Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

Wakuu nina mpango wa kununua "SUBARU FORESTER 2.0XS'', Hela ipo shida nataka ya mileage ndogo walau, Imani yangu inanituma kuwa yeneye mileage ndogo itadumu zaidi. JE, NI KWELI??

Lakini pia, Ni website gani nzuri na yenye bei nafuu kwa kuagizia magari?

Nitaomba msaa wenu wa ushauri.

AHSANTENI
 
Wakuu nina mpango wa kununua "SUBARU FORESTER 2.0XS'', Hela ipo shida nataka ya mileage ndogo walau, Imani yangu inanituma kuwa yeneye mileage ndogo itadumu zaidi. JE, NI KWELI??

Lakini pia, Ni website gani nzuri na yenye bei nafuu kwa kuagizia magari?

Nitaomba msaa wenu wa ushauri.

AHSANTENI

Mimi niliagiza ikiwa na 61,000 km ,Iko vizuri

Ina eco mode natumia hadi 16km/l (inasoma kwenye dashboard)

Ukitaka yenye km chache jiandae kulipia Hela kubwa zaidi ya average price ( > $6000)

Pili usinunue Yard za tz ,wanashusha km
 
Wakuu nina mpango wa kununua "SUBARU FORESTER 2.0XS'', Hela ipo shida nataka ya mileage ndogo walau, Imani yangu inanituma kuwa yeneye mileage ndogo itadumu zaidi. JE, NI KWELI??

Lakini pia, Ni website gani nzuri na yenye bei nafuu kwa kuagizia magari?

Nitaomba msaa wenu wa ushauri.

AHSANTENI

Cha mwisho Japo sio lazima sana .Chukua nyeusi inanoga sana
 
Subaru's are for people who love cars, people who understand the beauty of perfomance.may be the reason kenyans buy more subarus than we do here in TZ-kenyans are ahead of us education wise and development wise.

I suggest you buy that car and you will never be dissapointed!kuna watu wako tayari kununua Toyota kwa sababu spea bei rahisi,what is the use of a cheap spare part if you need to change it every 3 months?

kwa wanamahesabu,ipi rahisi over time?15,000tshs spare that u will buy 4 times a year or a 35,000tshs that you will buy only once a year?go figure.

anyways,watanzania wachache sana wanapiga hesabu in long term figures,no wonder tuko tayari kununua saa feki 10 kila mwaka for 20,000 lakini ukimwambia mtu atumie 200,000 kununua saa original atakayokaa nayo miaka 10 unakuwa ugomvi.
Nje ya mada
Saa ya gharama ya juu ninayoweza kununua ni ya buku 3.
 
Wakuu nina mpango wa kununua "SUBARU FORESTER 2.0XS'', Hela ipo shida nataka ya mileage ndogo walau, Imani yangu inanituma kuwa yeneye mileage ndogo itadumu zaidi. JE, NI KWELI??

Lakini pia, Ni website gani nzuri na yenye bei nafuu kwa kuagizia magari?

Nitaomba msaa wenu wa ushauri.

AHSANTENI

I’m not affiliated with this website.Angalia na hii nimeikuta kwenye site ya SBImotor
IMG_9816.jpg
 
Kluger model 2005 to 2007 vs Subaru forester 2008 to 2011
Sijui ipi wakuu itanifaaa kichwa kinazunguka sielew kabisa.

Lakin naitaj gar yenye nguvu,comfortable barabaran ,rough road iwe vzur plus mantainance spare ziwepo
 
Kluger model 2005 to 2007 vs Subaru forester 2008 to 2011
Sijui ipi wakuu itanifaaa kichwa kinazunguka sielew kabisa.

Lakin naitaj gar yenye nguvu,comfortable barabaran ,rough road iwe vzur plus mantainance spare ziwepo
Mimi nna uzoefu na zote!!

Subaru nmetumia ya 2008 Forester, iko vzuri sana na confortability iko juu kuliko Kluger, na nmeitumia kwa root za Dar to Moshi kila mwisho wa mwaka!! 14KM/L

Ila kwa kazi chukua kluger maana utapata unafuu kwenye spares na service!

Forester usipoweka Synthetic jombaa, na filter original utaona wajapani wanakuonea!!
 
Mimi nna uzoefu na zote!!

Subaru nmetumia ya 2008 Forester, iko vzuri sana na confortability iko juu kuliko Kluger, na nmeitumia kwa root za Dar to Moshi kila mwisho wa mwaka!! 14KM/L

Ila kwa kazi chukua kluger maana utapata unafuu kwenye spares na service!

Forester usipoweka Synthetic jombaa, na filter original utaona wajapani wanakuonea!!
Kwanini?
 
Wakuu naomba kuuliza fuel consumption ya Subaru Forester SJ5 ya 2013 ikoje?

Napata average ya 7km/l kwenye daily routes in aevrage full tank inaenda 400km. Hii ni kawaida au kuna shida mahali? Nikiwa highway ndo atleast napata mpk 10-12km/l. Wenye uzoefu naomba ideas
 
Subaru forester SF5 engine edition, 2000cc; niliagiza moja mwaka jana from Japan nikaitumia for 6 months; ni gari nzuri sana kama bado iko mpya, ni imara na haisumbui sana; tofauti moja niliyo-note ni katika acceleration system yake (iko tofauti kidogo na toyota makes), pia inapoanza kuchoka au ukichelewa kuifanyia service huwa inachelewa kupokea mafuta kwa sekunde kadhaa wakati wa kuondoka, baada ya hapo huwa inakuwa shwari. Pia ikichoka huwa ina matatizo ya kupokea moto (kuna kitu nilitajiwa nimesahau jina lake) ila hili ni tatizo dogo. Matatizo mengine ni ya kawaida kama gari nyingine yeyote ile (ball joints, tyroid ends - kama unatembelea kwenye rough roads). This car is Full Time 4WD na engine yake ina nguvu sana sana ukilinganisha na RAV4 au HONDA SRV!!

Spare zake kwa sasa ziko nyingi sana hapo mtaa wa Msimbazi (duka moja lipo karibu na Diamond Trust Bank hiyo ya Wahindi) ila ni genuine na za gharama sana kwa kweli (ulinganisha na toyota) hivyo mwambie jamaa ajiandae kwa hilo!! Wa-Kenya wana uzoefu nazo sana manake kwao zimejaa sana ... na almosts parts zote zapatika Nairobi na Dubai (na sasa Dar) ... actually nasikia kenya subaru cars ni nyingi kuliko toyota.

This car was my favourite kwa kweli nilipotaka ku-enjoy barabara na kutunishiana misuli na magari makubwa like Toyota VX, Nissan Patrols kwani Subaru Forester zinachanganya haraka sana na zinachomoka balaaa! At one instant nilitumia less than 1 minute kufika 140km/hr. Usipokuwa mwangalifu ni rahisi sana kuuonja umauti!!!!

Karibu ujaribu kitu tofauti.
Wewe unaijua Subaru haswaa
 
Back
Top Bottom