Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,175
- 12,846
Jodan Sancho π₯
Tukiwa na wachezaji sahihi na wanaopigania badge ya club yes itawezekana.Ivi kuna siku tutafikia style ya uchezaji kama ile ya dortmund
Jamaa ni mbio mwanzo mwisho na full controll miguuni ball balance imejaa pale
Tatizo pale Carrington wamejazana mabitozi na masharobaro, wanakula mishahara mirefu halafu kujituma uwanjani wenyewe wanaona kama hisani sio wajibu.Ivi kuna siku tutafikia style ya uchezaji kama ile ya dortmund
Jamaa ni mbio mwanzo mwisho na full controll miguuni ball balance imejaa pale
Mshiko mbele kwanza halafu mpira ufuate.Ili usajiriwe arsenal, kwanza uwe the gunner au uwe na mapenzi na timu
Pili uelewe project na uwe tayari kufia uwanjani kwa ajiri ya timu
Look at this, alipoulizwa kuhusu kuwa sehemu ya squad ya nyumbuView attachment 2978531
kumbuka kuna kocha Alimletea zengwe, mwana akasepa zakeJodan Sancho π₯
ila hili lijamaa huwaga halina utani hata kidogoUnafumgwa na ukizingua unapigwa vilevileView attachment 2978536
M
Mshiko mbele kwanza halafu mpira ufuate.
Unasema kwetu ni mpira kwanza, halafu mshiko upo tu, siyo?
Utakuwa sahihi.
Mazoezi ya kitotoMan utd tuna laana, ndio nimeamua kukaa kimya kwa sasa, siandiki tena magazeti, siumizi kichwa juu ya kocha ajaye, siumizi kichwa juu ya mipango ya INEOS.
Yote nayaona ni rubbish na hizi tetesi za usajili ndio zinazidi kunivunja moyo haijalishi ni uongo mwingi.
Fragile Ego
============
View attachment 2980658
Ipswich wanarudi ligi kuu baada ya miaka 22, jamaa amewatoa daraja la kwanza chini mpaka daraja la kwanza kuu kwa mwaka mmoja.
Then kwa mwaka mmoja anawarudisha ligi kuu kwa bajeti ya paundi millioni 6.
Wachezaji wetu walisema Mckenna ana mazoezi ya kitoto
Kumamakeee!!!!