Mambo ya ovyo yanayoendelea UVCC mkoani Kagera

Makabi Lilepo

Member
May 28, 2023
77
115
MWENYEKITI WA UVCCM MKOA KAGERA UNAUDHALILISHA MKOA SASA NI WAKATI WA KUJIUZURU MARA MOJA.

BUKOBA KAGERA.

Mkoa wa Kagera Jumuiya ya Mkoa wa Vijana (UVCCM) ilipata mwenyekiti mpya ambaye aliingia kwa uchu na matumaini ya kuwasaidia vijana. Lakini baada ya muda mambo yamekuwa tofauti sana kwani Jumuiya imegeuza malengo yake na kujikuta iimekuwa chini na kiongozi wa Hovyo, asiyependa kusikiliza watu, mwenye kujikweza, mwenye kubagua watu, dalali, mlanguzi na mtu wa kutumia jumuiya kwa manufaa yake binafsi na akiwa na tamaa kubwa na uchu wa madaraka.

Ijulikane kuwa UVCCM ni chombo tukufu kilichoundwa kwa lengo la kupika na kuoka viongozi. Lakini kwa hali inayoendelea mkoa Kagera Ni vyema Uongozi wa UVCCM na CCM Taifa unapaswa kuingilia kati mwenendo wa jumuiya mkoani Kagera ili kunusuru hali.

Baada ya malalamiko mengi kutoka maeneo tofauti yafuatayo ni mambo yaliyoainishwa na ni malalamiko yenye ushahidi wa wazi na wa kimaingira toka kwa wanajumuiya Mkoani Kagera ambao wanajuta kuwa na kiongozi wa aina hii kwa ngazi ya mkoa.

1. KUTUMIA MUDA MWINGI KULIPA KISASI DHIDI YA WALE AMBAO HAWAKUMUUNGA MKONO.
Mnamo mwaka 2022 akiwa anagombea uchaguzi wa mkoa kuna watu ambao hawakumuunga mkono kabisa na hii ni kawaida katika uchaguzi wa ndani ya Chama. Lakini baada ya uchaguzi huo wapo watu ambao Mwenyekiti huyo aliapa kwa mdomo wake mbele ya umma kuwa anaapa kwa mdomo wake hawatokaa wafanye siasa katika kipindi cha uongozi wake. Wapo wenyeviti wa wilaya na Makatibu wa Jumuiya wilaya ambao aliapa kutowapa ushirikiano na huku akiwa anaingilia mambo ya ndani ya wilaya kama ambavyo Aliingilia uchaguzi wa kumteua Katibu wa Hamasa Wilaya Muleba akishinikiza Baraza limteue kijana anayeitwa ENODIUS LUSHAGYA ambaye alikuwa mpambe wake wakati wa kutafuta uenyekiti mkoa. Katika kero hii amekuwa akitumia nguvu kubwa kuwagawa viongozi wale ambao hawakumuunga mkono ili mambo yao yasifanikiwe hii imeathiri mwenendo wa utendaji kazi katika jumuiya ngazi za wilaya.

2. KUTUMIA UENYEKITI WA MKOA KUWAHADAA WATIA NIA WA UBUNGE VITI MAALUM UVCCM MWAKA 2025.
Kumekuwa na minongono ya wazi kuwa tangu aingie madarakani amekuwa akitumia cheo hicho kuwaaminisha watu kuwa yeye ndiye atakayeamua nani awe mbunge wa viti maalum wa mkoa Kagera. Aidha upo ushahidi wa wazi kuwa Mbunge mstaafu wa Mkoa Kagera ambaye kwa sasa ni DC KIGAMBONI alimpa gari aina ya Toyota Rumion ambalo analitembelea mpaka sasa pia alipatiwa kiwanja katika wilaya mojawapo za mkoa wa Dar es Salaam ili kuhakikisha Mbunge huyo anakuwa mbunge wa Viti Maalum kwa mkoa Kagera. Jambo hili linaleta ukakasi na mkanganyiko mkubwa kati ya wajumbe wa Baraza kuu la UVCCM mkoa Kagera juu ya weledi na uadilifu wake. Je anakubali kuuza mkoa wa Kagera kwa kuhongwa? Je ni dalali? Je ni mtu ambaye ameamua kusaini mkataba feki wa kuuza mkoa wetu kwa kumleta mtu agombee ubunge bila kusikia vijana wanamtaka nani?

Katika mwenendo huo huo Mwenyekiti huyu aliratibu zoezi la Kuwaondoa wajumbe wawili wa Baraza la Mkoa na wajumbe wa Kamati ya utekelezaji Mkoa Ndugu AZATH SIMBA na EMIRATHA KENTE kwa tuhuma zisizo na ushahidi za kukosa maadili. Ikumbukwe kwamba watajwa hapo juu walionekana wazi kukitaka kiti cha Ubunge wa Viti Maalum mkoa Kagera na akaona njia nyepesi ya kuwaondoa ni kuwafuta nafasi zao kinyume na kanuni.


3. KUTUMIA UENYEKITI WA MKOA ILI KUTAFUTA UBUNGE WA JIMBO LA BUKOBA VIJIJINI.
Katika kero hii kumekuwa na minunguniko mingi toka kwa wananchi ya kuwa Mwenyekiti wa vijana mkoa anatuma vijana wake na washirika wake mtandaoni kumtukana, kumdhihaki, kumshushia heshima Mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini na kubeza kazi nzuri anazofanya kwa wananchi. Katika hatua nyingine amekuwa akijinasibu ya kuwa anaungwa Mkono na watu wengi na atahakikish Mh Rweikiza harudi Bungeni.

Hii inasikitisha sana kwani kiongozi wa chama ni lazma aunge mkono juhudi za Kiongozi wa serikali ili kuhakikisha Ilani inatekelezwa. Kinyume na hapo Mwenyekiti huyu amekuwa akitumia muda mwingi kujitangaza mitandaoni, kusambaza picha na video za matukio anayoenda ili aonekane maarufu wakati hali za uchumi na ustawi wa vijana zikiwa dhoofu na bila msaada wowote.

Ni aibu kubwa sana na fedheha kwani Kitendo hiki kimekuwa kikilalamikiwa sana sio tu ndani ya jumuiya bali hata nje ya jumuiya. Ni vyema mamlaka iliyo juu kumkamnya na kuangalia mwenendo wake ili kunusuru hali.

4. KUPINGANA NA AJENDA YA MH RAIS YA KULETA SIASA ZA USHINDANI ZISIZOKUWA NA CHUKI.
Katika mwendelezo wa kujipendekeza, kujikweza na kuona kama Uenyekiti wa Mkoa ni nafasi ambayo ni ya mtu asiyeguswa; Mwenyekiti huyo aliskika akisema kuwa anao uwezo wa kuwapoteza wapinzani na polisi wasimhoji. Kauli hii ilionesha kuwa ni kijana wa hovyo mpaka Katibu Mkuu Taifa Balozi Nchimbi akakemea kauli hiyo. Katika mwendelezo huo huo watu mbali mbali mashuhuri wamekuwa wakimtaka atoke hadharani aombe wananchi msamaha na kuliomba jeshi la polisi msamaha.

Kitendo cha kusema atawapoteza wapinzani kimeleta mshtuko mkubwa kuwa Je atawapoteza wapinzani wapi? Wapinzani ndani ya CCM, Watu wanaomkosoa atawapoteza? Bado haijaeleweka kuwa nani anamtuma apoteze watu au ni nani yupo nyuma yake anayemwelekeza apoteze watu. Ni Imani kubwa ya kwamba katika mkoa wetu wa Kagera tunao watu wengi wenye weledi ambao hawangeweza kutoa kauli yenye majivuni kama hii.

Ikumbukwe ya kuwa Mh RAIS aeruhusu watu wa vyama vyote wafanye siasa na kitendo cha kusema wapinzani wapotezwe ni kauli iliyojaa kiburi na kauli inayopinga malekezo ya Mh RAIS. Je ni halali kuendelea kuwa na Mwenyekiti wa Jumuiya Mkoa anayepinga maelekezo ya MH RAIS na Mwenyekiti wa Chama Taifa?

Ni vyema uongozi wa Taifa ukajulishwa ya kuwa kuna kiongozi ambaye sio tu atahatarisha usalama wa wanachama bali ni hatari hata kwa wananchi wenye vyama na wasio na vyama ambaye anatumia majukwaa ya kisiasa kujipendekeza na kujikweza ili kupata uteuzi na uungwaji mkono kiholela.

5. KUTUMIA MUDA MWINGI KUFANYA ZIARA ZISIZOKUWA NA MATOKEO ZA KUJITAFUTIA UMAARUFU HUKU KERO ZA VIJANA ZIKIBAKI BILA MAJIBU.
Ni masikitiko ya kuwa Uongozi wa Mkoa Kagera umeacha kujielekeza kwenye masuala ya msingi na kujikuta muda mwingi ukitumika kujenga umaarufu wa Mwenyekiti wa Mkoa huku ukisahau kutatua kero za vijana. Imekuwa ni kawaida kuwa kila tukio linalofanyika imekuwa ikitumika nguvu kubwa kusambaza picha na video mitandaoni na kikundi cha vijana ili kujenga umaarufu wake kuliko kutatua kero za Vijana. Katika maeneo yote na katika ziara zote hakuna mambo ayanayogusa vijana ambayo yameshughulikiwa lakini vijana wanaaminishwa kuwa Mwenyekiti anapiga kazi. Katika mfumo ambao mtu anaamka asubuhi anatengeneza bajeti anaomba mssada kwa viongozi mbali mbali na kuanza kuzunguka kila wilaya; sote tujiulize Je anakuwa hana kazi? Je zinakuwa ni ziara za kikakuni au ni za kujipangia? Je ni mambo ambayo chama kimebariki au ni ajenda binafsi? Katika kujibu maswali haya jibu ni moja ya kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Kagera anatumia muda mwingi kufanya self branding, kujikweza, kutafuta uteuzi na kutumia Vijana wa Kagera kama ngazi jambo ambalo linapaswa likataliwe na kupingwa.
6. KUSHIRIIKI KUMUENGUA MWENYEKITI UVCCM KARAGQE NDUGU ALEX KWA TUHUMA ZA KUSINGIZIWA.
Katika kero hii Mwenyekiti hugu amekuwa akiendeleza kuwaondoa madarakani na kuwafuta nafasi viongozi wa Kata na Wilaya ambao hawakumuunga mkono. Hii ilipelekea kuondolewa Madarakani kwa Mwenyekiti wa UVCCM Karagwe kwa kesi za kutengeneza kwa sababu wakati anagombea upngozi hakumuunga mkono. Hii ni picha halisi ya kuonesha kuwa anao uwezo wa kupoteza watu kabisa na kuwafuta katika ramani za kisiasa. Kero hii imefanya wilaya ya Karagwe kwa zaidi ya mwaka mzima haina Mwenyekiti wa Vijana wilaya hali inayoathiri utendaji kazi wa Jumuiya Wilayan hapo.

Mpaka sasa vijana wote wa CCM Mkoa Kagera wamepoteza tumaini kwa kuendelea kuwa na kiongozi huyu.
Hivyo basi ni vyema Vijana wote Mkoa Kagera kupaza sauti, kupinga udalali na ujanja ujanja wa kiongozi huyu ili kunusuru hali ili taswira ya Mkoa wa Kagera kurudi kuliko kuendelea kuaibika na kudhalilika kwa sababu ya mtu mmoja.

Waraka huu unahitaji watu 500 kutoka kwa vijana wa UVCCM ili kushinikiza Ndugu Farsis Burhani Kujiuzulu
JINA SEHEMU ATOKAPO NAMBA YA SIMU
OMARY RWAKABWA KIBIMBA - NGARA 0768900898
ACTON ISHENGOMA NYAKATO – BUKOBA VIJIJINI 0765234566
RAIMOND BWAHAMA KARAMBI - MULEBA 0656091020
ANITHA RADISLAUS BUJUGO – UVCCM 0673299299
ASHIRU BASHIRU KISHANDA - MULEBA 0764678889
ALISIA RWEKENGA IKONDO - MULEBA 0742646958
EDSON SHANI NTOBEYE - NGARA 0625914177
FAUSTIN KEZAKI KEZA - NGARA 0621814391
FRAISKA NICOLAUS KANSHENYE - MISSENYI 0657412780
GULATON BRYSON NYAKAHURA - BIHARAMULO 0682657380
ASHURA JUMANNE KABANGA =- NGARA 0746399303
OBADIA NGAGERA KITOBO - BUKOBA 0765100299
JUMA AHMAED KISHANDA - MULEBA 0765464000
ASEDI MUKULASI IZIGO - MULEBA 0756499400
JOHN MARIKO IZIMBYA 0788900900
ABDALLAH OMARI KATORO - 0765455432
RUKIA AMIDU KATORO
ABDULKARIM KIKORE KATORO
FLORA TITUS KARORO
ASTRIDA ANTHONY MULEBA 0754075417
JAKSON ALISTIDES MURONGO 0678781879
ABDULAUF KATO KYAIKOTE 0623425929
AFIZ SHAMSA KAYANGA 0746546358
ALBINA BRUNO MUSHABAGO 0627440733
BARBANAS STANLEY KEZA 0763899899
PONSIAN MATAYO BUJUGO 0745536663
PENDO KAJUNA BUGANDIKA
 
MWENYEKITI WA UVCCM MKOA KAGERA UNAUDHALILISHA MKOA SASA NI WAKATI WA KUJIUZURU MARA MOJA.

BUKOBA KAGERA.

Mkoa wa Kagera Jumuiya ya Mkoa wa Vijana (UVCCM) ilipata mwenyekiti mpya ambaye aliingia kwa uchu na matumaini ya kuwasaidia vijana. Lakini baada ya muda mambo yamekuwa tofauti sana kwani Jumuiya imegeuza malengo yake na kujikuta iimekuwa chini na kiongozi wa Hovyo, asiyependa kusikiliza watu, mwenye kujikweza, mwenye kubagua watu, dalali, mlanguzi na mtu wa kutumia jumuiya kwa manufaa yake binafsi na akiwa na tamaa kubwa na uchu wa madaraka.

Ijulikane kuwa UVCCM ni chombo tukufu kilichoundwa kwa lengo la kupika na kuoka viongozi. Lakini kwa hali inayoendelea mkoa Kagera Ni vyema Uongozi wa UVCCM na CCM Taifa unapaswa kuingilia kati mwenendo wa jumuiya mkoani Kagera ili kunusuru hali.

Baada ya malalamiko mengi kutoka maeneo tofauti yafuatayo ni mambo yaliyoainishwa na ni malalamiko yenye ushahidi wa wazi na wa kimaingira toka kwa wanajumuiya Mkoani Kagera ambao wanajuta kuwa na kiongozi wa aina hii kwa ngazi ya mkoa.

1. KUTUMIA MUDA MWINGI KULIPA KISASI DHIDI YA WALE AMBAO HAWAKUMUUNGA MKONO.
Mnamo mwaka 2022 akiwa anagombea uchaguzi wa mkoa kuna watu ambao hawakumuunga mkono kabisa na hii ni kawaida katika uchaguzi wa ndani ya Chama. Lakini baada ya uchaguzi huo wapo watu ambao Mwenyekiti huyo aliapa kwa mdomo wake mbele ya umma kuwa anaapa kwa mdomo wake hawatokaa wafanye siasa katika kipindi cha uongozi wake. Wapo wenyeviti wa wilaya na Makatibu wa Jumuiya wilaya ambao aliapa kutowapa ushirikiano na huku akiwa anaingilia mambo ya ndani ya wilaya kama ambavyo Aliingilia uchaguzi wa kumteua Katibu wa Hamasa Wilaya Muleba akishinikiza Baraza limteue kijana anayeitwa ENODIUS LUSHAGYA ambaye alikuwa mpambe wake wakati wa kutafuta uenyekiti mkoa. Katika kero hii amekuwa akitumia nguvu kubwa kuwagawa viongozi wale ambao hawakumuunga mkono ili mambo yao yasifanikiwe hii imeathiri mwenendo wa utendaji kazi katika jumuiya ngazi za wilaya.

2. KUTUMIA UENYEKITI WA MKOA KUWAHADAA WATIA NIA WA UBUNGE VITI MAALUM UVCCM MWAKA 2025.
Kumekuwa na minongono ya wazi kuwa tangu aingie madarakani amekuwa akitumia cheo hicho kuwaaminisha watu kuwa yeye ndiye atakayeamua nani awe mbunge wa viti maalum wa mkoa Kagera. Aidha upo ushahidi wa wazi kuwa Mbunge mstaafu wa Mkoa Kagera ambaye kwa sasa ni DC KIGAMBONI alimpa gari aina ya Toyota Rumion ambalo analitembelea mpaka sasa pia alipatiwa kiwanja katika wilaya mojawapo za mkoa wa Dar es Salaam ili kuhakikisha Mbunge huyo anakuwa mbunge wa Viti Maalum kwa mkoa Kagera. Jambo hili linaleta ukakasi na mkanganyiko mkubwa kati ya wajumbe wa Baraza kuu la UVCCM mkoa Kagera juu ya weledi na uadilifu wake. Je anakubali kuuza mkoa wa Kagera kwa kuhongwa? Je ni dalali? Je ni mtu ambaye ameamua kusaini mkataba feki wa kuuza mkoa wetu kwa kumleta mtu agombee ubunge bila kusikia vijana wanamtaka nani?

Katika mwenendo huo huo Mwenyekiti huyu aliratibu zoezi la Kuwaondoa wajumbe wawili wa Baraza la Mkoa na wajumbe wa Kamati ya utekelezaji Mkoa Ndugu AZATH SIMBA na EMIRATHA KENTE kwa tuhuma zisizo na ushahidi za kukosa maadili. Ikumbukwe kwamba watajwa hapo juu walionekana wazi kukitaka kiti cha Ubunge wa Viti Maalum mkoa Kagera na akaona njia nyepesi ya kuwaondoa ni kuwafuta nafasi zao kinyume na kanuni.


3. KUTUMIA UENYEKITI WA MKOA ILI KUTAFUTA UBUNGE WA JIMBO LA BUKOBA VIJIJINI.
Katika kero hii kumekuwa na minunguniko mingi toka kwa wananchi ya kuwa Mwenyekiti wa vijana mkoa anatuma vijana wake na washirika wake mtandaoni kumtukana, kumdhihaki, kumshushia heshima Mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini na kubeza kazi nzuri anazofanya kwa wananchi. Katika hatua nyingine amekuwa akijinasibu ya kuwa anaungwa Mkono na watu wengi na atahakikish Mh Rweikiza harudi Bungeni.

Hii inasikitisha sana kwani kiongozi wa chama ni lazma aunge mkono juhudi za Kiongozi wa serikali ili kuhakikisha Ilani inatekelezwa. Kinyume na hapo Mwenyekiti huyu amekuwa akitumia muda mwingi kujitangaza mitandaoni, kusambaza picha na video za matukio anayoenda ili aonekane maarufu wakati hali za uchumi na ustawi wa vijana zikiwa dhoofu na bila msaada wowote.

Ni aibu kubwa sana na fedheha kwani Kitendo hiki kimekuwa kikilalamikiwa sana sio tu ndani ya jumuiya bali hata nje ya jumuiya. Ni vyema mamlaka iliyo juu kumkamnya na kuangalia mwenendo wake ili kunusuru hali.

4. KUPINGANA NA AJENDA YA MH RAIS YA KULETA SIASA ZA USHINDANI ZISIZOKUWA NA CHUKI.
Katika mwendelezo wa kujipendekeza, kujikweza na kuona kama Uenyekiti wa Mkoa ni nafasi ambayo ni ya mtu asiyeguswa; Mwenyekiti huyo aliskika akisema kuwa anao uwezo wa kuwapoteza wapinzani na polisi wasimhoji. Kauli hii ilionesha kuwa ni kijana wa hovyo mpaka Katibu Mkuu Taifa Balozi Nchimbi akakemea kauli hiyo. Katika mwendelezo huo huo watu mbali mbali mashuhuri wamekuwa wakimtaka atoke hadharani aombe wananchi msamaha na kuliomba jeshi la polisi msamaha.

Kitendo cha kusema atawapoteza wapinzani kimeleta mshtuko mkubwa kuwa Je atawapoteza wapinzani wapi? Wapinzani ndani ya CCM, Watu wanaomkosoa atawapoteza? Bado haijaeleweka kuwa nani anamtuma apoteze watu au ni nani yupo nyuma yake anayemwelekeza apoteze watu. Ni Imani kubwa ya kwamba katika mkoa wetu wa Kagera tunao watu wengi wenye weledi ambao hawangeweza kutoa kauli yenye majivuni kama hii.

Ikumbukwe ya kuwa Mh RAIS aeruhusu watu wa vyama vyote wafanye siasa na kitendo cha kusema wapinzani wapotezwe ni kauli iliyojaa kiburi na kauli inayopinga malekezo ya Mh RAIS. Je ni halali kuendelea kuwa na Mwenyekiti wa Jumuiya Mkoa anayepinga maelekezo ya MH RAIS na Mwenyekiti wa Chama Taifa?

Ni vyema uongozi wa Taifa ukajulishwa ya kuwa kuna kiongozi ambaye sio tu atahatarisha usalama wa wanachama bali ni hatari hata kwa wananchi wenye vyama na wasio na vyama ambaye anatumia majukwaa ya kisiasa kujipendekeza na kujikweza ili kupata uteuzi na uungwaji mkono kiholela.

5. KUTUMIA MUDA MWINGI KUFANYA ZIARA ZISIZOKUWA NA MATOKEO ZA KUJITAFUTIA UMAARUFU HUKU KERO ZA VIJANA ZIKIBAKI BILA MAJIBU.
Ni masikitiko ya kuwa Uongozi wa Mkoa Kagera umeacha kujielekeza kwenye masuala ya msingi na kujikuta muda mwingi ukitumika kujenga umaarufu wa Mwenyekiti wa Mkoa huku ukisahau kutatua kero za vijana. Imekuwa ni kawaida kuwa kila tukio linalofanyika imekuwa ikitumika nguvu kubwa kusambaza picha na video mitandaoni na kikundi cha vijana ili kujenga umaarufu wake kuliko kutatua kero za Vijana. Katika maeneo yote na katika ziara zote hakuna mambo ayanayogusa vijana ambayo yameshughulikiwa lakini vijana wanaaminishwa kuwa Mwenyekiti anapiga kazi. Katika mfumo ambao mtu anaamka asubuhi anatengeneza bajeti anaomba mssada kwa viongozi mbali mbali na kuanza kuzunguka kila wilaya; sote tujiulize Je anakuwa hana kazi? Je zinakuwa ni ziara za kikakuni au ni za kujipangia? Je ni mambo ambayo chama kimebariki au ni ajenda binafsi? Katika kujibu maswali haya jibu ni moja ya kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Kagera anatumia muda mwingi kufanya self branding, kujikweza, kutafuta uteuzi na kutumia Vijana wa Kagera kama ngazi jambo ambalo linapaswa likataliwe na kupingwa.

Mpaka sasa vijana wote wa CCM Mkoa Kagera wamepoteza tumaini kwa kuendelea kuwa na kiongozi huyu.
Hivyo basi ni vyema Vijana wote Mkoa Kagera kupaza sauti, kupinga udalali na ujanja ujanja wa kiongozi huyu ili kunusuru hali ili taswira ya Mkoa wa Kagera kurudi kuliko kuendelea kuaibika na kudhalilika kwa sababu ya mtu mmoja.

Waraka huu unahitaji watu 500 kutoka kwa vijana wa UVCCM ili kushinikiza Ndugu Farsis Burhani Kujiuzulu
JINA SEHEMU ATOKAPO NAMBA YA SIMU
OMARY RWAKABWA KIBIMBA - NGARA 0768900898
ACTON ISHENGOMA NYAKATO – BUKOBA VIJIJINI 0765234566
RAIMOND BWAHAMA KARAMBI - MULEBA 0656091020
ANITHA RADISLAUS BUJUGO – UVCCM 0673299299
ASHIRU BASHIRU KISHANDA - MULEBA 0764678889
ALISIA RWEKENGA IKONDO - MULEBA 0742646958
EDSON SHANI NTOBEYE - NGARA 0625914177
FAUSTIN KEZAKI KEZA - NGARA 0621814391
FRAISKA NICOLAUS KANSHENYE - MISSENYI 0657412780
GULATON BRYSON NYAKAHURA - BIHARAMULO 0682657380
ASHURA JUMANNE KABANGA =- NGARA 0746399303
OBADIA NGAGERA KITOBO - BUKOBA 0765100299
JUMA AHMAED KISHANDA - MULEBA 0765464000
ASEDI MUKULASI IZIGO - MULEBA 0756499400
JOHN MARIKO IZIMBYA 0788900900
ABDALLAH OMARI KATORO - 0765455432
RUKIA AMIDU KATORO
ABDULKARIM KIKORE KATORO
FLORA TITUS KARORO
ASTRIDA ANTHONY MULEBA 0754075417
JAKSON ALISTIDES MURONGO 0678781879
ABDULAUF KATO KYAIKOTE 0623425929
AFIZ SHAMSA KAYANGA 0746546358
ALBINA BRUNO MUSHABAGO 0627440733
BARBANAS STANLEY KEZA 0763899899
PONSIAN MATAYO BUJUGO 0745536663
PENDO KAJUNA BUGANDIKA
Wahaya mnaongoza kwa majungu!!! Katika kila CHAWA 10 wa mama, Wahaya ni 7
 
Huyu Dogo hizi siasa za kutishia watu zilishapitwa na wakati. Ukiona hivyo ujue akiri zake anajua akisema anapoteza na kuua watu ndiyo atapata uteuzi.
CCM hii mijitu ya haina hii ndo wanayaona yana akiri. Hizo ni raana mnajitafutia. Nyinyi wenyewe mioga. Kama kweri mmemuchoka itisha Presi mlifukuze. Haya yanasababisha watu wachukie siasa.
 
UNAFIKI,FITINA KWA MWENYEKITI UVCCM MKOA KAGERA
Tatizo la Vijana wengi wa siku hizi wamekuwa wa kutaka kuwa machawa wa viongozi hivyo anavyotokea Vijana wenye misimamo na kuchapa kazi lazima wamsimange na kumsema sana pia hawataishia apo lazima wamchonganishe tu na viongozi
Katika Taifa hili la Sasa ukatae ukubali kwenye Vijana hamna anayejituma kufanya kazi kama Mwenyekiti wa Vijana Mkoa wa Kagera hivyo Kijana amekuwa na wapinzani wengi kuliko chochote kile, Tatizo watu wengi walikuwa hawajui kazi za Vijana ndoshida inapoanzia na Mwenyekiti aliyepita wa Vijana Mkoa wa Kagera anaongoza Hilo Genge la wapumbavu bado hawajakubali kushindwa wamuache Kijana afanye kazi kaamua kujitoa kwa vyovyote vile
Kijana yupo karibu sana na Vijana wa CCM Mkoa wa Kagera ni kijana pekee anayetatua changamoto za Vijana wengi sana katika Nyanza zote na changamoto mfano alikuwa na ziara kata Kibirizi Kuna Shule inaitwa shule ya msingi Amani shule ilikuwa Ina miaka 8 haina mwalimu wa kike ila alipokuja akampigia mkurungenzi simu apo apo Sasa hivi mwalimu wa kike kaletwa Vijana kama tutawatoa wapo kwenye Dunia hii Mkoa wa Kagera acheni Unafiki, Fitina acheni kijana afanye kazi awaonyeshe kazi zinavyobidi zifanyike.
 
MWENYEKITI WA UVCCM MKOA KAGERA UNAUDHALILISHA MKOA SASA NI WAKATI WA KUJIUZURU MARA MOJA.

BUKOBA KAGERA.
UNAFIKI,FITINA KWA MWENYEKITI UVCCM MKOA KAGERA
Tatizo la Vijana wengi wa siku hizi wamekuwa wa kutaka kuwa machawa wa viongozi hivyo anavyotokea Vijana wenye misimamo na kuchapa kazi lazima wamsimange na kumsema sana pia hawataishia apo lazima wamchonganishe tu na viongozi
Katika Taifa hili la Sasa ukatae ukubali kwenye Vijana hamna anayejituma kufanya kazi kama Mwenyekiti wa Vijana Mkoa wa Kagera hivyo Kijana amekuwa na wapinzani wengi kuliko chochote kile, Tatizo watu wengi walikuwa hawajui kazi za Vijana ndoshida inapoanzia na Mwenyekiti aliyepita wa Vijana Mkoa wa Kagera anaongoza Hilo Genge la wapumbavu bado hawajakubali kushindwa wamuache Kijana afanye kazi kaamua kujitoa kwa vyovyote vile
Kijana yupo karibu sana na Vijana wa CCM Mkoa wa Kagera ni kijana pekee anayetatua changamoto za Vijana wengi sana katika Nyanza zote na changamoto mfano alikuwa na ziara kata Kibirizi Kuna Shule inaitwa shule ya msingi Amani shule ilikuwa Ina miaka 8 haina mwalimu wa kike ila alipokuja akampigia mkurungenzi simu apo apo Sasa hivi mwalimu wa kike kaletwa Vijana kama tutawatoa wapo kwenye Dunia hii Mkoa wa Kagera acheni Unafiki, Fitina acheni kijana afanye kazi awaonyeshe kazi zinavyobidi zifanyike.

Mkoa wa Kagera Jumuiya ya Mkoa wa Vijana (UVCCM) ilipata mwenyekiti mpya ambaye aliingia kwa uchu na matumaini ya kuwasaidia vijana. Lakini baada ya muda mambo yamekuwa tofauti sana kwani Jumuiya imegeuza malengo yake na kujikuta iimekuwa chini na kiongozi wa Hovyo, asiyependa kusikiliza watu, mwenye kujikweza, mwenye kubagua watu, dalali, mlanguzi na mtu wa kutumia jumuiya kwa manufaa yake binafsi na akiwa na tamaa kubwa na uchu wa madaraka.

Ijulikane kuwa UVCCM ni chombo tukufu kilichoundwa kwa lengo la kupika na kuoka viongozi. Lakini kwa hali inayoendelea mkoa Kagera Ni vyema Uongozi wa UVCCM na CCM Taifa unapaswa kuingilia kati mwenendo wa jumuiya mkoani Kagera ili kunusuru hali.

Baada ya malalamiko mengi kutoka maeneo tofauti yafuatayo ni mambo yaliyoainishwa na ni malalamiko yenye ushahidi wa wazi na wa kimaingira toka kwa wanajumuiya Mkoani Kagera ambao wanajuta kuwa na kiongozi wa aina hii kwa ngazi ya mkoa.

1. KUTUMIA MUDA MWINGI KULIPA KISASI DHIDI YA WALE AMBAO HAWAKUMUUNGA MKONO.
Mnamo mwaka 2022 akiwa anagombea uchaguzi wa mkoa kuna watu ambao hawakumuunga mkono kabisa na hii ni kawaida katika uchaguzi wa ndani ya Chama. Lakini baada ya uchaguzi huo wapo watu ambao Mwenyekiti huyo aliapa kwa mdomo wake mbele ya umma kuwa anaapa kwa mdomo wake hawatokaa wafanye siasa katika kipindi cha uongozi wake. Wapo wenyeviti wa wilaya na Makatibu wa Jumuiya wilaya ambao aliapa kutowapa ushirikiano na huku akiwa anaingilia mambo ya ndani ya wilaya kama ambavyo Aliingilia uchaguzi wa kumteua Katibu wa Hamasa Wilaya Muleba akishinikiza Baraza limteue kijana anayeitwa ENODIUS LUSHAGYA ambaye alikuwa mpambe wake wakati wa kutafuta uenyekiti mkoa. Katika kero hii amekuwa akitumia nguvu kubwa kuwagawa viongozi wale ambao hawakumuunga mkono ili mambo yao yasifanikiwe hii imeathiri mwenendo wa utendaji kazi katika jumuiya ngazi za wilaya.

2. KUTUMIA UENYEKITI WA MKOA KUWAHADAA WATIA NIA WA UBUNGE VITI MAALUM UVCCM MWAKA 2025.
Kumekuwa na minongono ya wazi kuwa tangu aingie madarakani amekuwa akitumia cheo hicho kuwaaminisha watu kuwa yeye ndiye atakayeamua nani awe mbunge wa viti maalum wa mkoa Kagera. Aidha upo ushahidi wa wazi kuwa Mbunge mstaafu wa Mkoa Kagera ambaye kwa sasa ni DC KIGAMBONI alimpa gari aina ya Toyota Rumion ambalo analitembelea mpaka sasa pia alipatiwa kiwanja katika wilaya mojawapo za mkoa wa Dar es Salaam ili kuhakikisha Mbunge huyo anakuwa mbunge wa Viti Maalum kwa mkoa Kagera. Jambo hili linaleta ukakasi na mkanganyiko mkubwa kati ya wajumbe wa Baraza kuu la UVCCM mkoa Kagera juu ya weledi na uadilifu wake. Je anakubali kuuza mkoa wa Kagera kwa kuhongwa? Je ni dalali? Je ni mtu ambaye ameamua kusaini mkataba feki wa kuuza mkoa wetu kwa kumleta mtu agombee ubunge bila kusikia vijana wanamtaka nani?

Katika mwenendo huo huo Mwenyekiti huyu aliratibu zoezi la Kuwaondoa wajumbe wawili wa Baraza la Mkoa na wajumbe wa Kamati ya utekelezaji Mkoa Ndugu AZATH SIMBA na EMIRATHA KENTE kwa tuhuma zisizo na ushahidi za kukosa maadili. Ikumbukwe kwamba watajwa hapo juu walionekana wazi kukitaka kiti cha Ubunge wa Viti Maalum mkoa Kagera na akaona njia nyepesi ya kuwaondoa ni kuwafuta nafasi zao kinyume na kanuni.


3. KUTUMIA UENYEKITI WA MKOA ILI KUTAFUTA UBUNGE WA JIMBO LA BUKOBA VIJIJINI.
Katika kero hii kumekuwa na minunguniko mingi toka kwa wananchi ya kuwa Mwenyekiti wa vijana mkoa anatuma vijana wake na washirika wake mtandaoni kumtukana, kumdhihaki, kumshushia heshima Mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini na kubeza kazi nzuri anazofanya kwa wananchi. Katika hatua nyingine amekuwa akijinasibu ya kuwa anaungwa Mkono na watu wengi na atahakikish Mh Rweikiza harudi Bungeni.

Hii inasikitisha sana kwani kiongozi wa chama ni lazma aunge mkono juhudi za Kiongozi wa serikali ili kuhakikisha Ilani inatekelezwa. Kinyume na hapo Mwenyekiti huyu amekuwa akitumia muda mwingi kujitangaza mitandaoni, kusambaza picha na video za matukio anayoenda ili aonekane maarufu wakati hali za uchumi na ustawi wa vijana zikiwa dhoofu na bila msaada wowote.

Ni aibu kubwa sana na fedheha kwani Kitendo hiki kimekuwa kikilalamikiwa sana sio tu ndani ya jumuiya bali hata nje ya jumuiya. Ni vyema mamlaka iliyo juu kumkamnya na kuangalia mwenendo wake ili kunusuru hali.

4. KUPINGANA NA AJENDA YA MH RAIS YA KULETA SIASA ZA USHINDANI ZISIZOKUWA NA CHUKI.
Katika mwendelezo wa kujipendekeza, kujikweza na kuona kama Uenyekiti wa Mkoa ni nafasi ambayo ni ya mtu asiyeguswa; Mwenyekiti huyo aliskika akisema kuwa anao uwezo wa kuwapoteza wapinzani na polisi wasimhoji. Kauli hii ilionesha kuwa ni kijana wa hovyo mpaka Katibu Mkuu Taifa Balozi Nchimbi akakemea kauli hiyo. Katika mwendelezo huo huo watu mbali mbali mashuhuri wamekuwa wakimtaka atoke hadharani aombe wananchi msamaha na kuliomba jeshi la polisi msamaha.

Kitendo cha kusema atawapoteza wapinzani kimeleta mshtuko mkubwa kuwa Je atawapoteza wapinzani wapi? Wapinzani ndani ya CCM, Watu wanaomkosoa atawapoteza? Bado haijaeleweka kuwa nani anamtuma apoteze watu au ni nani yupo nyuma yake anayemwelekeza apoteze watu. Ni Imani kubwa ya kwamba katika mkoa wetu wa Kagera tunao watu wengi wenye weledi ambao hawangeweza kutoa kauli yenye majivuni kama hii.

Ikumbukwe ya kuwa Mh RAIS aeruhusu watu wa vyama vyote wafanye siasa na kitendo cha kusema wapinzani wapotezwe ni kauli iliyojaa kiburi na kauli inayopinga malekezo ya Mh RAIS. Je ni halali kuendelea kuwa na Mwenyekiti wa Jumuiya Mkoa anayepinga maelekezo ya MH RAIS na Mwenyekiti wa Chama Taifa?

Ni vyema uongozi wa Taifa ukajulishwa ya kuwa kuna kiongozi ambaye sio tu atahatarisha usalama wa wanachama bali ni hatari hata kwa wananchi wenye vyama na wasio na vyama ambaye anatumia majukwaa ya kisiasa kujipendekeza na kujikweza ili kupata uteuzi na uungwaji mkono kiholela.

5. KUTUMIA MUDA MWINGI KUFANYA ZIARA ZISIZOKUWA NA MATOKEO ZA KUJITAFUTIA UMAARUFU HUKU KERO ZA VIJANA ZIKIBAKI BILA MAJIBU.
Ni masikitiko ya kuwa Uongozi wa Mkoa Kagera umeacha kujielekeza kwenye masuala ya msingi na kujikuta muda mwingi ukitumika kujenga umaarufu wa Mwenyekiti wa Mkoa huku ukisahau kutatua kero za vijana. Imekuwa ni kawaida kuwa kila tukio linalofanyika imekuwa ikitumika nguvu kubwa kusambaza picha na video mitandaoni na kikundi cha vijana ili kujenga umaarufu wake kuliko kutatua kero za Vijana. Katika maeneo yote na katika ziara zote hakuna mambo ayanayogusa vijana ambayo yameshughulikiwa lakini vijana wanaaminishwa kuwa Mwenyekiti anapiga kazi. Katika mfumo ambao mtu anaamka asubuhi anatengeneza bajeti anaomba mssada kwa viongozi mbali mbali na kuanza kuzunguka kila wilaya; sote tujiulize Je anakuwa hana kazi? Je zinakuwa ni ziara za kikakuni au ni za kujipangia? Je ni mambo ambayo chama kimebariki au ni ajenda binafsi? Katika kujibu maswali haya jibu ni moja ya kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Kagera anatumia muda mwingi kufanya self branding, kujikweza, kutafuta uteuzi na kutumia Vijana wa Kagera kama ngazi jambo ambalo linapaswa likataliwe na kupingwa.
6. KUSHIRIIKI KUMUENGUA MWENYEKITI UVCCM KARAGQE NDUGU ALEX KWA TUHUMA ZA KUSINGIZIWA.
Katika kero hii Mwenyekiti hugu amekuwa akiendeleza kuwaondoa madarakani na kuwafuta nafasi viongozi wa Kata na Wilaya ambao hawakumuunga mkono. Hii ilipelekea kuondolewa Madarakani kwa Mwenyekiti wa UVCCM Karagwe kwa kesi za kutengeneza kwa sababu wakati anagombea upngozi hakumuunga mkono. Hii ni picha halisi ya kuonesha kuwa anao uwezo wa kupoteza watu kabisa na kuwafuta katika ramani za kisiasa. Kero hii imefanya wilaya ya Karagwe kwa zaidi ya mwaka mzima haina Mwenyekiti wa Vijana wilaya hali inayoathiri utendaji kazi wa Jumuiya Wilayan hapo.

Mpaka sasa vijana wote wa CCM Mkoa Kagera wamepoteza tumaini kwa kuendelea kuwa na kiongozi huyu.
Hivyo basi ni vyema Vijana wote Mkoa Kagera kupaza sauti, kupinga udalali na ujanja ujanja wa kiongozi huyu ili kunusuru hali ili taswira ya Mkoa wa Kagera kurudi kuliko kuendelea kuaibika na kudhalilika kwa sababu ya mtu mmoja.

Waraka huu unahitaji watu 500 kutoka kwa vijana wa UVCCM ili kushinikiza Ndugu Farsis Burhani Kujiuzulu
JINA SEHEMU ATOKAPO NAMBA YA SIMU
OMARY RWAKABWA KIBIMBA - NGARA 0768900898
ACTON ISHENGOMA NYAKATO – BUKOBA VIJIJINI 0765234566
RAIMOND BWAHAMA KARAMBI - MULEBA 0656091020
ANITHA RADISLAUS BUJUGO – UVCCM 0673299299
ASHIRU BASHIRU KISHANDA - MULEBA 0764678889
ALISIA RWEKENGA IKONDO - MULEBA 0742646958
EDSON SHANI NTOBEYE - NGARA 0625914177
FAUSTIN KEZAKI KEZA - NGARA 0621814391
FRAISKA NICOLAUS KANSHENYE - MISSENYI 0657412780
GULATON BRYSON NYAKAHURA - BIHARAMULO 0682657380
ASHURA JUMANNE KABANGA =- NGARA 0746399303
OBADIA NGAGERA KITOBO - BUKOBA 0765100299
JUMA AHMAED KISHANDA - MULEBA 0765464000
ASEDI MUKULASI IZIGO - MULEBA 0756499400
JOHN MARIKO IZIMBYA 0788900900
ABDALLAH OMARI KATORO - 0765455432
RUKIA AMIDU KATORO
ABDULKARIM KIKORE KATORO
FLORA TITUS KARORO
ASTRIDA ANTHONY MULEBA 0754075417
JAKSON ALISTIDES MURONGO 0678781879
ABDULAUF KATO KYAIKOTE 0623425929
AFIZ SHAMSA KAYANGA 0746546358
ALBINA BRUNO MUSHABAGO 0627440733
BARBANAS STANLEY KEZA 0763899899
PONSIAN MATAYO BUJUGO 0745536663
PENDO KAJUNA BUGANDIKA
Mimi nadhani huo Mkoa Kagera umesimama kwa sababu ya uongozi kuendekeza mambo yasiyo na tija na kujikweza kutafuta nafasi huku masuala ya kimaendeleo. Na Kiongozi anapokosea watu wanayakisimama.
UNAFIKI,FITINA KWA MWENYEKITI UVCCM MKOA KAGERA
Tatizo la Vijana wengi wa siku hizi wamekuwa wa kutaka kuwa machawa wa viongozi hivyo anavyotokea Vijana wenye misimamo na kuchapa kazi lazima wamsimange na kumsema sana pia hawataishia apo lazima wamchonganishe tu na viongozi
Katika Taifa hili la Sasa ukatae ukubali kwenye Vijana hamna anayejituma kufanya kazi kama Mwenyekiti wa Vijana Mkoa wa Kagera hivyo Kijana amekuwa na wapinzani wengi kuliko chochote kile, Tatizo watu wengi walikuwa hawajui kazi za Vijana ndoshida inapoanzia na Mwenyekiti aliyepita wa Vijana Mkoa wa Kagera anaongoza Hilo Genge la wapumbavu bado hawajakubali kushindwa wamuache Kijana afanye kazi kaamua kujitoa kwa vyovyote vile
Kijana yupo karibu sana na Vijana wa CCM Mkoa wa Kagera ni kijana pekee anayetatua changamoto za Vijana wengi sana katika Nyanza zote na changamoto mfano alikuwa na ziara kata Kibirizi Kuna Shule inaitwa shule ya msingi Amani shule ilikuwa Ina miaka 8 haina mwalimu wa kike ila alipokuja akampigia mkurungenzi simu apo apo Sasa hivi mwalimu wa kike kaletwa Vijana kama tutawatoa wapo kwenye Dunia hii Mkoa wa Kagera acheni Unafiki, Fitina acheni kijana afanye kazi awaonyeshe kazi zinavyobidi zifanyike.
Hili jina Enodius baada ya kusoma kuwa lipo ndani ya wanaotuhumiwa kuwa sehem ya Huyu kijana nimejarb kupeleza mambo yalivyo. Kumbe wewe Enodius unakaa Nyumbani kwa huyo Mwenyekiti wa mkoa ndo unakuja mitandaoni kumtetea. Yani unatetea mtu ili asikufukuze kwake .. nonsense...
Kweli tumejua anafanya kazi ndio maana na umri huo wa utu uzima unakaa kwa mwanaume mwenzio shame om you. Endelea kumtetea inaonekana kazi pia anakufanyia wewe.
 
Mimi nadhani huo Mkoa Kagera umesimama kwa sababu ya uongozi kuendekeza mambo yasiyo na tija na kujikweza kutafuta nafasi huku masuala ya kimaendeleo. Na Kiongozi anapokosea watu wanayakisimama...
Umejira karibu zenji tule bata acha roho mbaya na kutumiwa vibaya
 
Nimesoma na kusoma tena. Nimeelewa na kuelewa tena. Huyu ndugu Faris inabidi achutame afuate miiko ya kiungozi. Aache kuhemka atumie akili zake vizuri pasipo kukurupuka. Vijana wengi tunaponzwa na tamaa ya mafanikio. Huenda anaweza asiwe anahusika na haya yote ambayo katuhumiwa nalo lakini hili la kuwagawa vijana ni dhambi ambayo inamtafuna.

Haiwezekani wewe huyo huyo Kila wilaya unataka kuivuruga kwa kivuli Cha mwenyekiti wa Mkoa. Hawa wenyeviti wa wilaya Wana watu wao ambao walichaguliwa na vijana wenzao. Tena na wewe uliomba kura kwa kupitia migongo Yao.

Unajisahau sana Faris, uongozi hauko hivyo. Siasa za makundi, siasa za huyu hakuwa na mimi kipindi nagombea. Unataka kufanya revenge ambazo hazina kichwa Wala miguu. Uliza wenzio mbio za sakafuni huishia ukingoni.
 
MWENYEKITI WA UVCCM MKOA KAGERA UNAUDHALILISHA MKOA SASA NI WAKATI WA KUJIUZURU MARA MOJA.

BUKOBA KAGERA.

Mkoa wa Kagera Jumuiya ya Mkoa wa Vijana (UVCCM) ilipata mwenyekiti mpya ambaye aliingia kwa uchu na matumaini ya kuwasaidia vijana. Lakini baada ya muda mambo yamekuwa tofauti sana kwani Jumuiya imegeuza malengo yake na kujikuta iimekuwa chini na kiongozi wa Hovyo, asiyependa kusikiliza watu, mwenye kujikweza, mwenye kubagua watu, dalali, mlanguzi na mtu wa kutumia jumuiya kwa manufaa yake binafsi na akiwa na tamaa kubwa na uchu wa madaraka.

Ijulikane kuwa UVCCM ni chombo tukufu kilichoundwa kwa lengo la kupika na kuoka viongozi. Lakini kwa hali inayoendelea mkoa Kagera Ni vyema Uongozi wa UVCCM na CCM Taifa unapaswa kuingilia kati mwenendo wa jumuiya mkoani Kagera ili kunusuru hali.

Baada ya malalamiko mengi kutoka maeneo tofauti yafuatayo ni mambo yaliyoainishwa na ni malalamiko yenye ushahidi wa wazi na wa kimaingira toka kwa wanajumuiya Mkoani Kagera ambao wanajuta kuwa na kiongozi wa aina hii kwa ngazi ya mkoa.

1. KUTUMIA MUDA MWINGI KULIPA KISASI DHIDI YA WALE AMBAO HAWAKUMUUNGA MKONO.
Mnamo mwaka 2022 akiwa anagombea uchaguzi wa mkoa kuna watu ambao hawakumuunga mkono kabisa na hii ni kawaida katika uchaguzi wa ndani ya Chama. Lakini baada ya uchaguzi huo wapo watu ambao Mwenyekiti huyo aliapa kwa mdomo wake mbele ya umma kuwa anaapa kwa mdomo wake hawatokaa wafanye siasa katika kipindi cha uongozi wake. Wapo wenyeviti wa wilaya na Makatibu wa Jumuiya wilaya ambao aliapa kutowapa ushirikiano na huku akiwa anaingilia mambo ya ndani ya wilaya kama ambavyo Aliingilia uchaguzi wa kumteua Katibu wa Hamasa Wilaya Muleba akishinikiza Baraza limteue kijana anayeitwa ENODIUS LUSHAGYA ambaye alikuwa mpambe wake wakati wa kutafuta uenyekiti mkoa. Katika kero hii amekuwa akitumia nguvu kubwa kuwagawa viongozi wale ambao hawakumuunga mkono ili mambo yao yasifanikiwe hii imeathiri mwenendo wa utendaji kazi katika jumuiya ngazi za wilaya.

2. KUTUMIA UENYEKITI WA MKOA KUWAHADAA WATIA NIA WA UBUNGE VITI MAALUM UVCCM MWAKA 2025.
Kumekuwa na minongono ya wazi kuwa tangu aingie madarakani amekuwa akitumia cheo hicho kuwaaminisha watu kuwa yeye ndiye atakayeamua nani awe mbunge wa viti maalum wa mkoa Kagera. Aidha upo ushahidi wa wazi kuwa Mbunge mstaafu wa Mkoa Kagera ambaye kwa sasa ni DC KIGAMBONI alimpa gari aina ya Toyota Rumion ambalo analitembelea mpaka sasa pia alipatiwa kiwanja katika wilaya mojawapo za mkoa wa Dar es Salaam ili kuhakikisha Mbunge huyo anakuwa mbunge wa Viti Maalum kwa mkoa Kagera. Jambo hili linaleta ukakasi na mkanganyiko mkubwa kati ya wajumbe wa Baraza kuu la UVCCM mkoa Kagera juu ya weledi na uadilifu wake. Je anakubali kuuza mkoa wa Kagera kwa kuhongwa? Je ni dalali? Je ni mtu ambaye ameamua kusaini mkataba feki wa kuuza mkoa wetu kwa kumleta mtu agombee ubunge bila kusikia vijana wanamtaka nani?

Katika mwenendo huo huo Mwenyekiti huyu aliratibu zoezi la Kuwaondoa wajumbe wawili wa Baraza la Mkoa na wajumbe wa Kamati ya utekelezaji Mkoa Ndugu AZATH SIMBA na EMIRATHA KENTE kwa tuhuma zisizo na ushahidi za kukosa maadili. Ikumbukwe kwamba watajwa hapo juu walionekana wazi kukitaka kiti cha Ubunge wa Viti Maalum mkoa Kagera na akaona njia nyepesi ya kuwaondoa ni kuwafuta nafasi zao kinyume na kanuni.


3. KUTUMIA UENYEKITI WA MKOA ILI KUTAFUTA UBUNGE WA JIMBO LA BUKOBA VIJIJINI.
Katika kero hii kumekuwa na minunguniko mingi toka kwa wananchi ya kuwa Mwenyekiti wa vijana mkoa anatuma vijana wake na washirika wake mtandaoni kumtukana, kumdhihaki, kumshushia heshima Mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini na kubeza kazi nzuri anazofanya kwa wananchi. Katika hatua nyingine amekuwa akijinasibu ya kuwa anaungwa Mkono na watu wengi na atahakikish Mh Rweikiza harudi Bungeni.

Hii inasikitisha sana kwani kiongozi wa chama ni lazma aunge mkono juhudi za Kiongozi wa serikali ili kuhakikisha Ilani inatekelezwa. Kinyume na hapo Mwenyekiti huyu amekuwa akitumia muda mwingi kujitangaza mitandaoni, kusambaza picha na video za matukio anayoenda ili aonekane maarufu wakati hali za uchumi na ustawi wa vijana zikiwa dhoofu na bila msaada wowote.

Ni aibu kubwa sana na fedheha kwani Kitendo hiki kimekuwa kikilalamikiwa sana sio tu ndani ya jumuiya bali hata nje ya jumuiya. Ni vyema mamlaka iliyo juu kumkamnya na kuangalia mwenendo wake ili kunusuru hali.

4. KUPINGANA NA AJENDA YA MH RAIS YA KULETA SIASA ZA USHINDANI ZISIZOKUWA NA CHUKI.
Katika mwendelezo wa kujipendekeza, kujikweza na kuona kama Uenyekiti wa Mkoa ni nafasi ambayo ni ya mtu asiyeguswa; Mwenyekiti huyo aliskika akisema kuwa anao uwezo wa kuwapoteza wapinzani na polisi wasimhoji. Kauli hii ilionesha kuwa ni kijana wa hovyo mpaka Katibu Mkuu Taifa Balozi Nchimbi akakemea kauli hiyo. Katika mwendelezo huo huo watu mbali mbali mashuhuri wamekuwa wakimtaka atoke hadharani aombe wananchi msamaha na kuliomba jeshi la polisi msamaha.

Kitendo cha kusema atawapoteza wapinzani kimeleta mshtuko mkubwa kuwa Je atawapoteza wapinzani wapi? Wapinzani ndani ya CCM, Watu wanaomkosoa atawapoteza? Bado haijaeleweka kuwa nani anamtuma apoteze watu au ni nani yupo nyuma yake anayemwelekeza apoteze watu. Ni Imani kubwa ya kwamba katika mkoa wetu wa Kagera tunao watu wengi wenye weledi ambao hawangeweza kutoa kauli yenye majivuni kama hii.

Ikumbukwe ya kuwa Mh RAIS aeruhusu watu wa vyama vyote wafanye siasa na kitendo cha kusema wapinzani wapotezwe ni kauli iliyojaa kiburi na kauli inayopinga malekezo ya Mh RAIS. Je ni halali kuendelea kuwa na Mwenyekiti wa Jumuiya Mkoa anayepinga maelekezo ya MH RAIS na Mwenyekiti wa Chama Taifa?

Ni vyema uongozi wa Taifa ukajulishwa ya kuwa kuna kiongozi ambaye sio tu atahatarisha usalama wa wanachama bali ni hatari hata kwa wananchi wenye vyama na wasio na vyama ambaye anatumia majukwaa ya kisiasa kujipendekeza na kujikweza ili kupata uteuzi na uungwaji mkono kiholela.

5. KUTUMIA MUDA MWINGI KUFANYA ZIARA ZISIZOKUWA NA MATOKEO ZA KUJITAFUTIA UMAARUFU HUKU KERO ZA VIJANA ZIKIBAKI BILA MAJIBU.
Ni masikitiko ya kuwa Uongozi wa Mkoa Kagera umeacha kujielekeza kwenye masuala ya msingi na kujikuta muda mwingi ukitumika kujenga umaarufu wa Mwenyekiti wa Mkoa huku ukisahau kutatua kero za vijana. Imekuwa ni kawaida kuwa kila tukio linalofanyika imekuwa ikitumika nguvu kubwa kusambaza picha na video mitandaoni na kikundi cha vijana ili kujenga umaarufu wake kuliko kutatua kero za Vijana. Katika maeneo yote na katika ziara zote hakuna mambo ayanayogusa vijana ambayo yameshughulikiwa lakini vijana wanaaminishwa kuwa Mwenyekiti anapiga kazi. Katika mfumo ambao mtu anaamka asubuhi anatengeneza bajeti anaomba mssada kwa viongozi mbali mbali na kuanza kuzunguka kila wilaya; sote tujiulize Je anakuwa hana kazi? Je zinakuwa ni ziara za kikakuni au ni za kujipangia? Je ni mambo ambayo chama kimebariki au ni ajenda binafsi? Katika kujibu maswali haya jibu ni moja ya kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Kagera anatumia muda mwingi kufanya self branding, kujikweza, kutafuta uteuzi na kutumia Vijana wa Kagera kama ngazi jambo ambalo linapaswa likataliwe na kupingwa.
6. KUSHIRIIKI KUMUENGUA MWENYEKITI UVCCM KARAGQE NDUGU ALEX KWA TUHUMA ZA KUSINGIZIWA.
Katika kero hii Mwenyekiti hugu amekuwa akiendeleza kuwaondoa madarakani na kuwafuta nafasi viongozi wa Kata na Wilaya ambao hawakumuunga mkono. Hii ilipelekea kuondolewa Madarakani kwa Mwenyekiti wa UVCCM Karagwe kwa kesi za kutengeneza kwa sababu wakati anagombea upngozi hakumuunga mkono. Hii ni picha halisi ya kuonesha kuwa anao uwezo wa kupoteza watu kabisa na kuwafuta katika ramani za kisiasa. Kero hii imefanya wilaya ya Karagwe kwa zaidi ya mwaka mzima haina Mwenyekiti wa Vijana wilaya hali inayoathiri utendaji kazi wa Jumuiya Wilayan hapo.

Mpaka sasa vijana wote wa CCM Mkoa Kagera wamepoteza tumaini kwa kuendelea kuwa na kiongozi huyu.
Hivyo basi ni vyema Vijana wote Mkoa Kagera kupaza sauti, kupinga udalali na ujanja ujanja wa kiongozi huyu ili kunusuru hali ili taswira ya Mkoa wa Kagera kurudi kuliko kuendelea kuaibika na kudhalilika kwa sababu ya mtu mmoja.

Waraka huu unahitaji watu 500 kutoka kwa vijana wa UVCCM ili kushinikiza Ndugu Farsis Burhani Kujiuzulu
JINA SEHEMU ATOKAPO NAMBA YA SIMU
OMARY RWAKABWA KIBIMBA - NGARA 0768900898
ACTON ISHENGOMA NYAKATO – BUKOBA VIJIJINI 0765234566
RAIMOND BWAHAMA KARAMBI - MULEBA 0656091020
ANITHA RADISLAUS BUJUGO – UVCCM 0673299299
ASHIRU BASHIRU KISHANDA - MULEBA 0764678889
ALISIA RWEKENGA IKONDO - MULEBA 0742646958
EDSON SHANI NTOBEYE - NGARA 0625914177
FAUSTIN KEZAKI KEZA - NGARA 0621814391
FRAISKA NICOLAUS KANSHENYE - MISSENYI 0657412780
GULATON BRYSON NYAKAHURA - BIHARAMULO 0682657380
ASHURA JUMANNE KABANGA =- NGARA 0746399303
OBADIA NGAGERA KITOBO - BUKOBA 0765100299
JUMA AHMAED KISHANDA - MULEBA 0765464000
ASEDI MUKULASI IZIGO - MULEBA 0756499400
JOHN MARIKO IZIMBYA 0788900900
ABDALLAH OMARI KATORO - 0765455432
RUKIA AMIDU KATORO
ABDULKARIM KIKORE KATORO
FLORA TITUS KARORO
ASTRIDA ANTHONY MULEBA 0754075417
JAKSON ALISTIDES MURONGO 0678781879
ABDULAUF KATO KYAIKOTE 0623425929
AFIZ SHAMSA KAYANGA 0746546358
ALBINA BRUNO MUSHABAGO 0627440733
BARBANAS STANLEY KEZA 0763899899
PONSIAN MATAYO BUJUGO 0745536663
PENDO KAJUNA BUGANDIKA
Uaneni tu, kenge nyie.
 
MWENYEKITI WA UVCCM MKOA KAGERA UNAUDHALILISHA MKOA SASA NI WAKATI WA KUJIUZURU MARA MOJA.

BUKOBA KAGERA.

Mkoa wa Kagera Jumuiya ya Mkoa wa Vijana (UVCCM) ilipata mwenyekiti mpya ambaye aliingia kwa uchu na matumaini ya kuwasaidia vijana. Lakini baada ya muda mambo yamekuwa tofauti sana kwani Jumuiya imegeuza malengo yake na kujikuta iimekuwa chini na kiongozi wa Hovyo, asiyependa kusikiliza watu, mwenye kujikweza, mwenye kubagua watu, dalali, mlanguzi na mtu wa kutumia jumuiya kwa manufaa yake binafsi na akiwa na tamaa kubwa na uchu wa madaraka.

Ijulikane kuwa UVCCM ni chombo tukufu kilichoundwa kwa lengo la kupika na kuoka viongozi. Lakini kwa hali inayoendelea mkoa Kagera Ni vyema Uongozi wa UVCCM na CCM Taifa unapaswa kuingilia kati mwenendo wa jumuiya mkoani Kagera ili kunusuru hali.

Baada ya malalamiko mengi kutoka maeneo tofauti yafuatayo ni mambo yaliyoainishwa na ni malalamiko yenye ushahidi wa wazi na wa kimaingira toka kwa wanajumuiya Mkoani Kagera ambao wanajuta kuwa na kiongozi wa aina hii kwa ngazi ya mkoa.

1. KUTUMIA MUDA MWINGI KULIPA KISASI DHIDI YA WALE AMBAO HAWAKUMUUNGA MKONO.
Mnamo mwaka 2022 akiwa anagombea uchaguzi wa mkoa kuna watu ambao hawakumuunga mkono kabisa na hii ni kawaida katika uchaguzi wa ndani ya Chama. Lakini baada ya uchaguzi huo wapo watu ambao Mwenyekiti huyo aliapa kwa mdomo wake mbele ya umma kuwa anaapa kwa mdomo wake hawatokaa wafanye siasa katika kipindi cha uongozi wake. Wapo wenyeviti wa wilaya na Makatibu wa Jumuiya wilaya ambao aliapa kutowapa ushirikiano na huku akiwa anaingilia mambo ya ndani ya wilaya kama ambavyo Aliingilia uchaguzi wa kumteua Katibu wa Hamasa Wilaya Muleba akishinikiza Baraza limteue kijana anayeitwa ENODIUS LUSHAGYA ambaye alikuwa mpambe wake wakati wa kutafuta uenyekiti mkoa. Katika kero hii amekuwa akitumia nguvu kubwa kuwagawa viongozi wale ambao hawakumuunga mkono ili mambo yao yasifanikiwe hii imeathiri mwenendo wa utendaji kazi katika jumuiya ngazi za wilaya.

2. KUTUMIA UENYEKITI WA MKOA KUWAHADAA WATIA NIA WA UBUNGE VITI MAALUM UVCCM MWAKA 2025.
Kumekuwa na minongono ya wazi kuwa tangu aingie madarakani amekuwa akitumia cheo hicho kuwaaminisha watu kuwa yeye ndiye atakayeamua nani awe mbunge wa viti maalum wa mkoa Kagera. Aidha upo ushahidi wa wazi kuwa Mbunge mstaafu wa Mkoa Kagera ambaye kwa sasa ni DC KIGAMBONI alimpa gari aina ya Toyota Rumion ambalo analitembelea mpaka sasa pia alipatiwa kiwanja katika wilaya mojawapo za mkoa wa Dar es Salaam ili kuhakikisha Mbunge huyo anakuwa mbunge wa Viti Maalum kwa mkoa Kagera. Jambo hili linaleta ukakasi na mkanganyiko mkubwa kati ya wajumbe wa Baraza kuu la UVCCM mkoa Kagera juu ya weledi na uadilifu wake. Je anakubali kuuza mkoa wa Kagera kwa kuhongwa? Je ni dalali? Je ni mtu ambaye ameamua kusaini mkataba feki wa kuuza mkoa wetu kwa kumleta mtu agombee ubunge bila kusikia vijana wanamtaka nani?

Katika mwenendo huo huo Mwenyekiti huyu aliratibu zoezi la Kuwaondoa wajumbe wawili wa Baraza la Mkoa na wajumbe wa Kamati ya utekelezaji Mkoa Ndugu AZATH SIMBA na EMIRATHA KENTE kwa tuhuma zisizo na ushahidi za kukosa maadili. Ikumbukwe kwamba watajwa hapo juu walionekana wazi kukitaka kiti cha Ubunge wa Viti Maalum mkoa Kagera na akaona njia nyepesi ya kuwaondoa ni kuwafuta nafasi zao kinyume na kanuni.


3. KUTUMIA UENYEKITI WA MKOA ILI KUTAFUTA UBUNGE WA JIMBO LA BUKOBA VIJIJINI.
Katika kero hii kumekuwa na minunguniko mingi toka kwa wananchi ya kuwa Mwenyekiti wa vijana mkoa anatuma vijana wake na washirika wake mtandaoni kumtukana, kumdhihaki, kumshushia heshima Mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini na kubeza kazi nzuri anazofanya kwa wananchi. Katika hatua nyingine amekuwa akijinasibu ya kuwa anaungwa Mkono na watu wengi na atahakikish Mh Rweikiza harudi Bungeni.

Hii inasikitisha sana kwani kiongozi wa chama ni lazma aunge mkono juhudi za Kiongozi wa serikali ili kuhakikisha Ilani inatekelezwa. Kinyume na hapo Mwenyekiti huyu amekuwa akitumia muda mwingi kujitangaza mitandaoni, kusambaza picha na video za matukio anayoenda ili aonekane maarufu wakati hali za uchumi na ustawi wa vijana zikiwa dhoofu na bila msaada wowote.

Ni aibu kubwa sana na fedheha kwani Kitendo hiki kimekuwa kikilalamikiwa sana sio tu ndani ya jumuiya bali hata nje ya jumuiya. Ni vyema mamlaka iliyo juu kumkamnya na kuangalia mwenendo wake ili kunusuru hali.

4. KUPINGANA NA AJENDA YA MH RAIS YA KULETA SIASA ZA USHINDANI ZISIZOKUWA NA CHUKI.
Katika mwendelezo wa kujipendekeza, kujikweza na kuona kama Uenyekiti wa Mkoa ni nafasi ambayo ni ya mtu asiyeguswa; Mwenyekiti huyo aliskika akisema kuwa anao uwezo wa kuwapoteza wapinzani na polisi wasimhoji. Kauli hii ilionesha kuwa ni kijana wa hovyo mpaka Katibu Mkuu Taifa Balozi Nchimbi akakemea kauli hiyo. Katika mwendelezo huo huo watu mbali mbali mashuhuri wamekuwa wakimtaka atoke hadharani aombe wananchi msamaha na kuliomba jeshi la polisi msamaha.

Kitendo cha kusema atawapoteza wapinzani kimeleta mshtuko mkubwa kuwa Je atawapoteza wapinzani wapi? Wapinzani ndani ya CCM, Watu wanaomkosoa atawapoteza? Bado haijaeleweka kuwa nani anamtuma apoteze watu au ni nani yupo nyuma yake anayemwelekeza apoteze watu. Ni Imani kubwa ya kwamba katika mkoa wetu wa Kagera tunao watu wengi wenye weledi ambao hawangeweza kutoa kauli yenye majivuni kama hii.

Ikumbukwe ya kuwa Mh RAIS aeruhusu watu wa vyama vyote wafanye siasa na kitendo cha kusema wapinzani wapotezwe ni kauli iliyojaa kiburi na kauli inayopinga malekezo ya Mh RAIS. Je ni halali kuendelea kuwa na Mwenyekiti wa Jumuiya Mkoa anayepinga maelekezo ya MH RAIS na Mwenyekiti wa Chama Taifa?

Ni vyema uongozi wa Taifa ukajulishwa ya kuwa kuna kiongozi ambaye sio tu atahatarisha usalama wa wanachama bali ni hatari hata kwa wananchi wenye vyama na wasio na vyama ambaye anatumia majukwaa ya kisiasa kujipendekeza na kujikweza ili kupata uteuzi na uungwaji mkono kiholela.

5. KUTUMIA MUDA MWINGI KUFANYA ZIARA ZISIZOKUWA NA MATOKEO ZA KUJITAFUTIA UMAARUFU HUKU KERO ZA VIJANA ZIKIBAKI BILA MAJIBU.
Ni masikitiko ya kuwa Uongozi wa Mkoa Kagera umeacha kujielekeza kwenye masuala ya msingi na kujikuta muda mwingi ukitumika kujenga umaarufu wa Mwenyekiti wa Mkoa huku ukisahau kutatua kero za vijana. Imekuwa ni kawaida kuwa kila tukio linalofanyika imekuwa ikitumika nguvu kubwa kusambaza picha na video mitandaoni na kikundi cha vijana ili kujenga umaarufu wake kuliko kutatua kero za Vijana. Katika maeneo yote na katika ziara zote hakuna mambo ayanayogusa vijana ambayo yameshughulikiwa lakini vijana wanaaminishwa kuwa Mwenyekiti anapiga kazi. Katika mfumo ambao mtu anaamka asubuhi anatengeneza bajeti anaomba mssada kwa viongozi mbali mbali na kuanza kuzunguka kila wilaya; sote tujiulize Je anakuwa hana kazi? Je zinakuwa ni ziara za kikakuni au ni za kujipangia? Je ni mambo ambayo chama kimebariki au ni ajenda binafsi? Katika kujibu maswali haya jibu ni moja ya kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Kagera anatumia muda mwingi kufanya self branding, kujikweza, kutafuta uteuzi na kutumia Vijana wa Kagera kama ngazi jambo ambalo linapaswa likataliwe na kupingwa.
6. KUSHIRIIKI KUMUENGUA MWENYEKITI UVCCM KARAGQE NDUGU ALEX KWA TUHUMA ZA KUSINGIZIWA.
Katika kero hii Mwenyekiti hugu amekuwa akiendeleza kuwaondoa madarakani na kuwafuta nafasi viongozi wa Kata na Wilaya ambao hawakumuunga mkono. Hii ilipelekea kuondolewa Madarakani kwa Mwenyekiti wa UVCCM Karagwe kwa kesi za kutengeneza kwa sababu wakati anagombea upngozi hakumuunga mkono. Hii ni picha halisi ya kuonesha kuwa anao uwezo wa kupoteza watu kabisa na kuwafuta katika ramani za kisiasa. Kero hii imefanya wilaya ya Karagwe kwa zaidi ya mwaka mzima haina Mwenyekiti wa Vijana wilaya hali inayoathiri utendaji kazi wa Jumuiya Wilayan hapo.

Mpaka sasa vijana wote wa CCM Mkoa Kagera wamepoteza tumaini kwa kuendelea kuwa na kiongozi huyu.
Hivyo basi ni vyema Vijana wote Mkoa Kagera kupaza sauti, kupinga udalali na ujanja ujanja wa kiongozi huyu ili kunusuru hali ili taswira ya Mkoa wa Kagera kurudi kuliko kuendelea kuaibika na kudhalilika kwa sababu ya mtu mmoja.

Waraka huu unahitaji watu 500 kutoka kwa vijana wa UVCCM ili kushinikiza Ndugu Farsis Burhani Kujiuzulu
JINA SEHEMU ATOKAPO NAMBA YA SIMU
OMARY RWAKABWA KIBIMBA - NGARA 0768900898
ACTON ISHENGOMA NYAKATO – BUKOBA VIJIJINI 0765234566
RAIMOND BWAHAMA KARAMBI - MULEBA 0656091020
ANITHA RADISLAUS BUJUGO – UVCCM 0673299299
ASHIRU BASHIRU KISHANDA - MULEBA 0764678889
ALISIA RWEKENGA IKONDO - MULEBA 0742646958
EDSON SHANI NTOBEYE - NGARA 0625914177
FAUSTIN KEZAKI KEZA - NGARA 0621814391
FRAISKA NICOLAUS KANSHENYE - MISSENYI 0657412780
GULATON BRYSON NYAKAHURA - BIHARAMULO 0682657380
ASHURA JUMANNE KABANGA =- NGARA 0746399303
OBADIA NGAGERA KITOBO - BUKOBA 0765100299
JUMA AHMAED KISHANDA - MULEBA 0765464000
ASEDI MUKULASI IZIGO - MULEBA 0756499400
JOHN MARIKO IZIMBYA 0788900900
ABDALLAH OMARI KATORO - 0765455432
RUKIA AMIDU KATORO
ABDULKARIM KIKORE KATORO
FLORA TITUS KARORO
ASTRIDA ANTHONY MULEBA 0754075417
JAKSON ALISTIDES MURONGO 0678781879
ABDULAUF KATO KYAIKOTE 0623425929
AFIZ SHAMSA KAYANGA 0746546358
ALBINA BRUNO MUSHABAGO 0627440733
BARBANAS STANLEY KEZA 0763899899
PONSIAN MATAYO BUJUGO 0745536663
PENDO KAJUNA BUGANDIKA
nyinyi wahaya ni watu wenye ubinafsi sana
 
Back
Top Bottom