Magari ya Wanafunzi (SCHOOL BUS) yamekuwa na udereva mbovu na uvunjaji wa Sheria

Makamura

JF-Expert Member
May 19, 2022
360
557
Hizi gari madereva wanajiona kama Viwete Kuwa wanahitaji Special Care, mara kadhaa nimeshuhudia Gari la shule likivuka taa za barabarani bila hata kuchukua tahadhar na ilikuwa inawaka Red.

Madareva wamekuwa rafu sana wa wanafunzi hawa wadogo, magari yanakimbizwa mnoo, hawachukui tahadhari, na pia nadhan wamiliki wanachangia huenda wanawapush kuwah shuke hivyo dereva anakuwa hana jinsi bali kukimbia kama bodaboda

Picha hapa Chini, yan huyu anaona kuna muinuko na kuna magari mbele yeye ana overtake bila hata kujali na pembeni ni Lori, na mtari hauruhusu ku Overtake, hizo dash ni kuruhusu gari kuingia upande wa kushoto kuna njia inachepuka
IMG_20240412_182625_150.jpg
 
Mkuu umeniwahi nilitaka Kuandika kitu Kama hiki Hawa jamaaa huwa hawajali kabisa na Kuna baadhi za shule Magali Yao ni mabovu mabovu aise ukiongozana nae kuwa makini sana
 
Ukifuatilia kwa makini utagundua kuwa, madereva wanaosababisha ajali kwa asilimia takribani 96% wanazo leseni stahiki za kuendesha vyombo husika kwa hiyo visababisha ajali kwa kiasi kikubwa vipo nje ya leseni.

Nafikiri tunatakiwa tuangalie upya vigezo vya kupata Leseni ya Daraja C vihusishe mtu mwenye Ufaulu wa Elimu ya kawaida ya darasani ILI kuwa na hakika kuwa, barabarani tunao watu wanaoweza kufundishika/kuonyeka.

Huu utaratibu wa sasa ambao unamwezesha yeyote anayejua kusoma na kuandika kupata Daraja C naona umeshapitwa na wakati...
 
Ukifuatilia kwa makini utagundua kuwa, madereva wanaosababisha ajali kwa asilimia takribani 96% wanazo leseni stahiki za kuendesha vyombo husika kwa hiyo visababisha ajali kwa kiasi kikubwa vipo nje ya leseni...
Maoni yako ni sahihi.Naunga mkono.Nina hakika mtu aliyepitia shule kwa kiwango cha O.level kwenda mbele mpaka chuo,anaweza,kufundishikika, kwa vile alishapitia mafunzo ya kishule mda mrefu kuliko wa darasa la saba au anayejua kusoma na kuandika tu.
 
Ukifuatilia kwa makini utagundua kuwa, madereva wanaosababisha ajali kwa asilimia takribani 96% wanazo leseni stahiki za kuendesha vyombo husika kwa hiyo visababisha ajali kwa kiasi kikubwa vipo nje ya leseni.

Nafikiri tunatakiwa tuangalie upya vigezo vya kupata Leseni ya Daraja C vihusishe ufaulu wa Elimu nyingine ILI kuwa na hakika kuwa, barabarani tunao watu wanaoweza kufundishika/kuonyeka.

Huu utaratibu wa sasa ambao unamwezesha yeyote anayejua kusoma na kuandika kupata Daraja C naona umeshapitwa na wakati...
Naunga mkono hoja hii,wenzetu wanaojitambua wana kitu kinaitwa public driving permit,magari kama haya ta kubeba watu yanatakiwa yawe na permit hii na kuipata kwake ni kila baada ya 6mths gari lazima lifanyiwe roadworthy na madereva wake lazima wawe na kitu kinachoitwa PDP (moja ya sifa kubwa ni afya njema,kutokua na criminal records)
 
Ni kwel
Mkuu umeniwahi nilitaka Kuandika kitu Kama hiki Hawa jamaaa huwa hawajali kabisa na Kuna baadhi za shule Magali Yao ni mabovu mabovu aise ukiongozana nae kuwa makini sana
Ni kweli kabisa magari sometimes yanakuwa yamechoka sanaaa
 
Back
Top Bottom