Wapo watumishi wasioona mafanikio ya kutatuliwa kero zao za kiutumishi siku ya Mei Mosi, wapo watumishi wasio wanachama licha ya kukatwa mishahara yao ili kulipia michango ya vyama vya wafanyakazi, wapo watumishi wanao amini michango yao inaliwa tu na viongozi wa vyama hivi kwa kujilipa mishahara mikubwa na posho nyingi.
Wanaamini wanaostahili kuandamana ni viongozi wa vyama na viongozi wakubwa wa serikali. Kumekuwa na tabia ya waajiri kuwalazimisha watumishi kuhudhuria sherehe hizi hasa watumishi waliopo katika eneo ambalo sherehe hizi zinafanyika kitaifa.
Humu ndani kuna wabobezi wa sheria za kazi, watusaidie je, usipohudhuria ni kosa kisheria na mwajiri anaweza kukuchukulia hatua?
Wanaamini wanaostahili kuandamana ni viongozi wa vyama na viongozi wakubwa wa serikali. Kumekuwa na tabia ya waajiri kuwalazimisha watumishi kuhudhuria sherehe hizi hasa watumishi waliopo katika eneo ambalo sherehe hizi zinafanyika kitaifa.
Humu ndani kuna wabobezi wa sheria za kazi, watusaidie je, usipohudhuria ni kosa kisheria na mwajiri anaweza kukuchukulia hatua?