Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,518
- 34,322
Rais ni wa watanzania Mgombea ni wa chama chenu.Kwani ulishasikia kuwa nchi haina Rais ?
Ukitaka kujua hayo ni mambo ya chama chenu na wala hayahusiani na Urais alionao, mbona haendi CHADEMA kuchukua fomu ya kugombea Urais???
Tenga mbali urais wa nchi yetu na chama chenu.