Maisha ni mafupi ila vijana tujitahidi kutunza pesa

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
2,233
4,740
Vijana tujitahidi kutunza pesa kuna magonjwa,Kuna ajali Kuna uzee vijana wanatembea na msemo wao wanaosema kuwa wanaokula ujana maisha ni mafupi ukiwakuta huko sehemu za starehe wanakunywa pombe kifo sio jambo rahisi hivyo kuondoka duniani hiyo yote watu hawapati muda wakutembelea wagonjwa hospital kama ukipatwa na magonjwa Kuna magonjwa yanaweza kukutesa mpaka mwaka mzima upo kitandani ndio kifo kinakuchukua hivyo ni vyema tunavyoishi tuwe na utaratibu wa kuweka akiba Kuna wagonjwa hawawezi kabisa kutembea basi ni mtu wa kitandani hivyo inabidi upate watu wakukutawaza wakati wote yanatafakarisha sana kila nikiona wagonjwa Hawa hapa ndio inapofika hatua ndugu wanavutana mbaya zaidi mgonjwa akiwa masikini pesa muda wote zinahitajika mtu yupo kitandani miezi sita
 
Kimsingi, kimsingi KODI unayolipa inapaswa kukuhakikishia usalama na utulivu wa maisha yako ya mbele!

Sasa kodi unalipa, mfuko wa jamii unachangia, tozo unatoa, zaka na sadaka unatoa n.k, ila wasiwasi wa kesho yako uko pale pale.

Sisiemu na Wanasiasa, Wabadhirifu, Mijizi na Mipigaji, wao wanajilimbikizia huku wakila bata; wanachota haki yako kuitumia na kujistarehesha na kisha wataitumia kujiganga HUKU wakikutukana kuwa wewe ni;
  • Mvivu
  • Huoni fursa
  • Sio risk taker
  • Unategemea mshahara tu
  • Unadhani serikali itakusaidia, amka upambane

Ishi leo mzee, maisha ya wengine ni kama unavyotazama movie au tamthilia za akina bongo movie.
 
Vijana tujitahidi kutunza pesa kuna magonjwa,Kuna ajali Kuna uzee vijana wanatembea na msemo wao wanaosema kuwa wanaokula ujana maisha ni mafupi ukiwakuta huko sehemu za starehe wanakunywa pombe kifo sio jambo rahisi hivyo kuondoka duniani hiyo yote watu hawapati muda wakutembelea wagonjwa hospital kama ukipatwa na magonjwa Kuna magonjwa yanaweza kukutesa mpaka mwaka mzima upo kitandani ndio kifo kinakuchukua hivyo ni vyema tunavyoishi tuwe na utaratibu wa kuweka akiba Kuna wagonjwa hawawezi kabisa kutembea basi ni mtu wa kitandani hivyo inabidi upate watu wakukutawaza wakati wote yanatafakarisha sana kila nikiona wagonjwa Hawa hapa ndio inapofika hatua ndugu wanavutana mbaya zaidi mgonjwa akiwa masikini pesa muda wote zinahitajika mtu yupo kitandani miezi sita
Sawa mzee wa gulio😇
 
Vijana tujitahidi kutunza pesa kuna magonjwa,Kuna ajali Kuna uzee vijana wanatembea na msemo wao wanaosema kuwa wanaokula ujana maisha ni mafupi ukiwakuta huko sehemu za starehe wanakunywa pombe kifo sio jambo rahisi hivyo kuondoka duniani hiyo yote watu hawapati muda wakutembelea wagonjwa hospital kama ukipatwa na magonjwa Kuna magonjwa yanaweza kukutesa mpaka mwaka mzima upo kitandani ndio kifo kinakuchukua hivyo ni vyema tunavyoishi tuwe na utaratibu wa kuweka akiba Kuna wagonjwa hawawezi kabisa kutembea basi ni mtu wa kitandani hivyo inabidi upate watu wakukutawaza wakati wote yanatafakarisha sana kila nikiona wagonjwa Hawa hapa ndio inapofika hatua ndugu wanavutana mbaya zaidi mgonjwa akiwa masikini pesa muda wote zinahitajika mtu yupo kitandani miezi sita
kama maisha ni mafupi na tunza pesa za nini
 
kama maisha ni mafupi na tunza pesa za nini
Inaonekana haujawahi kuuguza wagonjwa Iko hivi ukiwa mgonjwa na pesa hauna unaondoka duniani kwa mateso sana homa ya mgonjwa inavyozidi inahitaji treatment nyingine ambapo pesa inahitajika
 
Back
Top Bottom