Ivi kuna siku tutafikia style ya uchezaji kama ile ya dortmund


Jamaa ni mbio mwanzo mwisho na full controll miguuni ball balance imejaa pale
Tukiwa na wachezaji sahihi na wanaopigania badge ya club yes itawezekana.

Ukiwaangalia Madrid walivyocomposed na mpira ni kama wanacheza na watoto wadogo.

Hata uwapress vipi wao wanamove mpira hata kwenye eneo dogo wanabeat press yako hao wanaondoka.

Wakireceive mpira kinachofanya reaction ni miguu tu siyo kama wachezaji wetu kureceive mpira tu mwili mzima unayumba mpaka Mapwege.
 
OFFICIAL: Kobbie Mainoo's goal vs Liverpool has been nominated for April Premier League goal of the Month.

Your vote



#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20240502_224128_980.jpg
 
OFFICIAL: Bruno Fernandes has been nominated for Premier League Player of the Month for April.

Your Vote pls

[Pick your EA SPORTS Player of the Month


#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20240502_223425_531.jpg
 
Ivi kuna siku tutafikia style ya uchezaji kama ile ya dortmund


Jamaa ni mbio mwanzo mwisho na full controll miguuni ball balance imejaa pale
Tatizo pale Carrington wamejazana mabitozi na masharobaro, wanakula mishahara mirefu halafu kujituma uwanjani wenyewe wanaona kama hisani sio wajibu.
Rashidi anaweza kupoteza mpira halafu akawa anatembea tu uwanjani kama anamsindikiza bwana harusi.
 
M
Ili usajiriwe arsenal, kwanza uwe the gunner au uwe na mapenzi na timu

Pili uelewe project na uwe tayari kufia uwanjani kwa ajiri ya timu

Look at this, alipoulizwa kuhusu kuwa sehemu ya squad ya nyumbuView attachment 2978531
Mshiko mbele kwanza halafu mpira ufuate.
Unasema kwetu ni mpira kwanza, halafu mshiko upo tu, siyo?
Utakuwa sahihi.
 
Man utd tuna laana, ndio nimeamua kukaa kimya kwa sasa, siandiki tena magazeti, siumizi kichwa juu ya kocha ajaye, siumizi kichwa juu ya mipango ya INEOS.

Yote nayaona ni rubbish na hizi tetesi za usajili ndio zinazidi kunivunja moyo haijalishi ni uongo mwingi.

Fragile Ego
============
1714831902122.png

Ipswich wanarudi ligi kuu baada ya miaka 22, jamaa amewatoa daraja la kwanza chini mpaka daraja la kwanza kuu kwa mwaka mmoja.

Then kwa mwaka mmoja anawarudisha ligi kuu kwa bajeti ya paundi millioni 6.

Wachezaji wetu walisema Mckenna ana mazoezi ya kitoto

Kumamakeee!!!!
 
Man utd tuna laana, ndio nimeamua kukaa kimya kwa sasa, siandiki tena magazeti, siumizi kichwa juu ya kocha ajaye, siumizi kichwa juu ya mipango ya INEOS.

Yote nayaona ni rubbish na hizi tetesi za usajili ndio zinazidi kunivunja moyo haijalishi ni uongo mwingi.

Fragile Ego
============
View attachment 2980658
Ipswich wanarudi ligi kuu baada ya miaka 22, jamaa amewatoa daraja la kwanza chini mpaka daraja la kwanza kuu kwa mwaka mmoja.

Then kwa mwaka mmoja anawarudisha ligi kuu kwa bajeti ya paundi millioni 6.

Wachezaji wetu walisema Mckenna ana mazoezi ya kitoto

Kumamakeee!!!!
Mazoezi ya kitoto

Kwa iyo hapo kapandisha watoto wenzie
 
Newcastle washawanchukulia nafasi ya 7.

Crystal Palace atahakikisha anawapa nafasi Chelsea wawakaribie. Kuna uwezekano mkamaliza nafasi ya 8. Hiyo itapendeza sana maana itaonyesha kuwa ushindi wa papatu papatu hauwezi kupatikana msimu mzima.

Furahini mko top 10 ingawa hamkustahili.
 
kenge wamepambana hadi wamewakaribia wawapite
kumbuka ni point 3 tu inawatenganisha.sitoshaanga kenge wakacheza europa
manyuu mkabaki kutupigia kelele za fainali ya fa
 
Back
Top Bottom