Ipi faida ya mwanadamu hapa duniani?

S V Surovikin

JF-Expert Member
Aug 8, 2015
13,663
32,921
Habari wanadamu

Hivi mnalionaje suala la ongezeko la watu duniani, na upungufu wa watu miaka ya mbeleni?

Yani kwa wakati huu watu wanaongezeka lakini tuendako watu watapungua kama tafiti zinavyoonesha.

Je, nini faida ya watu kuongezeka na hasara zake na ipi faida ya watu kupungua na hasara zake?
Mwisho napenda kufahamu umuhimu wa maisha kwa sisi tuliopo duniani na wale wajao.

Watu wa dini wataongea mengi lakini hawatoweza kuziba pengo la hili swali.
Sanasana watajikuta wanaorodhesha faida za miungu yao kupitia sisi juu ya maisha yetu japo ukweli utabaki palepale kwamba hakujawa na hoja ya kueleweka juu ya maisha yetu na tunaowatumikia hata kama ni halisi au wa bandia.

Uwe tajiri sana au masikini sana, mwerevu sana au mpumbavu sana, jitahidi kwa namna yoyote usilete watoto kwenye ulimwengu huu kama huna majibu ya hakika juu ya maswali yangu.
 
Infact, Dunia haimuhitaji binadamu kwa lolote lile.

Binadamu ndio anahitaji Dunia.

Binadamu wote tukitoweka ulimwenguni, Nature itastawi na
uoto wa asili utanawiri.

Binadamu ni mwaribifu namba moja wa dunia wala hatuna faida yoyote kwa dunia.

Lakini pasipo Dunia, Binadamu hawezi kuishi.
 
Habari wanadamu

Hivi mnalionaje suala la ongezeko la watu duniani, na upungufu wa watu miaka ya mbeleni?

Yani kwa wakati huu watu wanaongezeka lakini tuendako watu watapungua kama tafiti zinavyoonesha.

Je, nini faida ya watu kuongezeka na hasara zake na ipi faida ya watu kupungua na hasara zake?
Mwisho napenda kufahamu umuhimu wa maisha kwa sisi tuliopo duniani na wale wajao.

Watu wa dini wataongea mengi lakini hawatoweza kuziba pengo la hili swali.
Sanasana watajikuta wanaorodhesha faida za miungu yao kupitia sisi juu ya maisha yetu japo ukweli utabaki palepale kwamba hakujawa na hoja ya kueleweka juu ya maisha yetu na tunaowatumikia hata kama ni halisi au wa bandia.

Uwe tajiri sana au masikini sana, mwerevu sana au mpumbavu sana, jitahidi kwa namna yoyote usilete watoto kwenye ulimwengu huu kama huna majibu ya hakika juu ya maswali yangu.
mim sikuhizi nimeacha kujiona special niko sawa na kilakitu tu.! hakuna jambo la msingi tunalofanya hapa Dunia zaidi yakukulana wenyewe kwa wenyewe mim nimkule ng'ombe ng'ombe akule nyasi anye Kisha ziote nyasi zingine namimi niliwe nafunza upumbavu tu.! yani unazaliwa kungoja kifo sijui ndonini hii .?
 
Naiona Dunia nzuri sana bila ya uwepo wa Mwanadamu,
Mwanadamu ndio kiumbe anayeiharibu Dunia na kuonekana mbaya
Amini amini nawaambia
Siku binadamu akitoweka hii Dunia itakua bustani nzuri ya kuvutia!
hawa ng'ombe/nyumbu/nyati/ hivi kusingekua na wanya wanao wakula yani hakuna viumbe walanyama .toka dunia imeumbwa idadi yao ingekuaje hii Leo.? vuta picha dunia ingekua na nyasi hata.?
 
hawa ng'ombe/nyumbu/nyati/ hivi kusingekua na wanya wanao wakula yani hakuna viumbe walanyama .toka dunia imeumbwa idadi yao ingekuaje hii Leo.? vuta picha dunia ingekua na nyasi hata.?
Jifanye unajikuna kidogo onja sumu hata tone au nukta tu ili upatejua faida au hasara ya wewe hapa duniani.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Binadamu ni mifugo ya ardhi na ardhi ni chanzo na nguvu ya uhai wa Binadamu.

MUHUBIRI 9:11-12.
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
Maana mwanadamu naye hajui wakati wake; kama samaki wanaokamatwa katika nyavu mbaya, na mfano wa ndege wanaonaswa mtegoni, kadhalika wanadamu hunaswa katika wakati mbaya, unapowaangukia kwa ghafula.
 
Infact, Dunia haimuhitaji binadamu kwa lolote lile.

Binadamu ndio anahitaji Dunia.

Binadamu wote tukitoweka ulimwenguni, Nature itastawi na
uoto wa asili utanawiri.

Binadamu ni mwaribifu namba moja wa dunia wala hatuna faida yoyote kwa dunia.

Lakini pasipo Dunia, Binadamu hawezi kuishi.
Sasa tusipokuwepo duniani tutakua wapi au vuta picha unajikuta pekee ako Dunia nzima ni sauti za ndege na vimbunga na mawimbi ya bahari tu
 
hakuna kiumbe chenye faida kwa dunia, viumbe wote wakitoweka dunia bado itasimama.
Ktk ulimwengu wa rohoni dunia pia ni kiumbe hai.
Eg; 1. HESABU 16:28-32. "Nabii Musa aliyeamuru ardhi imeze watu na wakafa"
2. MWANZO 4:9-12. Mungu alipomuuliza Kaini "Yuko wapi Ndugu yako Habili damu yake inanililia toka ardhini".
 
Mbona binadamu haliwi [sio hiyo unayowaza] lakini idadi yao inajibalansi tu?
binadamu anakufa.! Alafu binadamu hazai watoto wengi kwa malamoja ila wako wanya wanao wakula nyasi wanazaa hadi watoto 12. kwa mzao moja.! ndio maana nasema wangekua wengi sana
 
Jifanye unajikuna kidogo onja sumu hata tone au nukta tu ili upatejua faida au hasara ya wewe hapa duniani.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
hakuna jambo la msingi tunafanya hapa dunia niupuuzi tu.! wala hatuna u special wowote sisi na wanyama wengine tofauti yetu ndogo sana.!
 
hakuna jambo la msingi tunafanya hapa dunia niupuuzi tu.! wala hatuna u special wowote sisi na wanyama wengine tofauti yetu ndogo sana.!
Na hiyo tofauti tumejipa tu wenyewe, ukweli ni kwamba hata wanyama kwa jinsi zao.... wanatuona sisi kama tunavyowaona wao tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom