Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 5,281
- 10,835
Kama Mbinguni kuna maisha mazuri, Kwa nini uombe kuishi maisha marefu Duniani?
Je, hutaki kufa uende huko Mbinguni kwenye maisha mazuri?
Kama Hazina zetu zipo mbinguni, Kulikuwa na haja gani ya kuumbwa ulimwengu?
Mbingu ni dhana ya kufikirika Haipo, Na hata uwezekano wa kuwepo kwake, Haupo.
You can not wish for a house of gold in Heaven while you have never touched gold right here on Earth.
If you fail to live on Earth, The fantasy of heaven is an illusion.
Je, hutaki kufa uende huko Mbinguni kwenye maisha mazuri?
Kama Hazina zetu zipo mbinguni, Kulikuwa na haja gani ya kuumbwa ulimwengu?
Mbingu ni dhana ya kufikirika Haipo, Na hata uwezekano wa kuwepo kwake, Haupo.
You can not wish for a house of gold in Heaven while you have never touched gold right here on Earth.
If you fail to live on Earth, The fantasy of heaven is an illusion.