Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

Subaru Legacy b4 haijanisumbua kabisa BE engine.....spares zipo mingi. genuine spares na bei ni reasonable. nunua BH iko poa...ila kwa wese usiwe muoga. unataka station wagon au ni saloon?
 
The best ya wil eva drive...hiyo gari inapaa sana...iko na power ya kutosha sana...usipokua muoga hamna mtu anakupita njiani..huo mlio wa engine ndo matata sana...wil recommend foresta 2002 model with turbo charger....ukiwa nayo huwazi mabadiliko ya hali ya hewa maana yenyewe ni all weather road.

Subaru r the only true AWD..go for it bro..ya wont regret..tena ukiweza chukua mpya...matatizo makubwa ya subaru ni gasket tu.
 
Subaru ni balaa ukiingia ndani husikii mlio we cheki speedometer utajua unakimbiaje kuna siku nilikuwa naovateki harrier ilikuwa inanjazia kiwingu barabarani kuja kucheki speed wakati nampita nilikuta 170 then nikamuacha hakuniona teeenaaa kama una haraka iko vizuri kwa safari ndefu ila uwe na pochi ya kutosha kwa mafuta maana inameza kadiri unavyozidisha mibio oil filter siyo ghali kivileee inashea na rav 4 oilfilter moja tsh 15,000 plugs ndo ziko juu moja 50elf na ukifunga ngk unasahauu pelekagarage ya mtu aliyewahi kutengeneza subaru plugs kufungua ni shughuli kwa mzoefu zote nne anatumia lisaa na nusu kwa asiyezijua hata matatu unaweza ukawa unashangaa.

Ulaji wake mafuta ni 7km/h sababu ya turbo zisizo na turbo unatembea hadi 10km/h ila ndo hazikimbii sana kama zenye turbo ninayo mwaka wa pili unaisha sasa sijabadilisha chochote zaidi ya oilfilter na air cleaner tu
 
Subaru's are for people who love cars,people who understand the beauty of perfomance.may be the reason kenyans buy more subarus than we do here in TZ-kenyans are ahead of us education wise and development wise.

I suggest you buy that car and you will never be dissapointed!kuna watu wako tayari kununua Toyota kwa sababu spea bei rahisi,what is the use of a cheap spare part if you need to change it every 3 months?

kwa wanamahesabu,ipi rahisi over time?15,000tshs spare that u will buy 4 times a year or a 35,000tshs that you will buy only once a year?go figure.

anyways,watanzania wachache sana wanapiga hesabu in long term figures,no wonder tuko tayari kununua saa feki 10 kila mwaka for 20,000 lakini ukimwambia mtu atumie 200,000 kununua saa original atakayokaa nayo miaka 10 unakuwa ugomvi.
Mkuu sio wote wanaonunua vibaba vya mafuta na unga kila siku wanapenda? Hali halisi inabana..
 
Subaru's are for people who love cars,people who understand the beauty of perfomance.may be the reason kenyans buy more subarus than we do here in TZ-kenyans are ahead of us education wise and development wise.

I suggest you buy that car and you will never be dissapointed!kuna watu wako tayari kununua Toyota kwa sababu spea bei rahisi,what is the use of a cheap spare part if you need to change it every 3 months?

kwa wanamahesabu,ipi rahisi over time?15,000tshs spare that u will buy 4 times a year or a 35,000tshs that you will buy only once a year?go figure.

anyways,watanzania wachache sana wanapiga hesabu in long term figures,no wonder tuko tayari kununua saa feki 10 kila mwaka for 20,000 lakini ukimwambia mtu atumie 200,000 kununua saa original atakayokaa nayo miaka 10 unakuwa ugomvi.
Hapo kwenye rangi nyekundu una uhakika?
 
Wakuu rafiki yangu mmoja yupo interested na hizi gari aina ya Subaru Forester lakini kabla hajaingiza maamuzi mzima mzima alitaka kujua yote ya husuyo hizi aina za haya magari.
Stability zake,upatikanaji wa spare na mengine yote ambayo mtu yeyote angependa kuyajua.Huyu jamaa yupo mkoani na amejaribu kuangalia aina hizo hazipo na yeye yupo interested nayo kwa kuwa ni 4DW kulingana na maeneo anayoishi anahitaji mkoko wa namna hiyo.

Kwa kuwa JF inakila aina ya uelewa kwa niaba yake naomba niwasilishe ili apate la kumsaidia kwenye hii issue nzima.

Mkuu, hii gari kwa mazingira yahuyo jamaa ni mwisho wa safari! Gari imara sana na kana nguvu balaa, Full Time 4WD kaka, spare kweli ni ghali lakini hakiharibiki ovyo, ulaji mafuta ni inakaribiana sana na RAV4 lakini inaizidi RAV4 kwa kila kitu isipokuwa labda nafasi ya ndani!
 
Back
Top Bottom