Mambo moto huko mtifuano bado unaendelea

juma kipala

Member
Oct 13, 2014
16
10
Siri Yafichuka Ndani Ya Equity Bank, Mmiliki Wa Gazeti La Jamvi La Habari Alipewa Tender Na Swahiba Wake Zenda

Baada ya mgao kuzulumiana wameanza kutajana njama chafu za Equity Bank walipogawa Tender kwa aliyewahi kuwa Katibu Tawala Daniel ZENDA aliyetimuliwa kwa Utapeli, ulevi na Wizi, Daniel ZENDA naye alipewa na Dada yake wa Damu, Story ya Dada yake itakuja soon, Hivyo Daniel ZENDA alimpa tender Mmiliki wa Gazeti la Jamvi la Habari Ndugu Habibu Mchange, Kumbe Kelele zoote za Mmiliki wa Gazeti la Jamvi la Habari Ni Hongo ya Pesa kutaka kuondoa haki ya Kesi za wafanyabiashara wa Tanzania dhidi ya Uzulumaji wa EQUITY BANK zilizoko Mahakamani.

Hata timbwili la kufukuzwa Hotelini Zanzibar Baada ya kuvamia kimakosa litawaijia Soon.

James Mwangi Group Chairman ametoa 2 Bilion kuwahonga majaji ili awashughulikie wafanyabiashara nchini Tanzania.
Picha za Mipango Yao wakiwa na madalali wa mpango Huo tunazo, mpango Huo Ambao kila mmoja na Gharama alizopewa tutaweka wazi, mfano Maulid Kitenge alipewa USD 7,800 Sawa na Milioni 20.

Tutawaletea namna Wakili Stivin (Stephen) B&E AKO LAW FIRM uhusika wake, Ndugu Ally Merere wa EQUITY BANK TANZANIA LTD Dar es salaam Headquarter, na Dada Isabella.
Mkakati wa Gazeti la Jamvi la Habari ilikuwa Ni kuconnect dot ya Mikopo Chechefu dhidi ya Mikopo ya nje ya wafanyabiashara wa Tanzania ambao kwa Makusudi Kabisa EQUITY BANK Kenya Inataka kuzulumu Assets zao, ambazo wanazitetea Mahakamani kutokana na kuzulumiwa mikopo ya Utapeli na Equity Bank.
Mikopo yenye Hiyo ya nje ambayo inatajwa haijawahi ingia nchini, Wala wafanyabiashara wa Tanzania hawajahi kuzipata, Kijana Mchange akajidai kudanganya UMMA kuwa Ni Mzalendo Kumbe Tapeli Kama Matapeli wengine kwa Tamaa ya pesa.
 
Siri Yafichuka Ndani Ya Equity Bank, Mmiliki Wa Gazeti La Jamvi La Habari Alipewa Tender Na Swahiba Wake Zenda

Baada ya mgao kuzulumiana wameanza kutajana njama chafu za Equity Bank walipogawa Tender kwa aliyewahi kuwa Katibu Tawala Daniel ZENDA aliyetimuliwa kwa Utapeli, ulevi na Wizi, Daniel ZENDA naye alipewa na Dada yake wa Damu, Story ya Dada yake itakuja soon, Hivyo Daniel ZENDA alimpa tender Mmiliki wa Gazeti la Jamvi la Habari Ndugu Habibu Mchange, Kumbe Kelele zoote za Mmiliki wa Gazeti la Jamvi la Habari Ni Hongo ya Pesa kutaka kuondoa haki ya Kesi za wafanyabiashara wa Tanzania dhidi ya Uzulumaji wa EQUITY BANK zilizoko Mahakamani.

Hata timbwili la kufukuzwa Hotelini Zanzibar Baada ya kuvamia kimakosa litawaijia Soon.

James Mwangi Group Chairman ametoa 2 Bilion kuwahonga majaji ili awashughulikie wafanyabiashara nchini Tanzania.
Picha za Mipango Yao wakiwa na madalali wa mpango Huo tunazo, mpango Huo Ambao kila mmoja na Gharama alizopewa tutaweka wazi, mfano Maulid Kitenge alipewa USD 7,800 Sawa na Milioni 20.

Tutawaletea namna Wakili Stivin (Stephen) B&E AKO LAW FIRM uhusika wake, Ndugu Ally Merere wa EQUITY BANK TANZANIA LTD Dar es salaam Headquarter, na Dada Isabella.
Mkakati wa Gazeti la Jamvi la Habari ilikuwa Ni kuconnect dot ya Mikopo Chechefu dhidi ya Mikopo ya nje ya wafanyabiashara wa Tanzania ambao kwa Makusudi Kabisa EQUITY BANK Kenya Inataka kuzulumu Assets zao, ambazo wanazitetea Mahakamani kutokana na kuzulumiwa mikopo ya Utapeli na Equity Bank.
Mikopo yenye Hiyo ya nje ambayo inatajwa haijawahi ingia nchini, Wala wafanyabiashara wa Tanzania hawajahi kuzipata, Kijana Mchange akajidai kudanganya UMMA kuwa Ni Mzalendo Kumbe Tapeli Kama Matapeli wengine kwa Tamaa ya pesa.
Maelezo yako yameanzia juu na kuishia juu. Ungeandika vizuri ili watu waelewe ni mgogoro gani, unahusu nini na Njama zimefanyikaje. Naona huenda kuna ukweli kwani majina unayotaja ni wapigaji.
 
Imenishangaza kidogo. Alikua na haraka gani y kukimbilia humu.
Mwandishi ameeleweka sana kama wewe ni mfuatiliaji wa hili suala. Hivi majuzi Gazeti la Jamvi la Habari lilichapisha namna ambavyo Wafanyabiashara wakubwa wanatumia Mahakama kuchukua mikopo na kukwepa kuilipa akiiita kama MIKOPO CHEFU CHEFU HUKO BENKI.

Backside mleta story now, kaja na mada kwamba mwandishi amehongwa ili kuwatetea mabenki na kuna namna inasukwa ili Wafanyabiashara waonekane matapeli ili dhamana zao/Asset ziporwe na mabenki.
Someni kwa kutulia lkn mtumie kumbukumbu vzuri kwenye kuunganisha dots.

Maulid Kitenge hilo gazeti alisoma kwa kurudia hiyo habari siku 3 kuuumbe kala 20M.
 
Siri Yafichuka Ndani Ya Equity Bank, Mmiliki Wa Gazeti La Jamvi La Habari Alipewa Tender Na Swahiba Wake Zenda

Baada ya mgao kuzulumiana wameanza kutajana njama chafu za Equity Bank walipogawa Tender kwa aliyewahi kuwa Katibu Tawala Daniel ZENDA aliyetimuliwa kwa Utapeli, ulevi na Wizi, Daniel ZENDA naye alipewa na Dada yake wa Damu, Story ya Dada yake itakuja soon, Hivyo Daniel ZENDA alimpa tender Mmiliki wa Gazeti la Jamvi la Habari Ndugu Habibu Mchange, Kumbe Kelele zoote za Mmiliki wa Gazeti la Jamvi la Habari Ni Hongo ya Pesa kutaka kuondoa haki ya Kesi za wafanyabiashara wa Tanzania dhidi ya Uzulumaji wa EQUITY BANK zilizoko Mahakamani.

Hata timbwili la kufukuzwa Hotelini Zanzibar Baada ya kuvamia kimakosa litawaijia Soon.

James Mwangi Group Chairman ametoa 2 Bilion kuwahonga majaji ili awashughulikie wafanyabiashara nchini Tanzania.
Picha za Mipango Yao wakiwa na madalali wa mpango Huo tunazo, mpango Huo Ambao kila mmoja na Gharama alizopewa tutaweka wazi, mfano Maulid Kitenge alipewa USD 7,800 Sawa na Milioni 20.

Tutawaletea namna Wakili Stivin (Stephen) B&E AKO LAW FIRM uhusika wake, Ndugu Ally Merere wa EQUITY BANK TANZANIA LTD Dar es salaam Headquarter, na Dada Isabella.
Mkakati wa Gazeti la Jamvi la Habari ilikuwa Ni kuconnect dot ya Mikopo Chechefu dhidi ya Mikopo ya nje ya wafanyabiashara wa Tanzania ambao kwa Makusudi Kabisa EQUITY BANK Kenya Inataka kuzulumu Assets zao, ambazo wanazitetea Mahakamani kutokana na kuzulumiwa mikopo ya Utapeli na Equity Bank.
Mikopo yenye Hiyo ya nje ambayo inatajwa haijawahi ingia nchini, Wala wafanyabiashara wa Tanzania hawajahi kuzipata, Kijana Mchange akajidai kudanganya UMMA kuwa Ni Mzalendo Kumbe Tapeli Kama Matapeli wengine kwa Tamaa ya pesa.
Kunywa kwanza maji uheme,kisha utuandikie vizuri.
 
Mwandishi ameeleweka sana kama wewe ni mfuatiliaji wa hili suala. Hivi majuzi Gazeti la Jamvi la Habari lilichapisha namna ambavyo Wafanyabiashara wakubwa wanatumia Mahakama kuchukua mikopo na kukwepa kuilipa akiiita kama MIKOPO CHEFU CHEFU HUKO BENKI.

Backside mleta story now, kaja na mada kwamba mwandishi amehongwa ili kuwatetea mabenki na kuna namna inasukwa ili Wafanyabiashara waonekane matapeli ili dhamana zao/Asset ziporwe na mabenki.
Someni kwa kutulia lkn mtumie kumbukumbu vzuri kwenye kuunganisha dots.

Maulid Kitenge hilo gazeti alisoma kwa kurudia hiyo habari siku 3 kuuumbe kala 20M.
Huyu jamaa inaonyesha ni corrupt mpaka basi. Ni wale watu wanaoishi kwa ujanja ujanja bila kufanya kazi.
 
Mwandishi ameeleweka sana kama wewe ni mfuatiliaji wa hili suala. Hivi majuzi Gazeti la Jamvi la Habari lilichapisha namna ambavyo Wafanyabiashara wakubwa wanatumia Mahakama kuchukua mikopo na kukwepa kuilipa akiiita kama MIKOPO CHEFU CHEFU HUKO BENKI.

Backside mleta story now, kaja na mada kwamba mwandishi amehongwa ili kuwatetea mabenki na kuna namna inasukwa ili Wafanyabiashara waonekane matapeli ili dhamana zao/Asset ziporwe na mabenki.
Someni kwa kutulia lkn mtumie kumbukumbu vzuri kwenye kuunganisha dots.

Maulid Kitenge hilo gazeti alisoma kwa kurudia hiyo habari siku 3 kuuumbe kala 20M.
Ila dah inachekesha sana, pesa ina hatari sana japo nzuri bwana Maulid anazichanga tu
 
Siri Yafichuka Ndani Ya Equity Bank, Mmiliki Wa Gazeti La Jamvi La Habari Alipewa Tender Na Swahiba Wake Zenda

Baada ya mgao kuzulumiana wameanza kutajana njama chafu za Equity Bank walipogawa Tender kwa aliyewahi kuwa Katibu Tawala Daniel ZENDA aliyetimuliwa kwa Utapeli, ulevi na Wizi, Daniel ZENDA naye alipewa na Dada yake wa Damu, Story ya Dada yake itakuja soon, Hivyo Daniel ZENDA alimpa tender Mmiliki wa Gazeti la Jamvi la Habari Ndugu Habibu Mchange, Kumbe Kelele zoote za Mmiliki wa Gazeti la Jamvi la Habari Ni Hongo ya Pesa kutaka kuondoa haki ya Kesi za wafanyabiashara wa Tanzania dhidi ya Uzulumaji wa EQUITY BANK zilizoko Mahakamani.

Hata timbwili la kufukuzwa Hotelini Zanzibar Baada ya kuvamia kimakosa litawaijia Soon.

James Mwangi Group Chairman ametoa 2 Bilion kuwahonga majaji ili awashughulikie wafanyabiashara nchini Tanzania.
Picha za Mipango Yao wakiwa na madalali wa mpango Huo tunazo, mpango Huo Ambao kila mmoja na Gharama alizopewa tutaweka wazi, mfano Maulid Kitenge alipewa USD 7,800 Sawa na Milioni 20.

Tutawaletea namna Wakili Stivin (Stephen) B&E AKO LAW FIRM uhusika wake, Ndugu Ally Merere wa EQUITY BANK TANZANIA LTD Dar es salaam Headquarter, na Dada Isabella.
Mkakati wa Gazeti la Jamvi la Habari ilikuwa Ni kuconnect dot ya Mikopo Chechefu dhidi ya Mikopo ya nje ya wafanyabiashara wa Tanzania ambao kwa Makusudi Kabisa EQUITY BANK Kenya Inataka kuzulumu Assets zao, ambazo wanazitetea Mahakamani kutokana na kuzulumiwa mikopo ya Utapeli na Equity Bank.
Mikopo yenye Hiyo ya nje ambayo inatajwa haijawahi ingia nchini, Wala wafanyabiashara wa Tanzania hawajahi kuzipata, Kijana Mchange akajidai kudanganya UMMA kuwa Ni Mzalendo Kumbe Tapeli Kama Matapeli wengine kwa Tamaa ya pesa.
Mada mhimu sana hii; lakini umeifanya kuwa ngumu sana kuisoma na kuielewa.
Nadhani ungetulia kidogo na kuiwasilisha kwa utulivu, inge eleweka vizuri zaidi.
 
A sinking ship...

Wenye vibunda huko kaeni radar..huko kwa tayari wako kwenye mstari mwekundu. Ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom