ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,894
- 51,680
Wakati Bunge la JMT linaendelea na kujadili Bajeti ya TAMISEMI,Mbunge wa Tarime Mwita Waitara amemwagia sifa Rais Samia Kwa kumwaga mabilioni ya miradi kwenye Majimbo na sekta zote alitaja kwamba haijawahi tokea.
Mbunge Waitara amesema Rais Samia anasemwa sana Kwa sababu ya kuacha alama kubwa na kupafomu Nje ya matarajio hivyo lazima asemwe na lazima wamsemee mazuri na mabaya.
My Take
Naunga mkono hoja,Samia Anatosha na twende na Hashtag ya Nasimama na Samia aliyoanzisha Nape Mnauye na kupigwa chapuo na Hamis Kigwangala.
View: https://www.instagram.com/p/C55jAfbtdeC/?igsh=cXl2OHJoZHZjeGN2
Mbunge Waitara amesema Rais Samia anasemwa sana Kwa sababu ya kuacha alama kubwa na kupafomu Nje ya matarajio hivyo lazima asemwe na lazima wamsemee mazuri na mabaya.
My Take
Naunga mkono hoja,Samia Anatosha na twende na Hashtag ya Nasimama na Samia aliyoanzisha Nape Mnauye na kupigwa chapuo na Hamis Kigwangala.
View: https://www.instagram.com/p/C55jAfbtdeC/?igsh=cXl2OHJoZHZjeGN2