Some people mistakenly think that a broken or absent hymen can only result from penetrative sex. This is not correct.

The hymen can break, tear, or stretch during many activities. Some examples include:

  • horseback riding
  • gymnastics
  • cycling
  • using tampons or menstrual cups
  • a gynecologist conducting a pelvic exam
Ww ndio umejichanganya soma vzuri ulichoandika kule juu
 
Natumai ulivyomaliza kugoogle ulielewa vyema
Hapana sina haja ya kugoogle kabisa kwa sababu naelewa nilichosema. Nimekujibu sawa kwa sababu sitaki kubishana.

Labda niweke wazi jambo moja na labda utaweza kunifahamu bila ya kuanza kubishana kwa jambo lisilo la umuhimu sana. Vitu viwili ulivyovitaja ni sawa kabisa ingawa sijui kilugha vinaitwaje. Ukweli nikuwa mwanamke anaweza kupoteza hymen yake na bado kuwa ni bikira kwa sababu neno virgin kwenye sex ambayo kwa kiswahili wengi tunatafsiri kuwa bikira ni mtu ambae bado hajafanya sexual intercourse.

Tatizo la lugha yetu linakuja pale watu wanapopata mwanamke na kusex nae mara ya kwanza na akakuta mwanamke hakutoka damu (inayotokana na kuvunjika hymen) basi wanasema kuwa mwanamke huyo hakuwa bikira. Kwa wao damu ndio ushahidi kuwa mwanamke alikuwa bikra. Nadhani umeona point yangu hadi hapo. Wenzetu wengi wakikutana na mwanamke na akasema yeye ni bikra (akimaanisha kuwa hakufanya sex interciurse before) na wakisex na asitoke damu ya kuvunjika kwa hymen yake basi wanasema kuwa amedanganya, it is sad but it is true. Kwa hivyo wengi wa watu bikra wanamaanisha uwepo kwa hymen na ndio nikasema kuwa bikra (hymen) inaweza kutoka kwa sababu tafauti kutegemea na activities za mwanamke.
 
Inakuwaje wanaJamiiForums

Kuoa mwanamke asie na bikra ni kama vile mkeka wako kumuamini Man u aue ili ukatoe milioni zako

wanaJamiiForums toeni ushuhuda wenu, vp mkeka wako ulitiki au mapema tu Man u aliuchanilia mbali huko

Rumors ni nying kwelikweli mara bikra ndo uhakika, mara ooh oa rafiki yako
Basi tafalani

Je kwa wew uliecheza kamari ya kuoa asie na bikra vp ulitoboa? toa experience yako

Nb/Hii ni nyuzi ya wanaume tuliokubal changamoto za maisha, Wale tuliowakosa (kwa masikitiko) kataa ndoa wote piteni kuleView attachment 2786241
Kuowa mwanamke sio bikira ni safi sana tena awe single mother ,

Ikiwa ww ni mwanamme rijari sio kimoja chali au unaenda sekunde 45 umefika mwisho ,

Uwe mwanamme hasa dk 20 upo juu ya kifua mwanamke, ukiwa unauwezo wa kufanya hivi mwanammke huwa anaangalia mapito yake anajua hapa nimepata chuma, kwa maana alipopita hajawai kusuguliwa hivyo,

Sasa mwanammke akiwa bikira kuna uwezekano mkubwa sanaaa akachepuka kutafuta ragha nyingine , kwanza bikira ni wasumbufu sanaaaa kidogo tu imeingia sana utapigwa mingumi, mara nimechoka,

Tafuta sio bikira uzungushiwe kiuono mpka useme poo
 
sitasahau, siku nilipokuwa namtoa bikra, alikuwa ameshanipenda sana, na aliamua kunitunuku, kwa muda kama wiki ivi tukikutana hatukua tunaingiliana, nilikuwa naishia kuinyonya tu na kuchezea pale juu, ukiweka mlangoni anavyobana hiyo miguu na kukusukumia huko hutaamini nguvu zake, siku ilipofika ile kuanza kupenetrate, alitetemeka miguu yote kwa hofu ya maumivu, nilikuwa nishamlowesha sana kwasababu though yeye alikuwa bikra mimi nilikuwa nimekubuhu kwenye hayo mambo. iliiingia, tudamu tulikuwepo, ninamheshimu sana hadi leo kwasababu hiyo, na ndiye mama watoto wangu. shida ni moja tu, ukioa bikra, umeoa mwanamke mwenye wivu kuliko wanawake wote duniani, wana upendo wa dhati na wana wivu wa dhati. naomba niishie hapo.
Hapo kwenye wivu umeshamaliza
 
Mughonile.

Niliapa sitaharibu ambacho hakijaharibika au kuharibiwa. Sitaondoa Bikra kama sitamuoa huyo Mwanamke. Kama una bikra basi nisingekuchezea lakini kama umejiharibu au kuharibiwa nilijipa uhalali wa kuendelea kufanya uharibifu.

Niliapa sitokuja kuoa Mwanamke asiye na Bikra hata nichomwe moto. Hata angesema nani. Labda ulikuwa ni utoto. Lakini kwa sasa nimekua na nipo ndoani kwa miaka kumi sasa tangu nilipooa 2013. Miaka kumi ya ndoa imekuwa ya furaha kwangu. Ndoa ya Mwanamke wa ndoto yangu, Bikra safi.

Najivunia kuwa miongoni mwao wanaume bora wenye bahati kwa kuoa na kuanzisha familia Safi. Najivunia watoto wangu kuwa na mama ambaye ni msafi ambaye usafi wake niliuthibitisha mimi mwenyewe siku nilipokata utepe.

Msimamo wangu wa kizamani unaninufaisha, umeniletea familia yenye furaha yenye uaminifu. Mama mwaminifu, msafi, mama mzuri, Watoto waliotoka katika mama mwenye kujitunza na kujizuia.

Kama hujaoa na unataka familia yenye furaha. Basi OA Mwanamke mwenye Bikra. Usiharibu ambavyo havijaharibika wala kuharibiwa. Utaishi maisha matamu Sana.
Bikra Matters
Usioe asiye na Bikra
Kalaghabaho
 
Mughonile.

Niliapa sitaharibu ambacho hakijaharibika au kuharibiwa. Sitaondoa Bikra kama sitamuoa huyo Mwanamke. Kama unabikra basi nisingekuchezea lakini kama umejiharibu au kuharibiwa nilijipa uhalali wa kuendelea kufanya uharibifu.
Niliapa sitokuja kuoa Mwanamke asiye na Bikra hata nichomwe moto. Hata angesema nani. Labda ulikuwa ni utoto. Lakini kwa sasa nimekua na nipo ndoani kwa miaka kumi sasa tangu nilipooa 2013. Miaka kumi ya ndoa imekuwa ya furaha kwangu. Ndoa ya Mwanamke wa ndoto yangu, Bikra safi.

Najivunia kuwa miongoni mwao wanaume bora wenye bahati kwa kuoa na kuanzisha familia Safi. Najivunia watoto wangu kuwa na mama ambaye ni msafi ambaye usafi wake niliuthibitisha mimi mwenyewe siku nilipokata utepe.

Msimamo wangu wa kizamani unaninufaisha, umeniletea familia yenye furaha yenye uaminifu. Mama mwaminifu, msafi, mama mzuri, Watoto waliotoka katika mama mwenye kujitunza na kujizuia.

Kama hujaoa na unataka familia yenye furaha. Basi OA Mwanamke mwenye Bikra. Usiharibu ambavyo havijaharibika wala kuharibiwa. Utaishi maisha matamu Sana.
Bikra Matters
Usioe asiye na Bikra
Kalaghabaho
Hicho kigezo ni cha kijinga nikama unafikiria kwamba ndoa ni ngono tu, hizo ni fikra za kimasikini.
 
Hicho kigezo ni cha kijinga nikama unafikiria kwamba ndoa ni ngono tu, hizo ni fikra za kimasikini.
Sio cha kijinga mkuu mbona hicho kilikuwa kigezo kikuu zamani sema maisha ya sasa yamebadilika mizagamuo imekuwa mingi tangu umri wa balehe sasa mpaka mtu aje aoe na kuolewa utaipata wapi bikra nowdays ni ngumu hivyo mfumo wa maisha na mabadiliko ya tabia ya sasa yametulazimisha kukubali kuoa mtu asiye na bikra na sio vinginevyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mughonile.

Niliapa sitaharibu ambacho hakijaharibika au kuharibiwa. Sitaondoa Bikra kama sitamuoa huyo Mwanamke. Kama unabikra basi nisingekuchezea lakini kama umejiharibu au kuharibiwa nilijipa uhalali wa kuendelea kufanya uharibifu.
Niliapa sitokuja kuoa Mwanamke asiye na Bikra hata nichomwe moto. Hata angesema nani. Labda ulikuwa ni utoto. Lakini kwa sasa nimekua na nipo ndoani kwa miaka kumi sasa tangu nilipooa 2013. Miaka kumi ya ndoa imekuwa ya furaha kwangu. Ndoa ya Mwanamke wa ndoto yangu, Bikra safi.

Najivunia kuwa miongoni mwao wanaume bora wenye bahati kwa kuoa na kuanzisha familia Safi. Najivunia watoto wangu kuwa na mama ambaye ni msafi ambaye usafi wake niliuthibitisha mimi mwenyewe siku nilipokata utepe.

Msimamo wangu wa kizamani unaninufaisha, umeniletea familia yenye furaha yenye uaminifu. Mama mwaminifu, msafi, mama mzuri, Watoto waliotoka katika mama mwenye kujitunza na kujizuia.

Kama hujaoa na unataka familia yenye furaha. Basi OA Mwanamke mwenye Bikra. Usiharibu ambavyo havijaharibika wala kuharibiwa. Utaishi maisha matamu Sana.
Bikra Matters
Usioe asiye na Bikra
Kalaghabaho
Kinielo Kya ghuso......mama aki mwenyewe hakuokewa bikira na Bado akakuzaa wewe......!!!!
 
Jina lako linasadifu sio binadamu wa kawaida, mwenzetu umekazana bikra bikra au wewe jini unataka watu watoe bikra ili unyonye damu uendelee kuwepo mjini,nimekushitukia.Msisitizo wako hata kwenye amri 10 hatuuoni sijui wewe una base wapi.
 
Back
Top Bottom