wanawaongezea watu umaskini na matatizo. Usikubali kuwa chini ya mtu kisa yeye ni mchungani au shee au sijui ni mganga wewe unanguvu kuliko watu wa dini kaa nao mbali lengo lao ni kukufanya usahau mungu aliye ndami yako au kukufanya usahau king dom of God the most High is inside you na kukuambia kuwa mungu ni kitu kingine kipo nje ambacho kipo kwenye nyumba za ibada NO. Kataa kuwa huru.

Mungu wa kweli ni subconcsious mind yako imbao inakuunganisha mwili wako nafsi na roho akili yako ndio inakupa ukitakacho kwemye maisha. Waza vema na waza amani ndani yako ondoa hofu na mashaka hiyo ni hali ya lucifer.

Mungu wa kweli ni ukamilifu na sio unafki. Mungu wa kweli hachanganyi chuki na upendo. Soma vitabu vya dini mungu wao ana hasira sana ana acha laana hadi kizazi cha nne mungu wao ni mkali wa kuadhibu sana ukifa anakuchima moto alafu mungu huyo huyo upande wa pili ni mpole na anakupenda. Hiyo ni duality ambayo ndio msingi wa free masons mungu wa zuri na baya kwa wakati mmoja. Ndio mana huwezi kuwa freemason mpaka uwe mwanachama wa dini yoyote uipendayo.

Kwa kumalizia mungu wa kweli ni perfection yeye anakupenda tuu. Haitaji ujipendekeze ndio akupende hapana yeye unakupenda unconditionally kwasababu wewe una nafsi na umezungukwa na watu wasio kuwa na nafsi lazima akupende kwani maadui wamekuzunguka wakuibie nafsi yako au wakushawishi uuze nafsi yao. Mungu wa kweli the Most High haitaji sadaka yako wala magoti yako wala uzu wakati wa kuomba yeye sema nae kupitia ubongo na mawazo yak anaskia na anajibu.
 
Umeandika kama, yalivyo mawazo yangu siku zote. Nimekuwa najiuliza maswali mengi kuhusu mwenendo wa watu mbalimbali na mapokeo yao kuhusu Mungu.

Baadhi ya vitu ambavyo nimekuwa nikiamnini ni
1. Huhitaji kuomba Mungu kupitia kwa mtu au kitu chochote kwa sababu Mungu ni mkuu hana dalali, chawa wala msaidizi. Moja ya kitu ambacho kimekuwa kikinishangaza kwa muda mrefu ni kuomba kupitia watu au vitu vya kati.

2. Kitu cha pili ni jinsi ya kuomba. Unahitaji kuomba kila siku? Au ukiwa na shida? Mimi naamini Mungu yupo ku take care juu yangu, hata kabla sijaomba anajua mahitaji yangu. Hivyo mimi binafsi huwa siombi eti Mungu naomba unifanyie 1,2, 3 ila huwa nashukuru na kusema mapenzi yako (Mungu) yatimizwe.

3. Jambo tatu ambalo huwa linanikwaza ni sheria. Kufanya hivi au vile ni dhambi, kula hiki au kile ni dhambi. Naaminj kila kitu ambacho Mungu amekuwesha akufanya uweze kufanya siyo dhambi as long as haki ondoi upendo, na kuwatia watu wengine wema matatizoni. Vile vitu ambavyo Mungu hakutaka tusivifanye alitunyima uwezo wa kuvifanya. Kwa sababu Mungu tofauti na binadamu hawezi kukutega...aweke sukari mezani halafu aseme usilambe, ule wako ulambe.
 
Anything which claims to be God must be eaten- an old african proverb.

Mada hii sio kwa watu wa kukremisha vitabu. Mada hii sio kwa watu wasiotaka kujifunza nje ya kitabu cha imani yao. Vitabu vya dini ni kama script yani ukitoka nje ya script ni zambi

Kwanza kabisa kabla ya kuja waarabu na wamisionary afrika kulikuwa hakuna nadharia ya mungu bali kulikuwapo na utaratibu wa kushukuru na kukumbuka walio tangulia (ancestors) na kama kuna tatizo kulikuwa na namna ya kutatua matatizo hayo kwa kupitia mila.

Katika mada hii muhimu sana nitagusia vita iliyo piganwa kati ya jamii za angani (mbinguni) ambayo katika vita hiyo kiumbe kilichotajwa ni Lucifer tuu kwamba yeye ndiye aliye hasi pekeyake lakini huu ni uongo mtakatifu sana kwani kulikuwa na jamii nyingine nyingi zilizo asi uwepo wa mamlaka ya ANU au El Eloh (sio mungu)

We are interdimensions beings having a human experience- unknown. Binadamu asili yetu ni uungu. Sisi ni miungu ila tumefichwa hii siri.

**** kitu cha uongo sana juu ya historia ya lucifer kwamba yeye ndiye aliye hasi peke yake leo nina furaha kukujulisha kuwa kuna jamii zingine tofauti na lucifer ambazo zilishiriki kupigana vita hiyo ambazo jamii hizo naziita Star Races zilishirikiana na lucifer katika kupinga mamlaka ya ANU. Ambaye huyu ANU ndiyo mkuu wa viumbe wote ulimwenguni (ila sio Sio Mungu ni kama msimamizi tu)

Huko mbinguni kulikiwapo na aina mbalimbali za jamii zipatazo 180 kirahisi nitaita makabila au star races ambazo baadhi nitazitaja hapa ambazo ni Archangel,pleidians,Arcturians,Sirians, Andromedan, Orions, Avians, Tilopeah, Peekah ,Star Seeds, luciferians na Reptilian au predator. Unaweza ukawa umezaliwa hapa duniani kama binadamu lakini asili yako chimbuko lako huko ulipotoka wewe ni jamii ya uungu ila upo hapa kwa lengo maalumu. Asili ya watu wengi hapa duniani chimbuko lao ni hizi jamii za mbinguni.

Jamii zote hizi zilikuwa zikiishi huko mbinguni na mkuu wao alikuwa ni ANU ambaye yeye ndiyo Mizani ya mazuri na mabaya kama kanuni za ulimwengu zilivyo kwamba kila kitu vipo viwili viwili au Duality (hii kitu masons wanaikubali na kweka katika imani zao kama black and white).

Chokochoko za uasi huko mbingu za juu zilianza na wivu baada ya jamii ya lucifer kuona kama ANU ni muongo kwamba anadanganya watu kuna sheria za ulimwengu ambazo zinasimamiwa na law of compensation ( hapa msome ralph waldo emerson utaelewa zaidi) kumbuka lucifer na jamii yao kama draconians, reptilians na Archons wanajua kabisa hakuna mungu ila huyu ANU anatumia hizo sheria za ulimwengu ili yeye ndio awe mtawala wa milele hivyo wakataka kumpindua huyo ANU ambaye ndio mkuu wa ANUNAKI WA KIJANI.

Sasa lucifer sio kiumbe kimoja mjue ni mkusanyiko
wa jamii ya viumbe wengi kama sisi tulivyo wana damu Na wao ndio lucifer walivyo wapo wengi na wanamfalme wao ambaye anaitwa Kronos. Ambao huyu kronos ndio mungu wa hapa duniani watu ndio wanadanganywa kupitia dini wanajua wanaabudu mungu wa kweli kumbe wanamwabudi Muasi au rebel huyu Kronos jina lingine amaitwa Saturn kama huamini fatilia juu ya sayari ya Saturn au Zohal ina alama ya Black cube kama ile ya wale wanao izungukaga pale maka. Black cube zipo nyingi sio maka tuu google utaziona ulaya zimejaa kibao. Huyu kronos ndio Sun of God kwa msio jua. Ni mungu jua wanamwabudu on Sun Day.

Baada ya lucifer kuona wivu na kuingia tamaa anatafuta washirika wake wa kumsaport katika vita yake na ANU ndipo hapo hizo jamii za star races zikakubali kushirikiana nae kupindua utawala wa ANU. Vita ilivyo piganwa lucifer pamoja na washirika wake walishindwa vibaya.

Baada ya kushindwa vita wale washirika walioshawishiwa na lucifer waliomba msamaha na ili wasamehewe walipewa adhabu na moja ya adhabu hiyo ni waliletwa hapa duniani ili wajifunze upendo waachane na tamaa, wivu, ma
Kushawishika kufanya mabaya. Kwaiyo hizo jamii za watu wa angani walikubali adhabu na kukubali kuzaliwa hapa duniani ili wajifunze na wakifaulu somo lao watarudi mbingubza juu kuungana na familia zao na ndugu zao.

Baada ya washirika wa lucifer kuomba msamaha na kupewa nafasi ya pili second chance lucifer yeye alikataa kuomba msamaha na kutamgaza uadui mkubwa na wale washirika wake walio msaliti na kuweka kiapo kuwa hawatakaa warudi nyumbani kwao (mbingu za juu) na atawadanganya kwa mali, tamaa na wivu na mambo mengine mabaya ili kuwasahaulisha lengo lao. LENGO LA BINADAMU NI
KURUDI NYUMBANI MBUNGU ZA JUU KUUNGANA NA FAMILIA ZAO NA KUISHI MILELE HAPA DUNIANI TUPO GEREZANI NA LUCIFER NDIO MUNGU WA HII DUNIA NA WATU WAMAMWABUDU KUPITIA DINI.

Lengo la binadamu kuwa hapa duniani ni kukumbuka alipotoka na kurudi nyumbani. Hapa duniani sio makazi ya binadamu ni sehemu ya lucifer aliyotupwa kukaa hapa milele hivyo anatundanganya sisi binadamu tuwe tunakaa nae na tusahau nyumbani kwetu ambapo ni mbingu za juu huko.

Lengo la binadamu ni upendo na amani na kutoshawishi hakuna kitu kibaya kama kumshqwishi mtu afanye kitu fulani iwe kizuri au kibaya acha. Ushawishi ni kama kumtongoza mwanamke usichokijua ni kwamba mwanamke hatongozwi kuna jinsi ya kufanya Aura yako mwanamke ukimtaka anakuja automatic. Kutongoza mtu ni kuJishusha hadhi kwa kuongea uongo.

Baada ya luficer na jamii yake kutuonea wivu washirika wake waliosamehewa na kupewa nafasi ya kuwa binadamu wakapewa tena na zawadi ingine ambayo ni upendo. Jamii ya lucifer hata iweje hawana upendo ndani yao wao ni chuki na roho ya kufanya Uovu tuu hivyo basi huona hasira sana wanadamu wakipemdana kwani Love ni nguvu pekee ya kumshinda lucifer love namanisha love your self love ingine kumpenda mwanamke au mwanaume au mtoto wako love your self first hapi ndio utamshinda lucifer nikisema Love namanisha unconditional lobe unampenda mtu bila kutaka fidia yoyote kutoka kwao unao wapenda.

Ukijipenda mwemyewe ni hatua ya kwanza kwemda mbingu za juu kwani utajiwazia mazuri sana kama mafanikio na upendo. Kumbuka mtu ambaye amefanikiwa kujipenda mwenyewe bila kasoro yoyote anaishiaga kuwa Loner hata kaa apate mwanamke au mwanaume wa kumpenda atakuwa single maisha yake yote au akiwa na
Mahusiano anajua kabisa ni fake love.

Turudi kwemye mada baada ya watu kutokea hapa duniani na hao watu ni jamii au kabilaza mbingu za juu lucifer hapa amefungwa milele hawezi toka ni mfano wa joka lenye minyororo hawezi kwenda mbingu ni tena hivyo ama wivu jataki na wanadamu waende mbinguni ikabidi aje na mpango mkakati wa kuzuia potential ya binadamu.

Lucifer akajifanya yeye ni mungu na akaumba binadamu wawili adam na eva kama photocopy ya binadamu wa ukweli na ukiwatazama huwezi kuwatofautisha ( amini hiki ninacho kwambia kwasababu Cloning Technology ipo duniani kwa sasa mtu akipata DNA yako anaweza kukutoa photocopy na akatengemezwa mtu wa kufanana na wewe kila kitu kasoro tu hataweza kuwa na nafsi.)

Kwaiyo binadamu wa kwanza asiye kuwa na nafsi ni adamu na eva hawa ndio wakawa chanzo cha uharibifu wa watu wa kweli hapa duniani. Mada zangu nilisha zungumzia kuwa adamu na eva sio watu wa asili ni watu wa maabara walio tengenezwa kwa genetic modification hawa watu ndio wauwaji kama Kaini alimuua roboti abeli.

Duniani hapa kuna watu hawana nafsi ni maroboti wanaendeshwa na luciferian watu hawa anaweza kuwa baba yako mqma
Shamgazi mjomba mtoto wako au mke wake yani wapo kila mahali hawa soulless beings au NPC Characters.

Hawa watu wasio kuwa na nafsi hawana upendo wa kweli na kama ukiwa kwenye uhusiano nae ni usaliti, tamaa za ngono hela na kujionyesha.

Ni ipi tofauti ya kweli kati ya hawa viumbe jamii ya adamu wasio kiwa na nafsi na binadamu wa kweli wenye nafsi.? Tofauti yao ni moja watu wemye nafsi mungu aliyejuu zaidi yupo ndani yao yani hawategemei mwokozi au dini au mtume fulani kuwaokoa au hawategemei mtu fulani au mchungaji au shee kuwaombea.

Binadamu wasio na nafsi wanategemea uhakikisho na kufata mkumbo mfano hakuna mtu anayeweza kukukomboa au kuwa mwokozi wako isipokuwa wewe mwenyewe. Watu wenye nafsi hawana hofu ya kukataa dini na kuishi maisha yao na kuwafundisha watoto wao kuwa dini sio kwaajili ya watu wenye nafsi ni kwajili ya watu wasio na nafsi.

Mtu mwenye nafsi haitaji kuwa na dini kwani yeye ana miliki kitu kinaitwa subconscious mind hii ndio nguvu au power ya watu wenye nafsi. Hii subconscious mind ndio mungu aliyejuu zaidi inaniongoza kupitia ndoto zangu. Na ina nionya kama kuna hatari mbele yangu na niligundua ninayo baada ya kuwa na matatizo ya kiroho.

Mfano ulishawahi kujiuliza kwanini unakabwa usiku ukilala alafu ukisema katika jina la yesu ndio unazidi kukabwa au wewe ni mslamu pale unasoma sura ya ikhilasi au al falaq bado unazidi unakabwa jua wewe una nafsi.

Dalili moja wapo kuwa wewe una nafsi ni kukabwa usiku. Unapokabwa usiku ni kwamba lucifer kupitia vijakazi wake watu wasiokuwa na nafsi ambao wanaweza kutoka nje ya mwili au astro projection na kuja kukukaba. Usiogope unachotakiwa ni kuachana na mambo ya dini na kuanza kusikiliza sehemu ulipo Moyo wako utapata utulivu. (Heart Chakra)

Kama wewe unakabwa usiku jua una miliki nafsi yako na watu wanakuonea wivu kwani kitendo cha kumkaba mtu picha yake ni kuwa mtu huyo anachuki na wewe na anatamani akumalize ufe.

Nini cha kufanya? Chakufanya ni usiwe na hofu wala usiogope sana wewe sema asante mungu uliye juu zaidi nakushukuru mungu uliye juu zaidi. Huyu mungu aliye juu zaidi ndio jina la mungu wa ukweli ambalo jina hili amelitumia lucifer kukiri mamlaka ya the most high.

Kumbuka kuwa baba ako na mama yako wanaweza kuwa maadui zako kwani wanaweza kuwa hawana nafsi na wewe ukawa na nafsi hivyo ikapelekea wao kukuchukia sana na kutokukupa msaada wowote. Mfano baba yako akikushauri akupeleke kwa mganga ukikataa tayari unakuwa adui yake vile vule mama yako utafika umri atakudanganya akupeleke kwa mganga ukikataa unakuwa adui.

Mimi ni black sheep kwenye familia yangu nina miaka zaidi ya kumi sijawahi kuwa na mawasiliano na baba na mama yangu tumekata undugu kwa sababu imani yao na mimi ni tofauti nilikuja kugundua ni soulless beings hivyo na wewe usije ukadanganyika ukaingizwa kwenye system ya lucider na baba yako au mama yako kwani hao ni mawakala.

Blood relationship is just physical sio kwamba kama mtu ni baba ako au mzaz wako ndio anakuoenda wake up amka vita inayopiganwa ni kutafuta nafsi za watu wewe hapq duniani umekuja kuooteza muda tuu hao unaowaita ndugu zako ni watu usio wajua il mmekutanq tu hapq duniani.

Sisi binadamu wenye nafsi ni miungu we are Gods sema hatujui potential zetu ndio mana ukichunguza sana watu wema ndio wanakufa haraka alafu watu wabaya wanadumu unajua ni kwanini hizo ni kafara, mtu anayetakiwa sikuzote kuliwa nyama au kutolewa kafara ya namna yoyote ile lazima awe na nafsi muulize mganga yoyote yule unayemjua ndio mana kafara hutoi wewe unapangiwa.

Watu wengi hapa duniani wanamuabudu mungu wa uongo lucifer kupitia watu wasio kiwa na nafsi watu hao wamejqzana kwenye nyumba za ibada na kujifanya wanaombea watu dua nzuri kumbe wanawaongezea watu umaskini na matatizo. Usikubali kuwa chini ya mtu kisa yeye ni mchungani au shee au sijui ni mganga wewe unanguvu kuliko watu wa dini kaa nao mbali lengo lao ni kukufanya usahau mungu aliye ndami yako au kukufanya usahau king dom of God the most High is inside you na kukuambia kuwa mungu ni kitu kingine kipo nje ambacho kipo kwenye nyumba za ibada NO. Kataa kuwa huru.

Mungu wa kweli ni subconcsious mind yako imbao inakuunganisha mwili wako nafsi na roho akili yako ndio inakupa ukitakacho kwemye maisha. Waza vema na waza amani ndani yako ondoa hofu na mashaka hiyo ni hali ya lucifer.

Mungu wa kweli ni ukamilifu na sio unafki. Mungu wa kweli hachanganyi chuki na upendo. Soma vitabu vya dini mungu wao ana hasira sana ana acha laana hadi kizazi cha nne mungu wao ni mkali wa kuadhibu sana ukifa anakuchima moto alafu mungu huyo huyo upande wa pili ni mpole na anakupenda. Hiyo ni duality ambayo ndio msingi wa free masons mungu wa zuri na baya kwa wakati mmoja. Ndio mana huwezi kuwa freemason mpaka uwe mwanachama wa dini yoyote uipendayo.

Kwa kumalizia mungu wa kweli ni perfection yeye anakupenda tuu. Haitaji ujipendekeze ndio akupende hapana yeye unakupenda unconditionally kwasababu wewe una nafsi na umezungukwa na watu wasio kuwa na nafsi lazima akupende kwani maadui wamekuzunguka wakuibie nafsi yako au wakushawishi uuze nafsi yao. Mungu wa kweli the Most High haitaji sadaka yako wala magoti yako wala uzu wakati wa kuomba yeye sema nae kupitia ubongo na mawazo yak anaskia na anajibu.

Baseless analysis
 
Ukipata changamoto ya kimaisha tafuta sehemu tulivu, pangilia maombi yako ikiwezekana andika. Halafu tafuta namba ya kusahau kila kitu na vuta pumzi halafu Anza kusema maombi yako. Baadae andaa sadaka na inenee maneno yanayoendana na maombi yako. Peleka sadaka kwa wahitaji (siyo kwa kiongozi wa dini maana huo utakuwa ni mchango si sadaka). Mungu atakupa majadibu kuona kama unamtegemea yeye halafu utaanza kupata majibu taratibu. Hili halihitaji kuombewa, ni wewe tu unaombea familia, mifugo, mashamba, biashara n.k
 
Anything which claims to be God must be eaten- an old african proverb.

Mada hii sio kwa watu wa kukremisha vitabu. Mada hii sio kwa watu wasiotaka kujifunza nje ya kitabu cha imani yao. Vitabu vya dini ni kama script yani ukitoka nje ya script ni zambi

Kwanza kabisa kabla ya kuja waarabu na wamisionary afrika kulikuwa hakuna nadharia ya mungu bali kulikuwapo na utaratibu wa kushukuru na kukumbuka walio tangulia (ancestors) na kama kuna tatizo kulikuwa na namna ya kutatua matatizo hayo kwa kupitia mila.

Katika mada hii muhimu sana nitagusia vita iliyo piganwa kati ya jamii za angani (mbinguni) ambayo katika vita hiyo kiumbe kilichotajwa ni Lucifer tuu kwamba yeye ndiye aliye hasi pekeyake lakini huu ni uongo mtakatifu sana kwani kulikuwa na jamii nyingine nyingi zilizo asi uwepo wa mamlaka ya ANU au El Eloh (sio mungu)

We are interdimensions beings having a human experience- unknown. Binadamu asili yetu ni uungu. Sisi ni miungu ila tumefichwa hii siri.

**** kitu cha uongo sana juu ya historia ya lucifer kwamba yeye ndiye aliye hasi peke yake leo nina furaha kukujulisha kuwa kuna jamii zingine tofauti na lucifer ambazo zilishiriki kupigana vita hiyo ambazo jamii hizo naziita Star Races zilishirikiana na lucifer katika kupinga mamlaka ya ANU. Ambaye huyu ANU ndiyo mkuu wa viumbe wote ulimwenguni (ila sio Sio Mungu ni kama msimamizi tu)

Huko mbinguni kulikiwapo na aina mbalimbali za jamii zipatazo 180 kirahisi nitaita makabila au star races ambazo baadhi nitazitaja hapa ambazo ni Archangel,pleidians,Arcturians,Sirians, Andromedan, Orions, Avians, Tilopeah, Peekah ,Star Seeds, luciferians na Reptilian au predator. Unaweza ukawa umezaliwa hapa duniani kama binadamu lakini asili yako chimbuko lako huko ulipotoka wewe ni jamii ya uungu ila upo hapa kwa lengo maalumu. Asili ya watu wengi hapa duniani chimbuko lao ni hizi jamii za mbinguni.

Jamii zote hizi zilikuwa zikiishi huko mbinguni na mkuu wao alikuwa ni ANU ambaye yeye ndiyo Mizani ya mazuri na mabaya kama kanuni za ulimwengu zilivyo kwamba kila kitu vipo viwili viwili au Duality (hii kitu masons wanaikubali na kweka katika imani zao kama black and white).

Chokochoko za uasi huko mbingu za juu zilianza na wivu baada ya jamii ya lucifer kuona kama ANU ni muongo kwamba anadanganya watu kuna sheria za ulimwengu ambazo zinasimamiwa na law of compensation ( hapa msome ralph waldo emerson utaelewa zaidi) kumbuka lucifer na jamii yao kama draconians, reptilians na Archons wanajua kabisa hakuna mungu ila huyu ANU anatumia hizo sheria za ulimwengu ili yeye ndio awe mtawala wa milele hivyo wakataka kumpindua huyo ANU ambaye ndio mkuu wa ANUNAKI WA KIJANI.

Sasa lucifer sio kiumbe kimoja mjue ni mkusanyiko
wa jamii ya viumbe wengi kama sisi tulivyo wana damu Na wao ndio lucifer walivyo wapo wengi na wanamfalme wao ambaye anaitwa Kronos. Ambao huyu kronos ndio mungu wa hapa duniani watu ndio wanadanganywa kupitia dini wanajua wanaabudu mungu wa kweli kumbe wanamwabudi Muasi au rebel huyu Kronos jina lingine amaitwa Saturn kama huamini fatilia juu ya sayari ya Saturn au Zohal ina alama ya Black cube kama ile ya wale wanao izungukaga pale maka. Black cube zipo nyingi sio maka tuu google utaziona ulaya zimejaa kibao. Huyu kronos ndio Sun of God kwa msio jua. Ni mungu jua wanamwabudu on Sun Day.

Baada ya lucifer kuona wivu na kuingia tamaa anatafuta washirika wake wa kumsaport katika vita yake na ANU ndipo hapo hizo jamii za star races zikakubali kushirikiana nae kupindua utawala wa ANU. Vita ilivyo piganwa lucifer pamoja na washirika wake walishindwa vibaya.

Baada ya kushindwa vita wale washirika walioshawishiwa na lucifer waliomba msamaha na ili wasamehewe walipewa adhabu na moja ya adhabu hiyo ni waliletwa hapa duniani ili wajifunze upendo waachane na tamaa, wivu, ma
Kushawishika kufanya mabaya. Kwaiyo hizo jamii za watu wa angani walikubali adhabu na kukubali kuzaliwa hapa duniani ili wajifunze na wakifaulu somo lao watarudi mbingubza juu kuungana na familia zao na ndugu zao.

Baada ya washirika wa lucifer kuomba msamaha na kupewa nafasi ya pili second chance lucifer yeye alikataa kuomba msamaha na kutamgaza uadui mkubwa na wale washirika wake walio msaliti na kuweka kiapo kuwa hawatakaa warudi nyumbani kwao (mbingu za juu) na atawadanganya kwa mali, tamaa na wivu na mambo mengine mabaya ili kuwasahaulisha lengo lao. LENGO LA BINADAMU NI
KURUDI NYUMBANI MBUNGU ZA JUU KUUNGANA NA FAMILIA ZAO NA KUISHI MILELE HAPA DUNIANI TUPO GEREZANI NA LUCIFER NDIO MUNGU WA HII DUNIA NA WATU WAMAMWABUDU KUPITIA DINI.

Lengo la binadamu kuwa hapa duniani ni kukumbuka alipotoka na kurudi nyumbani. Hapa duniani sio makazi ya binadamu ni sehemu ya lucifer aliyotupwa kukaa hapa milele hivyo anatundanganya sisi binadamu tuwe tunakaa nae na tusahau nyumbani kwetu ambapo ni mbingu za juu huko.

Lengo la binadamu ni upendo na amani na kutoshawishi hakuna kitu kibaya kama kumshqwishi mtu afanye kitu fulani iwe kizuri au kibaya acha. Ushawishi ni kama kumtongoza mwanamke usichokijua ni kwamba mwanamke hatongozwi kuna jinsi ya kufanya Aura yako mwanamke ukimtaka anakuja automatic. Kutongoza mtu ni kuJishusha hadhi kwa kuongea uongo.

Baada ya luficer na jamii yake kutuonea wivu washirika wake waliosamehewa na kupewa nafasi ya kuwa binadamu wakapewa tena na zawadi ingine ambayo ni upendo. Jamii ya lucifer hata iweje hawana upendo ndani yao wao ni chuki na roho ya kufanya Uovu tuu hivyo basi huona hasira sana wanadamu wakipemdana kwani Love ni nguvu pekee ya kumshinda lucifer love namanisha love your self love ingine kumpenda mwanamke au mwanaume au mtoto wako love your self first hapi ndio utamshinda lucifer nikisema Love namanisha unconditional lobe unampenda mtu bila kutaka fidia yoyote kutoka kwao unao wapenda.

Ukijipenda mwemyewe ni hatua ya kwanza kwemda mbingu za juu kwani utajiwazia mazuri sana kama mafanikio na upendo. Kumbuka mtu ambaye amefanikiwa kujipenda mwenyewe bila kasoro yoyote anaishiaga kuwa Loner hata kaa apate mwanamke au mwanaume wa kumpenda atakuwa single maisha yake yote au akiwa na
Mahusiano anajua kabisa ni fake love.

Turudi kwemye mada baada ya watu kutokea hapa duniani na hao watu ni jamii au kabilaza mbingu za juu lucifer hapa amefungwa milele hawezi toka ni mfano wa joka lenye minyororo hawezi kwenda mbingu ni tena hivyo ama wivu jataki na wanadamu waende mbinguni ikabidi aje na mpango mkakati wa kuzuia potential ya binadamu.

Lucifer akajifanya yeye ni mungu na akaumba binadamu wawili adam na eva kama photocopy ya binadamu wa ukweli na ukiwatazama huwezi kuwatofautisha ( amini hiki ninacho kwambia kwasababu Cloning Technology ipo duniani kwa sasa mtu akipata DNA yako anaweza kukutoa photocopy na akatengemezwa mtu wa kufanana na wewe kila kitu kasoro tu hataweza kuwa na nafsi.)

Kwaiyo binadamu wa kwanza asiye kuwa na nafsi ni adamu na eva hawa ndio wakawa chanzo cha uharibifu wa watu wa kweli hapa duniani. Mada zangu nilisha zungumzia kuwa adamu na eva sio watu wa asili ni watu wa maabara walio tengenezwa kwa genetic modification hawa watu ndio wauwaji kama Kaini alimuua roboti abeli.

Duniani hapa kuna watu hawana nafsi ni maroboti wanaendeshwa na luciferian watu hawa anaweza kuwa baba yako mqma
Shamgazi mjomba mtoto wako au mke wake yani wapo kila mahali hawa soulless beings au NPC Characters.

Hawa watu wasio kuwa na nafsi hawana upendo wa kweli na kama ukiwa kwenye uhusiano nae ni usaliti, tamaa za ngono hela na kujionyesha.

Ni ipi tofauti ya kweli kati ya hawa viumbe jamii ya adamu wasio kiwa na nafsi na binadamu wa kweli wenye nafsi.? Tofauti yao ni moja watu wemye nafsi mungu aliyejuu zaidi yupo ndani yao yani hawategemei mwokozi au dini au mtume fulani kuwaokoa au hawategemei mtu fulani au mchungaji au shee kuwaombea.

Binadamu wasio na nafsi wanategemea uhakikisho na kufata mkumbo mfano hakuna mtu anayeweza kukukomboa au kuwa mwokozi wako isipokuwa wewe mwenyewe. Watu wenye nafsi hawana hofu ya kukataa dini na kuishi maisha yao na kuwafundisha watoto wao kuwa dini sio kwaajili ya watu wenye nafsi ni kwajili ya watu wasio na nafsi.

Mtu mwenye nafsi haitaji kuwa na dini kwani yeye ana miliki kitu kinaitwa subconscious mind hii ndio nguvu au power ya watu wenye nafsi. Hii subconscious mind ndio mungu aliyejuu zaidi inaniongoza kupitia ndoto zangu. Na ina nionya kama kuna hatari mbele yangu na niligundua ninayo baada ya kuwa na matatizo ya kiroho.

Mfano ulishawahi kujiuliza kwanini unakabwa usiku ukilala alafu ukisema katika jina la yesu ndio unazidi kukabwa au wewe ni mslamu pale unasoma sura ya ikhilasi au al falaq bado unazidi unakabwa jua wewe una nafsi.

Dalili moja wapo kuwa wewe una nafsi ni kukabwa usiku. Unapokabwa usiku ni kwamba lucifer kupitia vijakazi wake watu wasiokuwa na nafsi ambao wanaweza kutoka nje ya mwili au astro projection na kuja kukukaba. Usiogope unachotakiwa ni kuachana na mambo ya dini na kuanza kusikiliza sehemu ulipo Moyo wako utapata utulivu. (Heart Chakra)

Kama wewe unakabwa usiku jua una miliki nafsi yako na watu wanakuonea wivu kwani kitendo cha kumkaba mtu picha yake ni kuwa mtu huyo anachuki na wewe na anatamani akumalize ufe.

Nini cha kufanya? Chakufanya ni usiwe na hofu wala usiogope sana wewe sema asante mungu uliye juu zaidi nakushukuru mungu uliye juu zaidi. Huyu mungu aliye juu zaidi ndio jina la mungu wa ukweli ambalo jina hili amelitumia lucifer kukiri mamlaka ya the most high.

Kumbuka kuwa baba ako na mama yako wanaweza kuwa maadui zako kwani wanaweza kuwa hawana nafsi na wewe ukawa na nafsi hivyo ikapelekea wao kukuchukia sana na kutokukupa msaada wowote. Mfano baba yako akikushauri akupeleke kwa mganga ukikataa tayari unakuwa adui yake vile vule mama yako utafika umri atakudanganya akupeleke kwa mganga ukikataa unakuwa adui.

Mimi ni black sheep kwenye familia yangu nina miaka zaidi ya kumi sijawahi kuwa na mawasiliano na baba na mama yangu tumekata undugu kwa sababu imani yao na mimi ni tofauti nilikuja kugundua ni soulless beings hivyo na wewe usije ukadanganyika ukaingizwa kwenye system ya lucider na baba yako au mama yako kwani hao ni mawakala.

Blood relationship is just physical sio kwamba kama mtu ni baba ako au mzaz wako ndio anakuoenda wake up amka vita inayopiganwa ni kutafuta nafsi za watu wewe hapq duniani umekuja kuooteza muda tuu hao unaowaita ndugu zako ni watu usio wajua il mmekutanq tu hapq duniani.

Sisi binadamu wenye nafsi ni miungu we are Gods sema hatujui potential zetu ndio mana ukichunguza sana watu wema ndio wanakufa haraka alafu watu wabaya wanadumu unajua ni kwanini hizo ni kafara, mtu anayetakiwa sikuzote kuliwa nyama au kutolewa kafara ya namna yoyote ile lazima awe na nafsi muulize mganga yoyote yule unayemjua ndio mana kafara hutoi wewe unapangiwa.

Watu wengi hapa duniani wanamuabudu mungu wa uongo lucifer kupitia watu wasio kiwa na nafsi watu hao wamejqzana kwenye nyumba za ibada na kujifanya wanaombea watu dua nzuri kumbe wanawaongezea watu umaskini na matatizo. Usikubali kuwa chini ya mtu kisa yeye ni mchungani au shee au sijui ni mganga wewe unanguvu kuliko watu wa dini kaa nao mbali lengo lao ni kukufanya usahau mungu aliye ndami yako au kukufanya usahau king dom of God the most High is inside you na kukuambia kuwa mungu ni kitu kingine kipo nje ambacho kipo kwenye nyumba za ibada NO. Kataa kuwa huru.

Mungu wa kweli ni subconcsious mind yako imbao inakuunganisha mwili wako nafsi na roho akili yako ndio inakupa ukitakacho kwemye maisha. Waza vema na waza amani ndani yako ondoa hofu na mashaka hiyo ni hali ya lucifer.

Mungu wa kweli ni ukamilifu na sio unafki. Mungu wa kweli hachanganyi chuki na upendo. Soma vitabu vya dini mungu wao ana hasira sana ana acha laana hadi kizazi cha nne mungu wao ni mkali wa kuadhibu sana ukifa anakuchima moto alafu mungu huyo huyo upande wa pili ni mpole na anakupenda. Hiyo ni duality ambayo ndio msingi wa free masons mungu wa zuri na baya kwa wakati mmoja. Ndio mana huwezi kuwa freemason mpaka uwe mwanachama wa dini yoyote uipendayo.

Kwa kumalizia mungu wa kweli ni perfection yeye anakupenda tuu. Haitaji ujipendekeze ndio akupende hapana yeye unakupenda unconditionally kwasababu wewe una nafsi na umezungukwa na watu wasio kuwa na nafsi lazima akupende kwani maadui wamekuzunguka wakuibie nafsi yako au wakushawishi uuze nafsi yao. Mungu wa kweli the Most High haitaji sadaka yako wala magoti yako wala uzu wakati wa kuomba yeye sema nae kupitia ubongo na mawazo yak anaskia na anajibu.
@atlas copco pitia huku usome mada zako unazopendaga
 
Anything which claims to be God must be eaten- an old african proverb.

Mada hii sio kwa watu wa kukremisha vitabu. Mada hii sio kwa watu wasiotaka kujifunza nje ya kitabu cha imani yao. Vitabu vya dini ni kama script yani ukitoka nje ya script ni zambi

Kwanza kabisa kabla ya kuja waarabu na wamisionary afrika kulikuwa hakuna nadharia ya mungu bali kulikuwapo na utaratibu wa kushukuru na kukumbuka walio tangulia (ancestors) na kama kuna tatizo kulikuwa na namna ya kutatua matatizo hayo kwa kupitia mila.

Katika mada hii muhimu sana nitagusia vita iliyo piganwa kati ya jamii za angani (mbinguni) ambayo katika vita hiyo kiumbe kilichotajwa ni Lucifer tuu kwamba yeye ndiye aliye hasi pekeyake lakini huu ni uongo mtakatifu sana kwani kulikuwa na jamii nyingine nyingi zilizo asi uwepo wa mamlaka ya ANU au El Eloh (sio mungu)

We are interdimensions beings having a human experience- unknown. Binadamu asili yetu ni uungu. Sisi ni miungu ila tumefichwa hii siri.

**** kitu cha uongo sana juu ya historia ya lucifer kwamba yeye ndiye aliye hasi peke yake leo nina furaha kukujulisha kuwa kuna jamii zingine tofauti na lucifer ambazo zilishiriki kupigana vita hiyo ambazo jamii hizo naziita Star Races zilishirikiana na lucifer katika kupinga mamlaka ya ANU. Ambaye huyu ANU ndiyo mkuu wa viumbe wote ulimwenguni (ila sio Sio Mungu ni kama msimamizi tu)

Huko mbinguni kulikiwapo na aina mbalimbali za jamii zipatazo 180 kirahisi nitaita makabila au star races ambazo baadhi nitazitaja hapa ambazo ni Archangel,pleidians,Arcturians,Sirians, Andromedan, Orions, Avians, Tilopeah, Peekah ,Star Seeds, luciferians na Reptilian au predator. Unaweza ukawa umezaliwa hapa duniani kama binadamu lakini asili yako chimbuko lako huko ulipotoka wewe ni jamii ya uungu ila upo hapa kwa lengo maalumu. Asili ya watu wengi hapa duniani chimbuko lao ni hizi jamii za mbinguni.

Jamii zote hizi zilikuwa zikiishi huko mbinguni na mkuu wao alikuwa ni ANU ambaye yeye ndiyo Mizani ya mazuri na mabaya kama kanuni za ulimwengu zilivyo kwamba kila kitu vipo viwili viwili au Duality (hii kitu masons wanaikubali na kweka katika imani zao kama black and white).

Chokochoko za uasi huko mbingu za juu zilianza na wivu baada ya jamii ya lucifer kuona kama ANU ni muongo kwamba anadanganya watu kuna sheria za ulimwengu ambazo zinasimamiwa na law of compensation ( hapa msome ralph waldo emerson utaelewa zaidi) kumbuka lucifer na jamii yao kama draconians, reptilians na Archons wanajua kabisa hakuna mungu ila huyu ANU anatumia hizo sheria za ulimwengu ili yeye ndio awe mtawala wa milele hivyo wakataka kumpindua huyo ANU ambaye ndio mkuu wa ANUNAKI WA KIJANI.

Sasa lucifer sio kiumbe kimoja mjue ni mkusanyiko
wa jamii ya viumbe wengi kama sisi tulivyo wana damu Na wao ndio lucifer walivyo wapo wengi na wanamfalme wao ambaye anaitwa Kronos. Ambao huyu kronos ndio mungu wa hapa duniani watu ndio wanadanganywa kupitia dini wanajua wanaabudu mungu wa kweli kumbe wanamwabudi Muasi au rebel huyu Kronos jina lingine amaitwa Saturn kama huamini fatilia juu ya sayari ya Saturn au Zohal ina alama ya Black cube kama ile ya wale wanao izungukaga pale maka. Black cube zipo nyingi sio maka tuu google utaziona ulaya zimejaa kibao. Huyu kronos ndio Sun of God kwa msio jua. Ni mungu jua wanamwabudu on Sun Day.

Baada ya lucifer kuona wivu na kuingia tamaa anatafuta washirika wake wa kumsaport katika vita yake na ANU ndipo hapo hizo jamii za star races zikakubali kushirikiana nae kupindua utawala wa ANU. Vita ilivyo piganwa lucifer pamoja na washirika wake walishindwa vibaya.

Baada ya kushindwa vita wale washirika walioshawishiwa na lucifer waliomba msamaha na ili wasamehewe walipewa adhabu na moja ya adhabu hiyo ni waliletwa hapa duniani ili wajifunze upendo waachane na tamaa, wivu, ma
Kushawishika kufanya mabaya. Kwaiyo hizo jamii za watu wa angani walikubali adhabu na kukubali kuzaliwa hapa duniani ili wajifunze na wakifaulu somo lao watarudi mbingubza juu kuungana na familia zao na ndugu zao.

Baada ya washirika wa lucifer kuomba msamaha na kupewa nafasi ya pili second chance lucifer yeye alikataa kuomba msamaha na kutamgaza uadui mkubwa na wale washirika wake walio msaliti na kuweka kiapo kuwa hawatakaa warudi nyumbani kwao (mbingu za juu) na atawadanganya kwa mali, tamaa na wivu na mambo mengine mabaya ili kuwasahaulisha lengo lao. LENGO LA BINADAMU NI
KURUDI NYUMBANI MBUNGU ZA JUU KUUNGANA NA FAMILIA ZAO NA KUISHI MILELE HAPA DUNIANI TUPO GEREZANI NA LUCIFER NDIO MUNGU WA HII DUNIA NA WATU WAMAMWABUDU KUPITIA DINI.

Lengo la binadamu kuwa hapa duniani ni kukumbuka alipotoka na kurudi nyumbani. Hapa duniani sio makazi ya binadamu ni sehemu ya lucifer aliyotupwa kukaa hapa milele hivyo anatundanganya sisi binadamu tuwe tunakaa nae na tusahau nyumbani kwetu ambapo ni mbingu za juu huko.

Lengo la binadamu ni upendo na amani na kutoshawishi hakuna kitu kibaya kama kumshqwishi mtu afanye kitu fulani iwe kizuri au kibaya acha. Ushawishi ni kama kumtongoza mwanamke usichokijua ni kwamba mwanamke hatongozwi kuna jinsi ya kufanya Aura yako mwanamke ukimtaka anakuja automatic. Kutongoza mtu ni kuJishusha hadhi kwa kuongea uongo.

Baada ya luficer na jamii yake kutuonea wivu washirika wake waliosamehewa na kupewa nafasi ya kuwa binadamu wakapewa tena na zawadi ingine ambayo ni upendo. Jamii ya lucifer hata iweje hawana upendo ndani yao wao ni chuki na roho ya kufanya Uovu tuu hivyo basi huona hasira sana wanadamu wakipemdana kwani Love ni nguvu pekee ya kumshinda lucifer love namanisha love your self love ingine kumpenda mwanamke au mwanaume au mtoto wako love your self first hapi ndio utamshinda lucifer nikisema Love namanisha unconditional lobe unampenda mtu bila kutaka fidia yoyote kutoka kwao unao wapenda.

Ukijipenda mwemyewe ni hatua ya kwanza kwemda mbingu za juu kwani utajiwazia mazuri sana kama mafanikio na upendo. Kumbuka mtu ambaye amefanikiwa kujipenda mwenyewe bila kasoro yoyote anaishiaga kuwa Loner hata kaa apate mwanamke au mwanaume wa kumpenda atakuwa single maisha yake yote au akiwa na
Mahusiano anajua kabisa ni fake love.

Turudi kwemye mada baada ya watu kutokea hapa duniani na hao watu ni jamii au kabilaza mbingu za juu lucifer hapa amefungwa milele hawezi toka ni mfano wa joka lenye minyororo hawezi kwenda mbingu ni tena hivyo ama wivu jataki na wanadamu waende mbinguni ikabidi aje na mpango mkakati wa kuzuia potential ya binadamu.

Lucifer akajifanya yeye ni mungu na akaumba binadamu wawili adam na eva kama photocopy ya binadamu wa ukweli na ukiwatazama huwezi kuwatofautisha ( amini hiki ninacho kwambia kwasababu Cloning Technology ipo duniani kwa sasa mtu akipata DNA yako anaweza kukutoa photocopy na akatengemezwa mtu wa kufanana na wewe kila kitu kasoro tu hataweza kuwa na nafsi.)

Kwaiyo binadamu wa kwanza asiye kuwa na nafsi ni adamu na eva hawa ndio wakawa chanzo cha uharibifu wa watu wa kweli hapa duniani. Mada zangu nilisha zungumzia kuwa adamu na eva sio watu wa asili ni watu wa maabara walio tengenezwa kwa genetic modification hawa watu ndio wauwaji kama Kaini alimuua roboti abeli.

Duniani hapa kuna watu hawana nafsi ni maroboti wanaendeshwa na luciferian watu hawa anaweza kuwa baba yako mqma
Shamgazi mjomba mtoto wako au mke wake yani wapo kila mahali hawa soulless beings au NPC Characters.

Hawa watu wasio kuwa na nafsi hawana upendo wa kweli na kama ukiwa kwenye uhusiano nae ni usaliti, tamaa za ngono hela na kujionyesha.

Ni ipi tofauti ya kweli kati ya hawa viumbe jamii ya adamu wasio kiwa na nafsi na binadamu wa kweli wenye nafsi.? Tofauti yao ni moja watu wemye nafsi mungu aliyejuu zaidi yupo ndani yao yani hawategemei mwokozi au dini au mtume fulani kuwaokoa au hawategemei mtu fulani au mchungaji au shee kuwaombea.

Binadamu wasio na nafsi wanategemea uhakikisho na kufata mkumbo mfano hakuna mtu anayeweza kukukomboa au kuwa mwokozi wako isipokuwa wewe mwenyewe. Watu wenye nafsi hawana hofu ya kukataa dini na kuishi maisha yao na kuwafundisha watoto wao kuwa dini sio kwaajili ya watu wenye nafsi ni kwajili ya watu wasio na nafsi.

Mtu mwenye nafsi haitaji kuwa na dini kwani yeye ana miliki kitu kinaitwa subconscious mind hii ndio nguvu au power ya watu wenye nafsi. Hii subconscious mind ndio mungu aliyejuu zaidi inaniongoza kupitia ndoto zangu. Na ina nionya kama kuna hatari mbele yangu na niligundua ninayo baada ya kuwa na matatizo ya kiroho.

Mfano ulishawahi kujiuliza kwanini unakabwa usiku ukilala alafu ukisema katika jina la yesu ndio unazidi kukabwa au wewe ni mslamu pale unasoma sura ya ikhilasi au al falaq bado unazidi unakabwa jua wewe una nafsi.

Dalili moja wapo kuwa wewe una nafsi ni kukabwa usiku. Unapokabwa usiku ni kwamba lucifer kupitia vijakazi wake watu wasiokuwa na nafsi ambao wanaweza kutoka nje ya mwili au astro projection na kuja kukukaba. Usiogope unachotakiwa ni kuachana na mambo ya dini na kuanza kusikiliza sehemu ulipo Moyo wako utapata utulivu. (Heart Chakra)

Kama wewe unakabwa usiku jua una miliki nafsi yako na watu wanakuonea wivu kwani kitendo cha kumkaba mtu picha yake ni kuwa mtu huyo anachuki na wewe na anatamani akumalize ufe.

Nini cha kufanya? Chakufanya ni usiwe na hofu wala usiogope sana wewe sema asante mungu uliye juu zaidi nakushukuru mungu uliye juu zaidi. Huyu mungu aliye juu zaidi ndio jina la mungu wa ukweli ambalo jina hili amelitumia lucifer kukiri mamlaka ya the most high.

Kumbuka kuwa baba ako na mama yako wanaweza kuwa maadui zako kwani wanaweza kuwa hawana nafsi na wewe ukawa na nafsi hivyo ikapelekea wao kukuchukia sana na kutokukupa msaada wowote. Mfano baba yako akikushauri akupeleke kwa mganga ukikataa tayari unakuwa adui yake vile vule mama yako utafika umri atakudanganya akupeleke kwa mganga ukikataa unakuwa adui.

Mimi ni black sheep kwenye familia yangu nina miaka zaidi ya kumi sijawahi kuwa na mawasiliano na baba na mama yangu tumekata undugu kwa sababu imani yao na mimi ni tofauti nilikuja kugundua ni soulless beings hivyo na wewe usije ukadanganyika ukaingizwa kwenye system ya lucider na baba yako au mama yako kwani hao ni mawakala.

Blood relationship is just physical sio kwamba kama mtu ni baba ako au mzaz wako ndio anakuoenda wake up amka vita inayopiganwa ni kutafuta nafsi za watu wewe hapq duniani umekuja kuooteza muda tuu hao unaowaita ndugu zako ni watu usio wajua il mmekutanq tu hapq duniani.

Sisi binadamu wenye nafsi ni miungu we are Gods sema hatujui potential zetu ndio mana ukichunguza sana watu wema ndio wanakufa haraka alafu watu wabaya wanadumu unajua ni kwanini hizo ni kafara, mtu anayetakiwa sikuzote kuliwa nyama au kutolewa kafara ya namna yoyote ile lazima awe na nafsi muulize mganga yoyote yule unayemjua ndio mana kafara hutoi wewe unapangiwa.

Watu wengi hapa duniani wanamuabudu mungu wa uongo lucifer kupitia watu wasio kiwa na nafsi watu hao wamejqzana kwenye nyumba za ibada na kujifanya wanaombea watu dua nzuri kumbe wanawaongezea watu umaskini na matatizo. Usikubali kuwa chini ya mtu kisa yeye ni mchungani au shee au sijui ni mganga wewe unanguvu kuliko watu wa dini kaa nao mbali lengo lao ni kukufanya usahau mungu aliye ndami yako au kukufanya usahau king dom of God the most High is inside you na kukuambia kuwa mungu ni kitu kingine kipo nje ambacho kipo kwenye nyumba za ibada NO. Kataa kuwa huru.

Mungu wa kweli ni subconcsious mind yako imbao inakuunganisha mwili wako nafsi na roho akili yako ndio inakupa ukitakacho kwemye maisha. Waza vema na waza amani ndani yako ondoa hofu na mashaka hiyo ni hali ya lucifer.

Mungu wa kweli ni ukamilifu na sio unafki. Mungu wa kweli hachanganyi chuki na upendo. Soma vitabu vya dini mungu wao ana hasira sana ana acha laana hadi kizazi cha nne mungu wao ni mkali wa kuadhibu sana ukifa anakuchima moto alafu mungu huyo huyo upande wa pili ni mpole na anakupenda. Hiyo ni duality ambayo ndio msingi wa free masons mungu wa zuri na baya kwa wakati mmoja. Ndio mana huwezi kuwa freemason mpaka uwe mwanachama wa dini yoyote uipendayo.

Kwa kumalizia mungu wa kweli ni perfection yeye anakupenda tuu. Haitaji ujipendekeze ndio akupende hapana yeye unakupenda unconditionally kwasababu wewe una nafsi na umezungukwa na watu wasio kuwa na nafsi lazima akupende kwani maadui wamekuzunguka wakuibie nafsi yako au wakushawishi uuze nafsi yao. Mungu wa kweli the Most High haitaji sadaka yako wala magoti yako wala uzu wakati wa kuomba yeye sema nae kupitia ubongo na mawazo yak anaskia na anajibu.
Hat huu pia ni uongo kwa sababu hata wewe kipindi hiko huku wepo
 
Kwamba dunia ni gereza la Lucifer? Maybe it's true kwa mawazo na analysis zako....kimsingi sina uelewa sana kwa mambo ya dini pia sina uelewa sana wa mambo ya ulimwengu

Nina maswali machache kwako mleta uzi-:

1.Asili ya ulimwengu ni nini?
2.Kama ni nature hiyo nature ilianzaje?
3.Hizo jamii za lucifer na ANU zilitoka wapi?
4.Huyo Mungu wa juu zaidi upi mwanzo na mamlaka yake?
5.Huyo ANU yuko wapi
6.Dunia iko sijui kikazi sijui cha ngapi kuanzia kwa huyu the so called Adam je unaamini story za
a.Gharika ya Nuhu b.Sodoma na ghomora?
7.Kwa mujibu wa maandiko ya imani zilizopo duniani kuna mitume kama Mohamad na Yesu je hawa walikuwepo kweli au fiction?
8.Kama mamlaka hizi za Dunia ni gereza la lucifer,haya maendeleo na vitu vingi vinavyotokea nani huvitengeneza?
9.Mvua,jua hutokea wapi na zipo kwenye mamlaka ya nani?
10.Miujiza inayofanyika duniani iwe ya kichawi au kiimani imekuwa powered na nani?
11.Uhusiano kati ya huyu Mungu wa juu na hawa wanadamu wenye nafsi ukoje na wataweza vipi kurudi huku juu mbinguni ikiwa wanakufa wanarudi mavumbini?
12.Nguvu za mizimu,frimason frimason n.k zinatoka wapi?

Karibu sana kwa mjadala nitajifunza Asante.
 
Back
Top Bottom